TANZANIA kama huna document jua huna degree yoyote yani wew li form six leaver... na huna mahali pa kufanya kazi hata kwa kuibia maana hakuna mtu wa kutake hiyo risk ya kuajiri mtu hana leseni otherwise ni hospital yenu.Hapana mkuu. Sio mwisho wa Udaktari wao. Hizo karatasi zinaweza kuwa zinatakiwa ili kuondoa utata fulani.
sasa inakuwaje miaka tofauti tofauti vijana wanapewa degree bila seneti kujua kuwa kuna watu hawa wamepewa degree???Kwenye hii inshu bado kuna vitu hatuvijui.
SAUT wenyewe hawajasema ilikuwaje watu hao wakapewa Shahada bila idhini ya Seneti.
Pia hatujasikia upande wa Pili wa hao waliokuwa Madaktari 162.
Ni Jukumu la Waandishi wa Habari Makini kutufunulia tusiyoyajua.
WAWE MADAKTARI FEKI MKUU??Umeona, Mtu ambaye hana elimu ya afya anatengeneza fedha kupitia sekta ya afya. Sembuse huyu aliye na elimu ya afya bila cheti? Ni mtazamo tu na namna unavyoamua kufungua mlango mwingine baada ya uliokuwepo kufungwa.
Ni kwel lakini hao wanafunzi nao kwa nini wali goma mda mwingine ni kuji takia tu na kudharau mamboKuharibiana tu maisha, wazee wana roho mbaya sana...
Dr TaleHuo ni mwanzo tu, kuna PhD za kufutwa haraka iwesekanavyo.
1. Dr Abood
2. Dr musukuma
3. Dr Biteko
4. Dr. Gwajima Bishop
5. Dr Samia
6. Dr Hans M
6. Dr Jafo
Ongezeeni wengine
Hapana boss. Watafute pesa kwenye sekta ya afya kwa njia nyingine halali.WAWE MADAKTARI FEKI MKUU??
Mwisho wa siku katika maisha jambo la muhimu ni " UTUPE MKATE WETU WA KILA SIKU" hii sentensi haina uhusiano na karatasi la degree.TANZANIA kama huna document jua huna degree yoyote yani wew li form six leaver... na huna mahali pa kufanya kazi hata kwa kuibia maana hakuna mtu wa kutake hiyo risk ya kuajiri mtu hana leseni otherwise ni hospital yenu.
hao senet pamoja na chuo waache figisu,hao madaktari hizo transcript walipewa na nani bila ufahamu na uidhinishaji wa seneti ya chuo
Chuo kikuu cha St. Augustine kimebatilisha shahada ilizotoa kwa madaktari 162 waliohitimu chuo cha udaktari cha St. Franscis kuanzia mwaka 2015-2019.
St. Augustine imechapisha tangazo kwenye gazeti la Daily news ikitoa notisi kubatilisha shahada za wanafunzi hao 162 ambao inadai wamegoma kurejesha nyaraka ya matokeo(Transcripts) ambazo walipewa bila baraza la senete la chuo kuwa na taarifa na kuziidhinisha.
Taarifa hiyo iliyosainiwa na mwenyekiti wa seneti ya chuo hicho, balozi Prof Costa Mahalu imesema maamuzi hayo yamefikiwa baada ya mkutano wa senet ilioketi mwezi wa pili.
===
Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino Tanzania (SAUT) kimewafutia shahada Madaktari 162 waliohitimu Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi cha St Francis (SFUCHAS) kuanzia mwaka 2015-2019.
Notisi kwa Umma iliyochapishwa katika Gazeti la Daily mnamo Jumatatu (27 Machi, 2023), ilisema wahitimu 162 walikataa kimakusudi kurudisha nakala za masomo, 'Transcript' walizopewa bila ufahamu na uidhinishaji wa seneti ya chuo kikuu licha ya kukumbushwa kwa muda mrefu.
Taarifa hiyo iliyotiwa saini na Mwenyekiti wa seneti ya SAUT Balozi Prof. Costa Mahalu inaeleza uamuzi wa kuondoa shahada hiyo umekuja baada ya kikao cha Seneti cha Chuo Kikuu kilichofanyika Februari mwaka huu.
