Zawadini
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 2,369
- 1,775
Mkuu umenena.Yeyote aliyeitisha maandamano haya au kuyaunga mkono wakati wowote kama alidhani itakuwa lelemama anahitaji kupimwa akili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umenena.Yeyote aliyeitisha maandamano haya au kuyaunga mkono wakati wowote kama alidhani itakuwa lelemama anahitaji kupimwa akili.
Mkuu umenena.
Lete huo wako werevu!Toa ujinga wako.
Wajikite kufanya kazi kwa bidii kujiletea maendeleo yake!Mkuu wewe unataka wananchi wafanye nin labda, Naomba twende taratibu.
Unaona ni sahihi tulishughulikie kwa slogan ya samiamustgo?
Ni vyema kunukuu slogan kutokea kwenye chimbuko si kutokea kwenye yatokanayo.
Mbona Nchimbi kaongea vyema na akapongezwa?
Asiyechukizwa na tekaji hizi unadhani siyo halali kusema aondoke?
Kwani Samia hachukizwi na tekaji?
kumbe watu wanapangiwa hadi muda wa kuitisha press?nilijua ni nchi huru hii ambayo press naitisha muda wowote!sasa kumbe we jamaa unataka kuingilia hadi press za watu!doh!kazi kweli kweli!!Niseme ukweli tu Rais wangu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jemedari mkuu wa vikosi vya ulinzi na usalama tangu aingie madarakani ile hotuba ya jana ndio hotuba bora zaidi kupata kuitoa ikizidi ile ya siku ya kuapishwa kwake.
Amenifurahisha kwa kuudhirishia umma kuwa nchi ina raisi mmoja tu naye ni kutoka chama tawala na amiri jeshi mkuu ni mmoja tu Mama samia Suluhu Hassani.
Sasa kama wengi wao waliokuwa wana mjaribu kwa kujua mama akishindwa na watoto wake viburi hubaki kwa kusema subirini baba yenu arudi nitawasemea.
Jueni yeye hana huo udhaifu na anajia kila kitu nasema hivi hata yale matembezi ya mshikamano mliyoachiwa muda wowote jemedari anaweza yafuta ,
tena tabia zao za kuita press kila baada ya hotuba ya amiri jeshi mkuu ikomeshwe mara moja.
Walijua ni mwanamke wa mchezo mchezo tu JPM hakukosea kumchagua,
Hongera mama kwa hotuba bora kabisa ya kufungia mwaka na ya kufungilia uchaguzi wa serikali z mitaa.
Hata Hayati Magufuli amefurahi kwa kusikia nchi ipo kwenye mikono salama.
N.B: Wale mabaria wa kanada na ubeligiji kama hamna shughuli hapa nyumbani haya fungasheni mwende nchi inayo kiongozi hamtowachwa kama mpo juu ya sheria!
Pia soma:Rais Samia: Kama Wapinzani wameota Mikia Sheria zile zile bado zipo
Kusifu ule utopolo wa Jana kunahitaji unitoe fahamu.Hakuna sauti ya mwanamke yenye mamlaka hapa chini ya jua. Ile ya jana haikuwa sauti yenye mamlaka bali ilikuwa sauti yenye vichambo na yenye kusuta tu kwetu.
Sisi wajuba tulisikia ni sauti ya muimba taarabu mmoja hivi.
Nafikiri Rais awe mwangalifu sana katika kuchagua maneno au lugha ya kuongea mbele za hadhara za Watu, asiwe anaamini kila kitu anachoambiwa na wale Watu wanaomzunguka. Sometimes anadanganywa au amekuwa akiambiwa Habari ambazo zimetiwa chumvi Sana. Awe anachuja maneno ya kuongea hadharani.Wwe usiangalie mipasho,angalia katiba ya Tanzania inasemaje! Jiuulize katiba ya Tanzania imempa Rais mamlaka makubwa sana,na ndiyo maana ana weza hata kuzi challenge balozi mbali mbali hapa Nchini!!
Rais bora kuwahi kutokea Tanzania
Nafikiri Rais awe mwangalifu sana katika kuchagua maneno au lugha ya kuongea mbele za hadhara za Watu, asiwe anaamini kila kitu anachoambiwa na wale Watu wanaomzunguka. Sometimes anadanganywa au amekuwa akiambiwa Habari ambazo zimetiwa chumvi Sana. Awe anachuja maneno ya kuongea hadharani.S
AFI SANA HOTUBA BORA ZAIDI KWA RAIS BORA ZAIDI KEBEHI ZILIZIDI SASA NGOJA WANYOROSHWE WAJUE KUNA RAIS HII NCHI SIYO YA SAMAKI ALAAAAA
Kusifu ule utopolo wa Jana kunahitaji unitoe fahamu.
Wewe nchi yako hii!kumbe watu wanapangiwa hadi muda wa kuitisha press?nilijua ni nchi huru hii ambayo press naitisha muda wowote!sasa kumbe we jamaa unataka kuingilia hadi press za watu!doh!kazi kweli kweli!!
