Sauti yenye mamlaka walifikiri nchi haina kiongozi!

Sauti yenye mamlaka walifikiri nchi haina kiongozi!

Tutafikia hatua ya ajabu sana kama kila jambo tutakimbilia kuliihusisha moja kwa moja na itikafdi, mtazamo fulani na U-Chama, yaani CCM au CDM..
Kuna kero zinazotugusa wananzengo wote bila kujali itikadi za kisiasa au milengo yetu.

Tufike hatua ya kupunguza maslahi binafsi " vested interests" juu ya maslahi mapana ya Umma "Public interests". Vyama vya siasa ni wawakilishi wetu tu .
Tutafute buffer zone ya kukutanisha mitazamo kwa maslahi mapana ya Umma ila siyo kwa kutafutana ubaya.
 
Tutafikia hatua ya ajabu sana kama kila jambo tutakimbilia kuliihusisha moja kwa moja na itikafdi, mtazamo fulani na U-Chama, yaani CCM au CDM..
Kuna kero zinazotugusa wananzengo wote bila kujali itikadi za kisiasa au milengo yetu.

Tufike hatua ya kupunguza maslahi binafsi " vested interests" juu ya maslahi mapana ya Umma "Public interests". Vyama vya siasa ni wawakilishi wetu tu .
Tutafute buffer zone ya kukutanisha mitazamo kwa maslahi mapana ya Umma ila siyo kwa kutafutana ubaya.
Unachokisema ni kweli kabisa ila unafikiri ukiwaza kama hivi utaeleweka mbele ya wafia vyama na wachumia matumbo!
 
Back
Top Bottom