"SAUT kupitia Seneti ya Chuo Kikuu katika Seneti yake ya 54 isiyo ya kawaida, mkutano uliofanyika tarehe 25 Februari 2023 katika chuo kikuu cha SAUT na kwa mujibu wa Kifungu cha 47(1) & (2) cha Sheria ya Vyuo Vikuu, Sheria Na. 7 ya 2005 ikisomwa pamoja na Vifungu. 6(3)(ii), 7,8 na Kanuni ya 29 (1) ya Mkataba wa SAUT GN. HAPANA. 580 ya 2020 ilifuta shahada walizopewa wahitimu 162 wa Madaktari wa Udaktari wa SFUCHAS kuanzia 2015 -2019,” inasomeka taarifa hiyo.
Source: Daily News
Hilo sijui. Ila huko waliko inaweza kuwasababishia mtafaruku katika ajira zao -kama wameshaajiriwa au wameomba na wako kwenye list.Wapo sasa hapa Tanzania ? na hilo Tangazo limetoka lini , why now ?
wakifuta cheti lakini maarifa c watabaki nayo vyeti tutatengeneza tena vizuri zaidi ya hvounacheti gani wakati kimefutwa au huwa hamuelewi wanaposema digrii zimefutwa?
Hata kama ni Hospitali ya kwenu, alimradi unatoa huduma(Public service ) cheti ni muhimu kuwa nacho. Lbda iwe ni Hospitali ya Familia i.e. unahudumia familia yako tu.TANZANIA kama huna document jua huna degree yoyote yani wew li form six leaver... na huna mahali pa kufanya kazi hata kwa kuibia maana hakuna mtu wa kutake hiyo risk ya kuajiri mtu hana leseni otherwise ni hospital yenu.
walipataje
chuo walipewa bura au walisotea nakulipa adaMsichokijua ni kwamba degree ni mali ya chuo. Vikao vyenye mamlaka vinaweza kukuvua degree yakona ukabaki na elimu ya form six tu
Hayo mengine utabaki unayajadili wew. Lkn taratibu zinasema elimu ya juu ni mali ya chuo kilichokupa bila kujali ulisoma bure au ulilipia.chuo walipewa bura au walisotea nakulipa ada
Huyo wa darasa la saba anajua jinsi dawa inavyofanya kazi mwilini au anayajua majina tu?..Umesoma nilichoandika ukanielewa kweli? Elimu ya chuo haitumiki kwenye kuajiriwa tu. Nilisema:
"Cheti cha degree ni mali ya Chuo. Elimu uliyoipata sio mali ya chuo. Kwa shahada hizi zisizohitaji sana kutoa cheti ili ufanye kazi, vyeti unasahau vilipo au vinavyofanana."
Kama drs la saba anamiliki phamacy na anaiendesha na anajua madawa yote na mzigo autoe wapi sembuse mwenye degree ya phamacy aliyenyang'anywa cheti?
Vifungu vya maviUsipende kulalamika,zingatia utaratibu,waliofuta hawakukurupuka,wametumia vifungu,na vifungu hivyo wamekutajia.
kwani nikipewa elimu au maarifa chuoni me c na-bakinayo wanaichukuaje hatakama wakiondoka na makaratasi yaoHayo mengine utabaki unayajadili wew. Lkn taratibu zinasema elimu ya juu ni mali ya chuo kilichokupa bila kujali ulisoma bure au ulilipia.
Kama ambavyo unaweza kulipia ada ya sekondari miaka minne na ukatoka na zero na usiende kuidai shule ada yako ndo na chuo kiko hivyo hvyo
Haya boss, washauri wakafe njaa.Huyo wa darasa la saba anajua jinsi dawa inavyofanya kazi mwilini au anayajua majina tu?..
Taaluma nyingi bila cheti umeenda na maji..labda kama umesoma degree yako ya kilimo au biashara na ukaamua kujiajiri tu..