Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
Sauti sol ina miaka 20 ??.... Nilijua ni miaka kama 15 tu Ila nitamiss good music maana East Africa kulikuwa hakuna group kali kama lao, yamoto na Elani walikuja vizuri wakakata pumzi mapema 😩
Muda wa Bien kuwa mega solo artist na Hart man band kusepa na kijiji
Muda wa Bien kuwa mega solo artist na Hart man band kusepa na kijiji