Sauti ya Hayati Magufuli ikisema "Mtanikumbuka" yasikika tena, safari hii kwenye Uviko

Sauti ya Hayati Magufuli ikisema "Mtanikumbuka" yasikika tena, safari hii kwenye Uviko

Hakuna kama magu jaman iko wazi
Katika covid who wamejifunza sana kwake

Alikuwa akitamka jambo leo who watalirudia kesho kuumgana naye

Mfano ishu ya kuizoea na kuishi nayo covid
Ishu ya kupiga dawa mtaani
Ishu ya vifaa kutoa majibu ya uongo

Nanmengineyo mengiiiii

Pumzika.kwa amani mwamba


Rais
Ajaye ambaye atafata walau kwa kias


Majaliwa kasimu for president
Dr bashiru. For prime minister
 
Acheni ushabiki wa kijinga. Kupuuza kwake corona kulimpeleka ahera. Korona ipo na inaua.. fuateni ushauri wa wanasayansi. Kiburi huja kabla ya kuanguka.
Tuheshimiane.

Hiyo habari sijaandika mimi na huo utafiti sijafanya mimi. Nimeleta habari/taarifa ambayo ilikuwepo humu jamvini, vilevile New York Taim.....
Kwa ulivyoandika/kujibu kwako inaonekana hujachukua mda hata wa kusoma kilichowasilishwa.


Tafadhali. Wacha ugaidi.
 
Yule MUNGU aliona isiwe shida huwezi kutesa watoto wangu namna hii.
Hakuna mungu wa visasi.
Agano la Zamani ndio hivyo, ni la zamani. Soma Joshua 24:15
Numbers:15-1

Amani ikufikie katika kwaresma.
 
Screenshot_2023-02-26-09-24-17-36.png
 
Nimekutana na habari hii hapa jamvini,

Ndugu zangu, mabibi na mabwana, vijana na watoto, "Siku moja mtanikumbuka, najua mtanikumbuka kwa mazuri si kwa mabaya, kwa sababu nime 'sacrifice' maisha yangu kwa ajili ya Watanzania maskini."

Hayo yalikuwa maneno ya aliyekuwa Raisi wa Tanzania mpendwa Hayati John Pombe Magufuli.

Ni hivi, mwishoni mwa mwezi uliopita, uchambuzi makini na wa kina wa tafiti za kisayansi zinazoangalia ufanisi wa barakoa zilichapishwa na mtaalamu wa magonjwa ya Oxford ambaye alikiri kuwa katu katu kuwa, mdomo uliowekwa plastiki na pazia za pua (barakoa) hazina maana (Certifiably Useless).

"Hakuna ushahidi wowote kwamba yanafanya chochote." Mtakumbuka Hayati alifanya utafiti wake ambao ulikemewa, ulikejeliwa na kudumazwa kwa nguvu kubwa kutoka ndani na nje ya nchi, famously mbuzi ana korona!

Hivi karibuni Mtaalam wa Magonjwa ya Kuambukiza wa Oxford Jefferson na wenzake 11 kwa pamoja na Shirika la Uingereza Cochrane(a non-profit org) ambalo linachukuliwa kuwa la kiwango cha dhahabu cha ukaguzi wa data za huduma za afya walisema;

"Tafiti" ambazo serikali ilizitaja kama "ushahidi" kwamba barakoa zinafanya kazi, kwamba zote ni fisadi na kamwe hazikupaswa kukubaliwa kama "sayansi nzuri". Alisema Jeferson.

Bwana Jefferson aliulizwa, kuhusu serikali na vyombo vingine vya dola, nabandika hapa kiunagaubaga. Alisema, "Walishawishika na tafiti zisizo na mpangilio, ikiwa na pamoja na masomo ya uchunguzi yenye dosari," alielezea.

Vipi kuhusu kutumia barakoa kwa kushirikiana na miongozo mingine inayopendekezwa kama kunawa mikono kupita kiasi, "social distancing," n.k, "Hakuna ushahidi kwamba mambo haya yanaleta mabadiliko yoyote. There’s no evidence that many of these things make any difference.”

Kwa kifupi, ukaguzi ulibaini kuwa mamlaka ya barakoa (mask mandates) hayakuwa bora zaidi katika suala zima la Visa vya Uviko-19 kulazwa hospitalini na vifo. Barakoa ni ishara tu ya kisiasa, kwa maneno mengine, hayapunguzi makali ya Korona wala kusaidia katika matibabu.

