Sauti yenye mamlaka walifikiri nchi haina kiongozi!

Sauti yenye mamlaka walifikiri nchi haina kiongozi!

Niseme ukweli tu Rais wangu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jemedari mkuu wa vikosi vya ulinzi na usalama tangu aingie madarakani ile hotuba ya jana ndio hotuba bora zaidi kupata kuitoa ikizidi ile ya siku ya kuapishwa kwake.

Amenifurahisha kwa kuudhirishia umma kuwa nchi ina raisi mmoja tu naye ni kutoka chama tawala na amiri jeshi mkuu ni mmoja tu Mama samia Suluhu Hassani.

Sasa kama wengi wao waliokuwa wana mjaribu kwa kujua mama akishindwa na watoto wake viburi hubaki kwa kusema subirini baba yenu arudi nitawasemea.

Jueni yeye hana huo udhaifu na anajia kila kitu nasema hivi hata yale matembezi ya mshikamano mliyoachiwa muda wowote jemedari anaweza yafuta ,
tena tabia zao za kuita press kila baada ya hotuba ya amiri jeshi mkuu ikomeshwe mara moja.

Walijua ni mwanamke wa mchezo mchezo tu JPM hakukosea kumchagua,

Hongera mama kwa hotuba bora kabisa ya kufungia mwaka na ya kufungilia uchaguzi wa serikali z mitaa.
Hata Hayati Magufuli amefurahi kwa kusikia nchi ipo kwenye mikono salama.

N.B: Wale mabaria wa kanada na ubeligiji kama hamna shughuli hapa nyumbani haya fungasheni mwende nchi inayo kiongozi hamtowachwa kama mpo juu ya sheria!

Nafikiri Rais awe mwangalifu sana katika kuchagua maneno au lugha ya kuongea mbele za hadhara za Watu, asiwe anaamini kila kitu anachoambiwa na wale Watu wanaomzunguka. Sometimes anadanganywa au amekuwa akiambiwa Habari ambazo zimetiwa chumvi Sana. Awe anachuja maneno ya kuongea hadharani.

Rais asipende kuanzisha malumbano na Mabalozi wa nchi za nje waliopo hapa Tanzania. Azingatie Sana Mikataba ya kimataifa, hususani Vienna Convention 1961.

Aidha, asipende kuanzisha au kuhamasisha uadui wa kisiasa hapa nchini.
 
Waliachwa huru kidogo mlipewa nafasi ya kuongea raisi anatoa maelekezo badala ya kusubiri yafanyiwe kazi watu wapo busy kumpangia raisi cha kufanya wengine ni mapolisi mahakimu na waendesha mashitaka wakiitwa kuisadia polisi wanakimbilia X(twitta)
Hawajampangia cha kufanya. Yule dogo walimteka, akasema ni drama tu. Akapigwa risasi ya kichwa akatupwa, kimiujiza akapona, rais akasema atamlipia matibabu huyo aliyepatwa na drama.

Spika alipoongea, tulijuwa msimamo wao na waziri mkuu akamalizia huku akiweka hicho kibwagizo cha kitapeli “4R”

Sasa hapo ni kazi gani ya kumsubiria aifanye kama una akili timamu?
 
Nafikiri Rais awe mwangalifu sana katika kuchagua maneno au lugha ya kuongea mbele za hadhara za Watu, asiwe anaamini kila kitu anachoambiwa na wale Watu wanaomzunguka. Sometimes anadanganywa au amekuwa akiambiwa Habari ambazo zimetiwa chumvi Sana. Awe anachuja maneno ya kuongea hadharani.
Rais asipende kuanzisha malumbano na Mabalozi wa nchi za nje.
Hao mabalozi ni kina nani mkuu hizo zao ndio namba moja kwa kukandamiza demokrasi hatujasikia wakikemea wafanye yalioyo waleta sio kuingilia mambo ya ndani ya nchi wao kazi zao watoe visa!
 
Nchi inaongozwa kwa sheria na Katiba. Viongozi wa Afrika hujiona ni miungu watu. Sababu waafrika wengi bado kujitambua na kujua haki zao. Wao wanachukua huo udhaifu, kuwakandamiza. Afrika bado haijakombolewa, ilitoka kwa Mkoloni mweupe, bado hawa wakoloni weusi kuwasambaratisha.

Hakuna mtu anatishika, watauwa ila hawatawamaliza. Visasi ni vibaya zaidi, mtu badala ya kujenga nchi na kutatua matatizo ya wananchi. Unawamaliza wao!!! Wakisema tu vitisho. Nchi ni ya Watanzania wote na si ya mtu au kikundi.
 
