Sauti Sol kutengana kwa muda usiofahamika, Mashabiki wagoma kuelewa

Sauti Sol kutengana kwa muda usiofahamika, Mashabiki wagoma kuelewa

Kheeeh yaan chimanoo ajibanee kisa wee Eve kupenda mziki wao? Wee unapenda mziki wao au maisha yao binafsi nje ya mziki?? Mbna unachanganyaaa??

Nweii haiwapunguzii kituu, utawasikiliza wengine waliobako, yeye hizo sio shida zake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio maisha yake binafsi mi sina shida nayo na hakuombwa kuyatangaza.....mambo yake angebaki nayo mwenyewe maana halisi ya (maisha binafsi)
 
Yes, hart the band wata take over ila kama nao hawata vunjika
Sema watatakiwa kuwa na hits nyingi kama sauti sol maana wana muda mrefu Ila hitz zao zinahesabika.
Gap la sauti sol litaonekana baada ya muda hakika
 
Lilivunjika TMK Wanaume, East Coast Team n.k hasara gani tutapata sasa mpya?
Angalia mileage ya hao ulo watolea mfano na hawa tunapozungumzia hapa, kingine angalia zama waliokuwepo hao unao jaribu kuwalinganisha na hawa walio kaa kwenye industry zaidi ya 2 decade halafu njoo na majibu
 
Mkuu ukiwa Fan wa mtu au kundi personal life yake sio kitu cha kuangalia? Yaani niwe no 1 fan wa punga? Kisa ni life lake sasa huo ni u fan au upuuzi?
Inategemea na psychology ya mtu na mtu
 
Sema watatakiwa kuwa na hits nyingi kama sauti sol maana wana muda mrefu Ila hitz zao zinahesabika.
Gap la sauti sol litaonekana baada ya muda hakika
Yes, kazi ya branding na promotion itawagharimu sana kukaa kwenye right angle
 
Ndio maisha yake binafsi mi sina shida nayo na hakuombwa kuyatangaza.....mambo yake angebaki nayo mwenyewe maana halisi ya (maisha binafsi)
Sasa kutambulisha mumewe ni shida? Mbna hata wee unamtambulisha mumeo mbele za watu inapobidi, why yeye asifanye hivyo?

Acha ubinafsi bhana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Natumai ni kwa sababu chanya.Nawaombea kila la kheri naahidi kubaki mshabiki wao .Na kuwafuatilia kama solo.
 
Back
Top Bottom