glass amo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 3,645
- 4,330
Shida tupuMajungu, wizi, utapeli, uchawi na roho chafu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida tupuMajungu, wizi, utapeli, uchawi na roho chafu.
Pale yule Bien ndio huwa namuona hajaleft group, wengine huwa siwaelewi kabisabora maana kuna mwanamke dume
Lilivunjika TMK Wanaume, East Coast Team n.k hasara gani tutapata sasa mpya?Nafikiri tungeacha ku judge personality ya mtu mmoja mmoja , ila tu focus kwenye hasara ya muziki kwa ujumla kwani kama Afrika tuta kosa burudani na muziki mzuri kutoka kwao,
Kumbuka hata bongo walisha wahi kuja kufanya show na watu wengi sana walijaa nakumbuka ilikua n pale wearhouse zaman palikuwa nextdoor arena na kiingilio kilikuwa n bei ghali sana ila watu walijaa sana
Hata ww hapa umetoa majungu kwa waliotoa comments zaoUkiangalia comments utajua wabongo wanapenda Majungu sana
Daah nilipitwa aseee mkuu, aliconfess mwenyewe kwamba ni shoga?Huyo wa katikati kama sikosei
Mmoja wao kwenye kundi akitangaza yeye ni upinde. Sasa sio mshabiki wao sana sijui yupi boss.Unahisi au ni kweli upinde mbona hueleweki mkuu?
Kama alisema mwenyewe sawa, nikajua kama kawaida ya wabongo kuhisi his vituMmoja wao kwenye kundi akitangaza yeye ni upinde. Sasa sio mshabiki wao sana sijui yupi boss.
Mkuu ukiwa Fan wa mtu au kundi personal life yake sio kitu cha kuangalia? Yaani niwe no 1 fan wa punga? Kisa ni life lake sasa huo ni u fan au upuuzi?[emoji41], Nafikiri wengi wameathirika na habari za personal life kuliko kazi
Nitumie hiyo video alikuwa anasema anaenda kuolewa mkuu sikuiona mimiUkweli usemwe, huyo upinde kaenda kuolewa na mumewe amemkataza kufanya mziki so kwa haraka haraka wameona wavunje kundi. #HallandCity
Sent from my Infinix X693 using JamiiForums mobile app
Mkuu kama wewe ni mtetezi wa upinde simamia unachokiamini, kwahiyo usomi mmojawapo ni kuwakingikia kifua hawa majamaa?Wapo kama Manyumbu wanapelekeshwa huku na kule, ushamba umejaa hii nchi hajulikani msomi nani, kilaza nani wote hali moja,
Nahisi huu moshi wa Mwenge una namna unaathiri akili za Watanzania wengi.
Hana ushahidi wowoteNitumie hiyo video alikuwa anasema anaenda kuolewa mkuu sikuiona mimi
Sasa tutegemee Nini kwako LGBTQ mzoefu lazima uwatee , hakuna personal life kama umeamua kuwa public figure yote uyafanyayo yatakuadhari tuHuoni kama ni ushamba kuchukizwa na maisha binafsi ya mtu tena mtu asiyekuhusu kidole wala ukucha, yaan unaweka chuki kwa maisha binafsi ya mtu badala ya kuenjoy mziki mzuri!
#Huo ni Ushambaaaaaaa
Btw, hakuna haki ya kibinaadam ya kuchukizwa na maisha binafsi ya mtu, umechemka[emoji28]
Wanajificha ficha mara personal life, mara nn tunawaangalia tu na tunawaelewa kabisa wateteziAngefirwa kimya sie akaendelea kutupa burudani tu sasa kujitangaza ili iwe nini? Unadhani kwa tusiokubaliana na hilo tutaendelea kupenda mziki wao?? Shida yenu ndio hiyo kutaka kutangaza habari za miknd yenu tumieni kimya muendelee na maisha yenu
Na hawa watu waaojifanyaga kuchukia huwa Wana mambo ya ajabu sana usiku,Hana ushahidi wowote
Kuna uzi upo humuNitumie hiyo video alikuwa anasema anaenda kuolewa mkuu sikuiona mimi