Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Mwimbaji maarufu wa Muziki wa Pop nchini Kenya toka Sauti Sol ajitokeza kama Mpenzi wa Jinsia mojaKama alisema mwenyewe sawa, nikajua kama kawaida ya wabongo kuhisi his vitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwimbaji maarufu wa Muziki wa Pop nchini Kenya toka Sauti Sol ajitokeza kama Mpenzi wa Jinsia mojaKama alisema mwenyewe sawa, nikajua kama kawaida ya wabongo kuhisi his vitu
Hapo hamna mzima. Kwa vipimo vya Macho tu wote washafukuliwa tope.#BURUDANI Kundi la Sauti Sol kutokea nchini Kenya wametangaza kuwa watapumzika kufanya kazi pamoja kama kundi kwa muda usiojulikana baada ya kufanya kazi pamoja kwa miaka 20.
Sauti Sol kabla ya kutengana watafanya ziara ya dunia ambapo watatumbuiza katika mataifa mbalimbali
Katika taarifa yao waliyoitoa siku ya leo wamesisitiza kwamba urafiki wao kama kundi utaendelea na watashirikiana katika mambo ya biashara.
#SautiSol #EastAfricaTV #TogetherTunawakilisha.
Kundi pekee east Afrika ambalo halina dalili za kuvunjika hivi karibuni n weusi pekee pamoja na makubwa waliyofanya kwenye industry , wapewe mauwa yao[emoji91][emoji94]View attachment 2629301View attachment 2629302
Nimeomba unitumie video alivyosema anaenda kuolewa ndo mana kundi tunavunja KWA madai yako wewe na ukituthibitishia ukweli usemwe nitumie hiyo video niione mkuuKuna uzi upo humu
#BURUDANI Kundi la Sauti Sol kutokea nchini Kenya wametangaza kuwa watapumzika kufanya kazi pamoja kama kundi kwa muda usiojulikana baada ya kufanya kazi pamoja kwa miaka 20.
Sauti Sol kabla ya kutengana watafanya ziara ya dunia ambapo watatumbuiza katika mataifa mbalimbali
Katika taarifa yao waliyoitoa siku ya leo wamesisitiza kwamba urafiki wao kama kundi utaendelea na watashirikiana katika mambo ya biashara.
Kundi pekee east Afrika ambalo halina dalili za kuvunjika hivi karibuni n weusi pekee pamoja na makubwa waliyofanya kwenye industry, wapewe maua yao.
View attachment 2629302
Wazimaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kwelii.Wapo kama Manyumbu wanapelekeshwa huku na kule, ushamba umejaa hii nchi hajulikani msomi nani, kilaza nani wote hali moja,
Nahisi huu moshi wa Mwenge una namna unaathiri akili za Watanzania wengi.
mwenye orange uyo.Choko ni yupi kati yao?
Kheeeh yaan chimanoo ajibanee kisa wee Eve kupenda mziki wao? Wee unapenda mziki wao au maisha yao binafsi nje ya mziki?? Mbna unachanganyaaa??Angefirwa kimya sie akaendelea kutupa burudani tu sasa kujitangaza ili iwe nini? Unadhani kwa tusiokubaliana na hilo tutaendelea kupenda mziki wao?? Shida yenu ndio hiyo kutaka kutangaza habari za miknd yenu tumieni kimya muendelee na maisha yenu
Wenzio wanafanya tour ya Dunia wanaingiza mijihela wakati huo wewe unakula vumbi kwa Mama tozo huku ukijifanya kukasirishwa na personal life ya wengine [emoji23]Sasa tutegemee Nini kwako LGBTQ mzoefu lazima uwatee , hakuna personal life kama umeamua kuwa public figure yote uyafanyayo yatakuadhari tu
Sasa unataka wakufurahishe wee? Yaan maisha yake binafsi afu akufurahishee wee?Sasa mkuu watu wakichukizwa na maisha binafsi ya mtu na wakaeleza hilo nalo linakuwa ushamba???
Yeye/wao walitumia haki yao ya kibinaadam kuamua matumizi ya miili yao,nasisi tunatumia haki hiyo hiyo kujieleza kwamba NO hatujafurahishwa na hilo.
Ahsanteeeeee dearHuoni kama ni ushamba kuchukizwa na maisha binafsi ya mtu tena mtu asiyekuhusu kidole wala ukucha, yaan unaweka chuki kwa maisha binafsi ya mtu badala ya kuenjoy mziki mzuri!
#Huo ni Ushambaaaaaaa
Btw, hakuna haki ya kibinaadam ya kuchukizwa na maisha binafsi ya mtu, umechemka[emoji28]
Wao wakipata bebez ruksa kujisnap nao, Chimano kapata bebe wanataka ajifiche, ubinafsi wa wabongo na roho za kutu.Kheeeh yaan chimanoo ajibanee kisa wee Eve kupenda mziki wao? Wee unapenda mziki wao au maisha yao binafsi nje ya mziki?? Mbna unachanganyaaa??
Nweii haiwapunguzii kituu, utawasikiliza wengine waliobako, yeye hizo sio shida zake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear nacheka cna mbavuu wallah.Wenzio wanafanya tour ya Dunia wanaingiza mijihela wakati huo wewe unakula vumbi kwa Mama tozo huku ukijifanya kukasirishwa na personal life ya wengine [emoji23]
Shangaa nawee hapo, mtu kapata Mzungu wake asiji mwaye mwaye hiyo vepee? Eti kuogopa mtu yupo Mtogolee inahuuu??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wao wakipata bebez ruksa kujisnap nao, Chimano kapata bebe wanataka ajifiche, ubinafsi wa wabongo na roho za kutu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wao wakipata bebez ruksa kujisnap nao, Chimano kapata bebe wanataka ajifiche, ubinafsi wa wabongo na roho za kutu.
Usomi ni kutokufukunyua faragha ya Mtu au huko mashuleni kwenu mlifundishwa umbea na majungu?Mkuu kama wewe ni mtetezi wa upinde simamia unachokiamini, kwahiyo usomi mmojawapo ni kuwakingikia kifua hawa majamaa?
Wivuuuu hakuna kingine, chezeya kumilikiwa na Mzungu weweeeShangaa nawee hapo, mtu kapata Mzungu wake asiji mwaye mwaye hiyo vepee? Eti kuogopa mtu yupo Mtogolee inahuuu??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wabongo bhanaa wananiachaga hoi kweliii.
Cheka unenepe kipenzi changu, jamuhuri ya Jamii Forum haiishiwi vituko halafu sura ni zile zile hakunaga mpya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear nacheka cna mbavuu wallah.