Sauti yenye mamlaka walifikiri nchi haina kiongozi!

Sauti yenye mamlaka walifikiri nchi haina kiongozi!

Nilichosikia jana ni Conspiracy Theories, na Mipasho; Nimesikia, nimeona, etc etc etc Na kile kijeshi ati left right left right cha kuwashughulikia Chadema duuu. Hivi watu millioni 30 waingie mtaani na hicho kijeshi na hizo left right kitafanya nini! Anger, hunger vikifika kilele hivyo vi Left and Right huwa navyo vinakimbia. Kwa kuwa maana ya ya kuishi huwa tena haipo. Fugeni tu hizo chuki (anger) na njaa (hunger).
Watu milioni 30 waache kutafuta riziki za familia zao waamue tu kuingia mitaani!. Haya mawazo ya Mbowe na Lema yamepitwa na wakati.
 
Nafikiri Rais awe mwangalifu sana katika kuchagua maneno au lugha ya kuongea mbele za hadhara za Watu, asiwe anaamini kila kitu anachoambiwa na wale Watu wanaomzunguka. Sometimes anadanganywa au amekuwa akiambiwa Habari ambazo zimetiwa chumvi Sana. Awe anachuja maneno ya kuongea hadharani.

Rais asipende kuanzisha malumbano na Mabalozi wa nchi za nje waliopo hapa Tanzania. Azingatie Sana Mikataba ya kimataifa, hususani Vienna Convention 1961.

Aidha, asipende kuanzisha au kuhamasisha uadui wa kisiasa hapa nchini.
Kazi ya kuhamasisha uadui wanaoifanya wanajulikana siku zote. Yeye kaamua kuonyesha kuwa nyumba ina mwenyewe kwa muda huu sio tupu kama hao wanaoanzisha fujo kwa mara kwa mara wanavyojidanganya.
 
Kazi ya kuhamasisha uadui wanaoifanya wanajulikana siku zote. Yeye kaamua kuonyesha kuwa nyumba ina mwenyewe kwa muda huu sio tupu kama hao wanaoanzisha fujo kwa mara kwa mara wanavyojidanganya.

..nyumba ingekuwa na mwenyewe watekaji asingekuwa wanatamba na kutesa wananchi kiasi hiki.

..Mama Abduli ni mvivu, mzembe, na ana upeo mdogo ktk kuchambua masuala. Hotuba yake jana imedhihirisha hilo.
 
HAKUNA KUVIMBIWA MADARAKA KIONGOZI YOYOTE LAZIMA AWE MKALI BILA HIVYO WATATAKA MPKA WASHIKE NA MBONI YA JICHO LAKE WANASIASA WAHUNI SANA SASA WAJARIBU KUINGIA BARABARANI WAONE KITAKACHOWAPATA WATALIA NA WA KWAO
Demokrasia kuwepo haina maana uhuru unaokuwepo upitilize kiasi. Kuongea na kuwasilisha maoni ni haki yetu ambayo huwa na mipaka yake.
 
..nyumba ingekuwa na mwenyewe watekaji asingekuwa wanatamba na kutesa wananchi kiasi hiki.

..Mama Abduli ni mvivu, mzembe, na ana upeo mdogo ktk kuchambua masuala. Hotuba yake jana imedhihirisha hilo.
Ni kweli mkuu yote usemayo lakini hayawezi badilisha kitu yeye ndio muhimili no 1 nchini!
 
..nyumba ingekuwa na mwenyewe watekaji asingekuwa wanatamba na kutesa wananchi kiasi hiki.

..Mama Abduli ni mvivu, mzembe, na ana upeo mdogo ktk kuchambua masuala. Hotuba yake jana imedhihirisha hilo.
Nitajie awamu moja tu tangu ile ya Mwalimu Nyerere ambayo haijawa na matukio yoyote ya unyama na ukatili.

Mauaji yanafanyika huko mitaani kila siku na ni dunia nzima. Hata kwenye nchi zenye marais wanaosifika kwa uwezo wa kuwaongoza vyema raia wao kuna unyama mwingi tu.
 
Nitajie awamu moja tu tangu ile ya Mwalimu Nyerere ambayo haijawa na matukio yoyote ya unyama na ukatili.

Mauaji yanafanyika huko mitaani kila siku na ni dunia nzima. Hata kwenye nchi zenye marais wanaosifika kwa uwezo wa kuwaongoza vyema raia wao kuna unyama mwingi tu.

..hiyo haihalalishi kuwa na mambo ya kishen-zi ktk nchi yetu.

..Mama Abduli alipaswa kututetea wananchi, badala ya kujifungamanisha na watekaji.
 
..hiyo haihalalishi kuwa na mambo ya kishen-zi ktk nchi yetu.

..Mama Abduli alipaswa kututetea wananchi, badala ya kujifungamanisha na watekaji.
Hizo safari zote za huko nje lengo ni kukamilisha miradi mingi mikubwa. Huo ni utetezi wa wananchi unaofanyika kisomi.
 
Wasubiri uchunguzi wa jeshi la polisi huku wakiendelea kumsifu chura kiziwi anaupiga mwingi
😂😂
Uchunguzi kupitia watu inaosemekena wao ndio wanahusika wa hii michezo,

Kama Bunge halitaki kuongelea masuala ya utekaji na kukanusha direct, Raisi nae pia alikana, unazani mwanachi wa kawaida malalamiko yake atapeleka sehem gani ikiwa mpaka vyombo vya usalama vinakanusha?

Tuseme ni sawa Mh.Raisi ameongea kuhusu masuala haya kufanyiwa uchunguzi, lakini je kama wahusika ni wao wenyewe watakuwa tayar kuwataja na kuwafikisha sehemu husika?

Kwa hali hii ina maana serikali imelala fofo hivyo ni wajibu kwa wananchi kutumia njia nyengine ili kukemea hali hii kwa nguvu zote.

Na kama na hilo pia likishindikana nazani wananchi watachukua hatua nyengine kukemea na kufikisha ujumbe kwa serikali, Mwendo utakuwa ni huo huo mpaka tatizo litakapotatuliwa.
 
Uwoga upi huo,,,nyie si mnajifanya vidume na mmevurugwa mje mpambane na wenzenu waliovurugwa zaidi yenu,,,,,nani aliewadanganya kwamba utawala mtu anapewa kwa kipande cha karatasi tu,,,kama mnajiamini ingieni kwenye uwanja wa mapambano acheni taarabu zenu za ukeyboard warrior
Nyie si kwanza tokea kuwepo kwa dunia na vyama na viongoz ninyi si wa kwanza kuamini hamna mwisho labda kama huijui hstry walikuwepo wakuu na watesi kuliko ccm lakin walitoweka mlimuona jiwe kama mungu mtu leo imebaki story tu ccm haina miaka hata 10 mbele itatoweka kbs mtasanda tuu
 
Nyie si kwanza tokea kuwepo kwa dunia na vyama na viongoz ninyi si wa kwanza kuamini hamna mwisho labda kama huijui hstry walikuwepo wakuu na watesi kuliko ccm lakin walitoweka mlimuona jiwe kama mungu mtu leo imebaki story tu ccm haina miaka hata 10 mbele itatoweka kbs mtasanda tuu
Tokea Tanzania ianze ni CCM mpaka Yesu atakaporudi ni CCM tu
 
Back
Top Bottom