Uwoga upi huo,,,nyie si mnajifanya vidume na mmevurugwa mje mpambane na wenzenu waliovurugwa zaidi yenu,,,,,nani aliewadanganya kwamba utawala mtu anapewa kwa kipande cha karatasi tu,,,kama mnajiamini ingieni kwenye uwanja wa mapambano acheni taarabu zenu za ukeyboard warriorLabda kama ccm ndiye Mungu bs itadumu nje ya hapo bs iko ukingoni kama ina nguvu hzo uwoga wann sasa wanaotangaza nani ameshnda wote n wateule wa mwenyekt wa ccm bt bdo mnaogopa chadema wasfanye shughuri zao za ksiasa tena huyu mzenji atasanda mapema sn
Sijaelewa swali lako linahusiana vipi na nilichondika.Kwani hao wanasiasa hawana private life kama watu wengine!?
Watu wanajiteka kwa maslahi yao nyuma ya pazia!Sijaelewa swali lako linahusiana vipi na nilichondika.
Wanasiasa wanatekwa, kuteswa na kuuwawa kwasababu ya private life yao?
Kwasababu ni wahaini......hio Samia must go ni uhaini tosha dhidi ya raisSijaelewa swali lako linahusiana vipi na nilichondika.
Wanasiasa wanatekwa, kuteswa na kuuwawa kwasababu ya private life yao?
Sauti yenye mamlaka bila busara ni sawa na kuhalalisha uovu!Niseme ukweli tu Rais wangu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jemedari mkuu wa vikosi vya ulinzi na usalama tangu aingie madarakani ile hotuba ya jana ndio hotuba bora zaidi kupata kuitoa ikizidi ile ya siku ya kuapishwa kwake.
Amenifurahisha kwa kuudhirishia umma kuwa nchi ina raisi mmoja tu naye ni kutoka chama tawala na amiri jeshi mkuu ni mmoja tu Mama samia Suluhu Hassani.
Sasa kama wengi wao waliokuwa wana mjaribu kwa kujua mama akishindwa na watoto wake viburi hubaki kwa kusema subirini baba yenu arudi nitawasemea.
Jueni yeye hana huo udhaifu na anajia kila kitu nasema hivi hata yale matembezi ya mshikamano mliyoachiwa muda wowote jemedari anaweza yafuta ,
tena tabia zao za kuita press kila baada ya hotuba ya amiri jeshi mkuu ikomeshwe mara moja.
Walijua ni mwanamke wa mchezo mchezo tu JPM hakukosea kumchagua,
Hongera mama kwa hotuba bora kabisa ya kufungia mwaka na ya kufungilia uchaguzi wa serikali z mitaa.
Hata Hayati Magufuli amefurahi kwa kusikia nchi ipo kwenye mikono salama.
N.B: Wale mabaria wa kanada na ubeligiji kama hamna shughuli hapa nyumbani haya fungasheni mwende nchi inayo kiongozi hamtowachwa kama mpo juu ya sheria!
Pia soma:Rais Samia: Kama Wapinzani wameota Mikia Sheria zile zile bado zipo
Na wanajiua na kujimwagia tindikali kwa manufaa yao binafsi.Watu wanajiteka kwa maslahi yao nyuma ya pazia!
Yakikukuta uje tena uongee haya unayoyaongeaKifo ni kifo tu!!
Wapuuzi sana, wame-mbeep SSH kawapigia sasa kupokea simu ndio tatizo kwao.Niseme ukweli tu Rais wangu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jemedari mkuu wa vikosi vya ulinzi na usalama tangu aingie madarakani ile hotuba ya jana ndio hotuba bora zaidi kupata kuitoa ikizidi ile ya siku ya kuapishwa kwake.
Amenifurahisha kwa kuudhirishia umma kuwa nchi ina raisi mmoja tu naye ni kutoka chama tawala na amiri jeshi mkuu ni mmoja tu Mama samia Suluhu Hassani.
Sasa kama wengi wao waliokuwa wana mjaribu kwa kujua mama akishindwa na watoto wake viburi hubaki kwa kusema subirini baba yenu arudi nitawasemea.
Jueni yeye hana huo udhaifu na anajia kila kitu nasema hivi hata yale matembezi ya mshikamano mliyoachiwa muda wowote jemedari anaweza yafuta ,
tena tabia zao za kuita press kila baada ya hotuba ya amiri jeshi mkuu ikomeshwe mara moja.
Walijua ni mwanamke wa mchezo mchezo tu JPM hakukosea kumchagua,
Hongera mama kwa hotuba bora kabisa ya kufungia mwaka na ya kufungilia uchaguzi wa serikali z mitaa.
Hata Hayati Magufuli amefurahi kwa kusikia nchi ipo kwenye mikono salama.
N.B: Wale mabaria wa kanada na ubeligiji kama hamna shughuli hapa nyumbani haya fungasheni mwende nchi inayo kiongozi hamtowachwa kama mpo juu ya sheria!
Pia soma:Rais Samia: Kama Wapinzani wameota Mikia Sheria zile zile bado zipo
Haya maneno yameandikwa humu tangu miaka ile ya urais wa Kikwete mpaka leo hii hajaonekana huyo mwenye huo ujasiri wa kuingia barabarani.Hiyo hotuba ni ya mtu aliyevimbiwa madaraka.lakini ajue kuwa hata kabla ya mapinduzi kule misiri,Tunisia,Niger na Algeria viongozi walikuwa wanatoa hotuba za vitisha lakini wananchi walipoamua kuwaita adabu walikipata Cha moto.