Haijalishi ni aina gani ya barakoa anayotumia mtu, madhara yake ni yale yale; hafanyi chochote isipokuwa kufanya upumuaji kuwa mgumu zaidi, bila kusahau sumu yoyote iliyopo katika nyenzo zake.

Mtakumbuka Hayati aligusia kuhusu uwezekano wa hizo barakoa, vipimo na hata kinga kuwa na "Mavitu" ya kila aina ambayo hatuyajui!

Wandugu wote, haya ambayo ninanuku ndiyo yale niliyotaka kusema hapa, kuwa; Lakini 'kufanya kitu' sio sayansi, na haikupaswa kuwa sera ya umma. Na watu waliokuwa na ujasiri wa kusema mengi walistahili kusikilizwa, hawakutendewa haki na wanaweza wasipate msamaha wanaostahili, lakini uthibitisho unapaswa kuwa wa kutosha."

Amani iwafikie nyote

Kwa zaidi bofya hapa
huyo shetan wenu mnasemaga tumuache apumzike,mara tuna mimba zake,mna hamu tumtusi
 
Corona ni kichaka cha kujifichia tu, ila tuliopitia Cuba tunatambua uwepo wa thallium kama silaha iliotumika. Inashambulia moyo na mapafu same as kisingizio chao cha Covid na jinsi nchi ilivyo corrupt ni ngumu kupata post mortem ya assasinated public figure.
Kwenye royo tuwa MAMA Bhoke alipuyanga kutaja sababu tofauti kama chanzo cha kifo.
Alipuyanga kishenzi.
 
Muda Wowote Elon Musk anatoa taarifa kuhusu COVID-19 kua ni scam project !! Kwaajili ya Bilionea Fulani kupiga Hela.
 
Dead for goods!
Injinia, jaji, mchungaji, daktari, famasia, mhifadhi, auditor, mhasibu, mshauri, MUNGU wa dunian, mzalendo, 1 5 trilioni, plea bargain......

MAGUFULI ALITAKA TUMWABUDU, mpaka wachungaji walisahau uwepi wa MUNGU halisi.. wakawa na MUNGU MAGU
Sasa wajinga walikuwa kina nani ndugu mtumishi?

Mliambiwa wapi kumuabudu? Ningependa kupata uthibitisho wa aidha tamko au maneno yake akitoa hilo agizo. Pia alisema msipofanya hivyo anawaua?

Binadamu wengine matope kabisa. Hamjui hata mlitakalo. Endeleeni na maisha basi ashaondoka tutaona kama Watanzania wataishi maisha mnayoyasema. Siku hizi hakuna hata dira wala sera za vyama vya siasa. Kila upande uko busy kumtukana Magufuli huku wananchi wanalala njaa.

Uhuru na demokrasia mnafikiri ndicho chakula cha wananchi. Mmepewa majukwaa hatuoni la maana isipokuwa kumtukana Mtukufu Hayati Magufuli.

Nchi gani hii?????? Nchi imejaa machawa kila mahali. Kila siku kusifia. Mtu akikohoa wanasifia anakohoa vizuri. Mtu akikaa anasifia ati mkao wake mzuri kweli. Loh! Nchi yangu Tanzania.

R.I.P JPM!
 
Corona ni kichaka cha kujifichia tu, ila tuliopitia Cuba tunatambua uwepo wa thallium kama silaha iliotumika. Inashambulia moyo na mapafu same as kisingizio chao cha Covid na jinsi nchi ilivyo corrupt ni ngumu kupata post mortem ya assasinated public figure.
Pamoja na ulinzi wote ule yule bwana hakumwamini mtu au daktari yeyote zaidi ya waganga wa kienyeji labda aulizwe mke wake mama janeti kuhusu hiyo thallium.
 
Usalama wale aliusimamia yeye mwenyewe kwahiyo kama walimsaliti hilo halituhusu.
Huyo kima ndio alimsaliti na analindwa sahizi sababu wajuba wote PS ya JPM lazma watakuwa wanaelewa nini kilifanyika.
 
Hata mtu akomaze [emoji3517] fuvu lake, hayati alikua mtu na robo tatu sema basi tu siasa zake ndio zilikua gozigozi
 
Back
Top Bottom