glass amo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 3,645
- 4,330
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji481]Ungejitoa kabisa kwenye forum ili tujue unaumizwa kiasi gani kwenye faragha za watu,
Pathetic fool.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji481]Ungejitoa kabisa kwenye forum ili tujue unaumizwa kiasi gani kwenye faragha za watu,
Pathetic fool.
Muziki mzuri aiseeeee [emoji94]Hapo anaye pumuliwa kisogoni ni yupi sasa
Mbona wote wanaonekana ndio wale wale?
Ila wana marumba flani hivi amazing
Iyo ni marketing kaka wewe umeelewa vizuriKweli sikupingi kabisa, ukiangalia maeneo yote wata fanya show na sio kenya why? On top of that wamesema wata release album yao walio fanya pamoja [emoji15][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], wana cheza na akili zetu hawa
Hakuna Cha upinde Wala Nini wale wote wanasupport ayo mambo,labda kama chimano atahama nchi kwenda kuishi kwa mume wake Germany au US😀😀Hata mm nahisi inaweza kua sababu
Labda wameenda kwenye route ya destiny's child , walitengana lakini baada ya kufanya tour na last album. Naona kwa USA ni kawaida na baada ya miaka flani wanafanya reunion tour.Ndio, na kuna mahali nimekuta wana sema huenda hata hawana nia ya kuja kundi ila wametangaza hivyo ili kuweka attention kwen tour yao hiyo na kupata audience kubwa, yaani marketing strategy coz ukiangalia hata kenya tu hakuna sehem wata fanya show, on top of that wamesema wata release album yao ya mwisho waliyo fanya pamoja hapo ndo napata picha ya juu kua n mpango tu na sio kwel
Hii comment imenichekesha sana aiseeUpinde ni huyo mwenye koti rangi kama ya karoti, na ndio muasisi wa upinde kwenye hlo kundi. Hao wengine labda wameamua kujoin the chain.