Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
Mtaalam hapo ni Bien tu , hao wengine blaah blaah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana kiukweli
[emoji41]Akikujibu nitag [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sikupingi[emoji91]Mtaalam hapo ni Bien tu , hao wengine blaah blaah
Alikua ni Nan huyoWasambaratike tu aliboa huyo mke wa mtu
Kwa muziki mzuri hapo sikupingi kabisadah, kwangu walikua ndo namba 1 hapa afrika mashariki....
Huwakubali?safi
Wasambaratike tu aliboa huyo mke wa mtu
Wapili kuliaChoko ni yupi kati yao?
Savara nae anaweza imba vizuri..Mtaalam hapo ni Bien tu , hao wengine blaah blaah
Hata mm nime jiuliza sanaNi Sad News kweli ila hiyo Tour yao imeboa maana hawajainclude Africa sijui wamekwama wapi
[emoji41], Nafikiri wengi wameathirika na habari za personal life kuliko kaziUkiangalia comments utajua wabongo wanapenda Majungu sana
Sure[emoji481]Ata mm wameniumiza hila tuwatakie all the best !!
Ni kweli[emoji41], Nafikiri wengi wameathirika na habari za personal life kuliko kazi