Sauti Sol kutengana kwa muda usiofahamika, Mashabiki wagoma kuelewa

Sauti Sol kutengana kwa muda usiofahamika, Mashabiki wagoma kuelewa

Sasa kutambulisha mumewe ni shida? Mbna hata wee unamtambulisha mumeo mbele za watu inapobidi, why yeye asifanye hivyo?

Acha ubinafsi bhana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanaume hawezi kuwa na mume.ni kama kusema kutambulisha bint yako ambae ni mama yako mzazi.
 
Inategemea na psychology ya mtu na mtu

Usomi ni kutokufukunyua faragha ya Mtu au huko mashuleni kwenu mlifundishwa umbea na majungu?
Faragha hiyo ni yenu na wenzio, kama ulifundishwa wewe usagaji, ufiraji na ushoga shuleni kwenu ni vyema kwako, mara mia umbea na majungu sio huo upuuzi unaousimamia. Hopeless kabisa. Straight to ignore list 🚮
 
Boss nahisi hao jamaa hawatengani Wala Nini 😀😀😀izo ni mbinu za marketing ili kupiga pesa maana watu watajaa sana kwenye concert zao, tupo hapa mtaona kama watatengana
#BURUDANI Kundi la Sauti Sol kutokea nchini Kenya wametangaza kuwa watapumzika kufanya kazi pamoja kama kundi kwa muda usiojulikana baada ya kufanya kazi pamoja kwa miaka 20.

Sauti Sol kabla ya kutengana watafanya ziara ya dunia ambapo watatumbuiza katika mataifa mbalimbali

Katika taarifa yao waliyoitoa siku ya leo wamesisitiza kwamba urafiki wao kama kundi utaendelea na watashirikiana katika mambo ya biashara.

Kundi pekee east Afrika ambalo halina dalili za kuvunjika hivi karibuni n weusi pekee pamoja na makubwa waliyofanya kwenye industry, wapewe maua yao.

View attachment 2629302
 
Faragha hiyo ni yenu na wenzio, kama ulifundishwa wewe usagaji, ufiraji na ushoga shuleni kwenu ni vyema kwako, mara mia umbea na majungu sio huo upuuzi unaousimamia. Hopeless kabisa. Straight to ignore list [emoji706]

Ungejitoa kabisa kwenye forum ili tujue unaumizwa kiasi gani kwenye faragha za watu,
Pathetic fool.
 
Sasa tutegemee Nini kwako LGBTQ mzoefu lazima uwatee , hakuna personal life kama umeamua kuwa public figure yote uyafanyayo yatakuadhari tu
Halafu anajiita dokta, atakuwa ndio anawatibu labda hawa jamaa..
Ungejitoa kabisa kwenye forum ili tujue unaumizwa kiasi gani kwenye faragha za watu,
Pathetic fool.
Eti faragha, na hii forum ni yenu? una undugu na Max au ndio unamdangia kijanja? Upinde akili zenu zimekaa nyuma nyuma sana. Hopeless kabisa unajaza nzi tu humu na mende
 
Halafu anajiita dokta, atakuwa ndio anawatibu labda hawa jamaa..

Eti faragha, na hii forum ni yenu? una undugu na Max au ndio unamdangia kijanja? Upinde akili zenu zimekaa nyuma nyuma sana. Hopeless kabisa unajaza nzi tu humu na mende
I thought nipo kwenye ignore list yako kumbe bado unanipenda [emoji23][emoji23]
Unfortunately yo not my type 🥲
 
Faragha hiyo ni yenu na wenzio, kama ulifundishwa wewe usagaji, ufiraji na ushoga shuleni kwenu ni vyema kwako, mara mia umbea na majungu sio huo upuuzi unaousimamia. Hopeless kabisa. Straight to ignore list [emoji706]
[emoji15][emoji41]
 
Sauti sol walikuwa professional sana nakumbuka kuna kipindi walikuwa hadi na publicist.. Hata brand yao ukiingalia unajua kuna vidhwa nyuma vinafikiria kwa niaba yao
Ndio, na kuna mahali nimekuta wana sema huenda hata hawana nia ya kuja kundi ila wametangaza hivyo ili kuweka attention kwen tour yao hiyo na kupata audience kubwa, yaani marketing strategy coz ukiangalia hata kenya tu hakuna sehem wata fanya show, on top of that wamesema wata release album yao ya mwisho waliyo fanya pamoja hapo ndo napata picha ya juu kua n mpango tu na sio kwel
 
Boss nahisi hao jamaa hawatengani Wala Nini [emoji3][emoji3][emoji3]izo ni mbinu za marketing ili kupiga pesa maana watu watajaa sana kwenye concert zao, tupo hapa mtaona kama watatengana
Kweli sikupingi kabisa, ukiangalia maeneo yote wata fanya show na sio kenya why? On top of that wamesema wata release album yao walio fanya pamoja [emoji15][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], wana cheza na akili zetu hawa
 
Back
Top Bottom