Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,289
- 9,748
[emoji2957][emoji481][emoji490]Sure[emoji481]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2957][emoji481][emoji490]Sure[emoji481]
Upinde ni huyo mwenye koti rangi kama ya karoti, na ndio muasisi wa upinde kwenye hlo kundi. Hao wengine labda wameamua kujoin the chain.Nahisi upinde uyo mwenye shati jeusi.
I was about to say the same thing, umeniwahi mkuu.Mtaalam hapo ni Bien tu , hao wengine blaah blaah
Nilishtuka pale walipoanza kutoimba as a group, kama 2 years ago..[emoji41], Nafikiri wengi wameathirika na habari za personal life kuliko kazi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu khaaahUkweli usemwe, huyo upinde kaenda kuolewa na mumewe amemkataza kufanya mziki so kwa haraka haraka wameona wavunje kundi. #HallandCity
Sent from my Infinix X693 using JamiiForums mobile app
Duslam wazima?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu khaaah
Wapo kama Manyumbu wanapelekeshwa huku na kule, ushamba umejaa hii nchi hajulikani msomi nani, kilaza nani wote hali moja,Ukiangalia comments utajua wabongo wanapenda Majungu sana
Ndio kina nani hao?Lakini bado unawasikiliza Westlife hadi leo
Angefirwa kimya sie akaendelea kutupa burudani tu sasa kujitangaza ili iwe nini? Unadhani kwa tusiokubaliana na hilo tutaendelea kupenda mziki wao?? Shida yenu ndio hiyo kutaka kutangaza habari za miknd yenu tumieni kimya muendelee na maisha yenuIla watu sasa mke wa mtu kakuboajee?? Kakuibia mumeo? Eve wee nae lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na nlikua napenda sana mziki wao kwakweli...basi tena wakahudumie tu waume zao hakuna namnaNaona wengi hivi ime wafurahisha bila kuangalia athari za kukosekana kwa muziki mzuri
Wapo kama Manyumbu wanapelekeshwa huku na kule, ushamba umejaa hii nchi hajulikani msomi nani, kilaza nani wote hali moja,
Nahisi huu moshi wa Mwenge una namna unaathiri akili za Watanzania wengi.
Angefirwa kimya sie akaendelea kutupa burudani tu sasa kujitangaza ili iwe nini? Unadhani kwa tusiokubaliana na hilo tutaendelea kupenda mziki wao?? Shida yenu ndio hiyo kutaka kutangaza habari za miknd yenu tumieni kimya muendelee na maisha yenu