Sauti yenye mamlaka walifikiri nchi haina kiongozi!

Sauti yenye mamlaka walifikiri nchi haina kiongozi!

Unaona ni sahihi tulishughulikie kwa slogan ya samiamustgo?

Ni vyema kunukuu slogan kutokea kwenye chimbuko si kutokea kwenye yatokanayo.

Mbona Nchimbi kaongea vyema na akapongezwa?

Asiyechukizwa na tekaji hizi unadhani siyo halali kusema aondoke?

Kwani Samia hachukizwi na tekaji?
 
Niseme ukweli tu Rais wangu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jemedari mkuu wa vikosi vya ulinzi na usalama tangu aingie madarakani ile hotuba ya jana ndio hotuba bora zaidi kupata kuitoa ikizidi ile ya siku ya kuapishwa kwake.

Amenifurahisha kwa kuudhirishia umma kuwa nchi ina raisi mmoja tu naye ni kutoka chama tawala na amiri jeshi mkuu ni mmoja tu Mama samia Suluhu Hassani.

Sasa kama wengi wao waliokuwa wana mjaribu kwa kujua mama akishindwa na watoto wake viburi hubaki kwa kusema subirini baba yenu arudi nitawasemea.

Jueni yeye hana huo udhaifu na anajia kila kitu nasema hivi hata yale matembezi ya mshikamano mliyoachiwa muda wowote jemedari anaweza yafuta ,
tena tabia zao za kuita press kila baada ya hotuba ya amiri jeshi mkuu ikomeshwe mara moja.

Walijua ni mwanamke wa mchezo mchezo tu JPM hakukosea kumchagua,

Hongera mama kwa hotuba bora kabisa ya kufungia mwaka na ya kufungilia uchaguzi wa serikali z mitaa.
Hata Hayati Magufuli amefurahi kwa kusikia nchi ipo kwenye mikono salama.

N.B: Wale mabaria wa kanada na ubeligiji kama hamna shughuli hapa nyumbani haya fungasheni mwende nchi inayo kiongozi hamtowachwa kama mpo juu ya sheria!

Pia soma:Rais Samia: Kama Wapinzani wameota Mikia Sheria zile zile bado zipo
kumbe watu wanapangiwa hadi muda wa kuitisha press?nilijua ni nchi huru hii ambayo press naitisha muda wowote!sasa kumbe we jamaa unataka kuingilia hadi press za watu!doh!kazi kweli kweli!!
 
Wwe usiangalie mipasho,angalia katiba ya Tanzania inasemaje! Jiuulize katiba ya Tanzania imempa Rais mamlaka makubwa sana,na ndiyo maana ana weza hata kuzi challenge balozi mbali mbali hapa Nchini!!
Nafikiri Rais awe mwangalifu sana katika kuchagua maneno au lugha ya kuongea mbele za hadhara za Watu, asiwe anaamini kila kitu anachoambiwa na wale Watu wanaomzunguka. Sometimes anadanganywa au amekuwa akiambiwa Habari ambazo zimetiwa chumvi Sana. Awe anachuja maneno ya kuongea hadharani.
 
Rais bora kuwahi kutokea Tanzania
S

AFI SANA HOTUBA BORA ZAIDI KWA RAIS BORA ZAIDI KEBEHI ZILIZIDI SASA NGOJA WANYOROSHWE WAJUE KUNA RAIS HII NCHI SIYO YA SAMAKI ALAAAAA
Nafikiri Rais awe mwangalifu sana katika kuchagua maneno au lugha ya kuongea mbele za hadhara za Watu, asiwe anaamini kila kitu anachoambiwa na wale Watu wanaomzunguka. Sometimes anadanganywa au amekuwa akiambiwa Habari ambazo zimetiwa chumvi Sana. Awe anachuja maneno ya kuongea hadharani.
 
kumbe watu wanapangiwa hadi muda wa kuitisha press?nilijua ni nchi huru hii ambayo press naitisha muda wowote!sasa kumbe we jamaa unataka kuingilia hadi press za watu!doh!kazi kweli kweli!!
Wewe nchi yako hii!
 
Labda kama ccm ndiye Mungu bs itadumu nje ya hapo bs iko ukingoni kama ina nguvu hzo uwoga wann sasa wanaotangaza nani ameshnda wote n wateule wa mwenyekt wa ccm bt bdo mnaogopa chadema wasfanye shughuri zao za ksiasa tena huyu mzenji atasanda mapema sn
Uwoga upi huo,,,nyie si mnajifanya vidume na mmevurugwa mje mpambane na wenzenu waliovurugwa zaidi yenu,,,,,nani aliewadanganya kwamba utawala mtu anapewa kwa kipande cha karatasi tu,,,kama mnajiamini ingieni kwenye uwanja wa mapambano acheni taarabu zenu za ukeyboard warrior
 
Sijaelewa swali lako linahusiana vipi na nilichondika.

Wanasiasa wanatekwa, kuteswa na kuuwawa kwasababu ya private life yao?
Watu wanajiteka kwa maslahi yao nyuma ya pazia!
 
Sijaelewa swali lako linahusiana vipi na nilichondika.

Wanasiasa wanatekwa, kuteswa na kuuwawa kwasababu ya private life yao?
Kwasababu ni wahaini......hio Samia must go ni uhaini tosha dhidi ya rais
 
Niseme ukweli tu Rais wangu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jemedari mkuu wa vikosi vya ulinzi na usalama tangu aingie madarakani ile hotuba ya jana ndio hotuba bora zaidi kupata kuitoa ikizidi ile ya siku ya kuapishwa kwake.

Amenifurahisha kwa kuudhirishia umma kuwa nchi ina raisi mmoja tu naye ni kutoka chama tawala na amiri jeshi mkuu ni mmoja tu Mama samia Suluhu Hassani.

Sasa kama wengi wao waliokuwa wana mjaribu kwa kujua mama akishindwa na watoto wake viburi hubaki kwa kusema subirini baba yenu arudi nitawasemea.

Jueni yeye hana huo udhaifu na anajia kila kitu nasema hivi hata yale matembezi ya mshikamano mliyoachiwa muda wowote jemedari anaweza yafuta ,
tena tabia zao za kuita press kila baada ya hotuba ya amiri jeshi mkuu ikomeshwe mara moja.

Walijua ni mwanamke wa mchezo mchezo tu JPM hakukosea kumchagua,

Hongera mama kwa hotuba bora kabisa ya kufungia mwaka na ya kufungilia uchaguzi wa serikali z mitaa.
Hata Hayati Magufuli amefurahi kwa kusikia nchi ipo kwenye mikono salama.

N.B: Wale mabaria wa kanada na ubeligiji kama hamna shughuli hapa nyumbani haya fungasheni mwende nchi inayo kiongozi hamtowachwa kama mpo juu ya sheria!

Pia soma:Rais Samia: Kama Wapinzani wameota Mikia Sheria zile zile bado zipo
Sauti yenye mamlaka bila busara ni sawa na kuhalalisha uovu!
Na uovu hauna mipaka wala macho!
 
Niseme ukweli tu Rais wangu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jemedari mkuu wa vikosi vya ulinzi na usalama tangu aingie madarakani ile hotuba ya jana ndio hotuba bora zaidi kupata kuitoa ikizidi ile ya siku ya kuapishwa kwake.

Amenifurahisha kwa kuudhirishia umma kuwa nchi ina raisi mmoja tu naye ni kutoka chama tawala na amiri jeshi mkuu ni mmoja tu Mama samia Suluhu Hassani.

Sasa kama wengi wao waliokuwa wana mjaribu kwa kujua mama akishindwa na watoto wake viburi hubaki kwa kusema subirini baba yenu arudi nitawasemea.

Jueni yeye hana huo udhaifu na anajia kila kitu nasema hivi hata yale matembezi ya mshikamano mliyoachiwa muda wowote jemedari anaweza yafuta ,
tena tabia zao za kuita press kila baada ya hotuba ya amiri jeshi mkuu ikomeshwe mara moja.

Walijua ni mwanamke wa mchezo mchezo tu JPM hakukosea kumchagua,

Hongera mama kwa hotuba bora kabisa ya kufungia mwaka na ya kufungilia uchaguzi wa serikali z mitaa.
Hata Hayati Magufuli amefurahi kwa kusikia nchi ipo kwenye mikono salama.

N.B: Wale mabaria wa kanada na ubeligiji kama hamna shughuli hapa nyumbani haya fungasheni mwende nchi inayo kiongozi hamtowachwa kama mpo juu ya sheria!

Pia soma:Rais Samia: Kama Wapinzani wameota Mikia Sheria zile zile bado zipo
Wapuuzi sana, wame-mbeep SSH kawapigia sasa kupokea simu ndio tatizo kwao.

Aliwalegezea kwa muda mrefu sana jana kawakazia, wanakuja humu kulialia na kulalamika.
 
Hiyo hotuba ni ya mtu aliyevimbiwa madaraka.lakini ajue kuwa hata kabla ya mapinduzi kule misiri,Tunisia,Niger na Algeria viongozi walikuwa wanatoa hotuba za vitisha lakini wananchi walipoamua kuwaita adabu walikipata Cha moto.
Haya maneno yameandikwa humu tangu miaka ile ya urais wa Kikwete mpaka leo hii hajaonekana huyo mwenye huo ujasiri wa kuingia barabarani.
 
Back
Top Bottom