Niseme ukweli tu Rais wangu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jemedari mkuu wa vikosi vya ulinzi na usalama tangu aingie madarakani ile hotuba ya jana ndio hotuba bora zaidi kupata kuitoa ikizidi ile ya siku ya kuapishwa kwake.

Amenifurahisha kwa kuudhirishia umma kuwa nchi ina raisi mmoja tu naye ni kutoka chama tawala na amiri jeshi mkuu ni mmoja tu Mama samia Suluhu Hassani.

Sasa kama wengi wao waliokuwa wana mjaribu kwa kujua mama akishindwa na watoto wake viburi hubaki kwa kusema subirini baba yenu arudi nitawasemea.

Jueni yeye hana huo udhaifu na anajia kila kitu nasema hivi hata yale matembezi ya mshikamano mliyoachiwa muda wowote jemedari anaweza yafuta ,
tena tabia zao za kuita press kila baada ya hotuba ya amiri jeshi mkuu ikomeshwe mara moja.

Walijua ni mwanamke wa mchezo mchezo tu JPM hakukosea kumchagua,

Hongera mama kwa hotuba bora kabisa ya kufungia mwaka na ya kufungilia uchaguzi wa serikali z mitaa.
Hata Hayati Magufuli amefurahi kwa kusikia nchi ipo kwenye mikono salama.

N.B: Wale mabaria wa kanada na ubeligiji kama hamna shughuli hapa nyumbani haya fungasheni mwende nchi inayo kiongozi hamtowachwa kama mpo juu ya sheria!
Cheap politics...
 
Niseme ukweli tu Rais wangu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jemedari mkuu wa vikosi vya ulinzi na usalama tangu aingie madarakani ile hotuba ya jana ndio hotuba bora zaidi kupata kuitoa ikizidi ile ya siku ya kuapishwa kwake.

Amenifurahisha kwa kuudhirishia umma kuwa nchi ina raisi mmoja tu naye ni kutoka chama tawala na amiri jeshi mkuu ni mmoja tu Mama samia Suluhu Hassani.

Sasa kama wengi wao waliokuwa wana mjaribu kwa kujua mama akishindwa na watoto wake viburi hubaki kwa kusema subirini baba yenu arudi nitawasemea.

Jueni yeye hana huo udhaifu na anajia kila kitu nasema hivi hata yale matembezi ya mshikamano mliyoachiwa muda wowote jemedari anaweza yafuta ,
tena tabia zao za kuita press kila baada ya hotuba ya amiri jeshi mkuu ikomeshwe mara moja.

Walijua ni mwanamke wa mchezo mchezo tu JPM hakukosea kumchagua,

Hongera mama kwa hotuba bora kabisa ya kufungia mwaka na ya kufungilia uchaguzi wa serikali z mitaa.
Hata Hayati Magufuli amefurahi kwa kusikia nchi ipo kwenye mikono salama.

N.B: Wale mabaria wa kanada na ubeligiji kama hamna shughuli hapa nyumbani haya fungasheni mwende nchi inayo kiongozi hamtowachwa kama mpo juu ya sheria!

Kwa sasa wanashughulika na hao wengine,wakiwamaliza watahamia na huko kwenu na hapo hapatahitajika nguvu nyiiingi sana kuwaelewesheni. Ombi langu ni kwamba na nyie zamu yenu ikifika,muendelee kujitokeza hivihivi kufurahia na kushangilia hivihivi.

Tanzania ni yetu sote,tuna haki sawa mbele ya mama Tanzania.
#2025 ni KITANGANYIKA!
 
Akisema mwisho saa kumi jioni utalala tu!
Wapo waliokuwa wanaishi kongo chai wanakunywa ufaransa ila walisanda yupo alijiita jiwe pamoja na kutawala kila ktu bt kwny uchaguz alisanda mpk akavuruga uchaguzi ule sembuse uyu tope sungura wa zenji leo jiwe amebaki story so atasanda tu ni swala la muda bahati mbaya sn kwake pia yule si mtanganyika anataka kutawala nchi nyngne kimabavu tupo watanganyka zaid ya mil 50 iweje mzanzibar aje uku kutumaliza atasanda tu
 
Kwa sasa wanashughulika na hao wengine,wakiwamaliza watahamia na huko kwenu na hapo hapatahitajika nguvu nyiiingi sana kuwaelewesheni. Ombi langu ni kwamba na nyie zamu yenu ikifika,muendelee kujitokeza hivihivi kufurahia na kushangilia hivihivi.

Tanzania ni yetu sote,tuna haki sawa mbele ya mama Tanzania.
#2025 ni KITANGANYIKA!
Hizi ndio kauli za mtu muoga kupata kutokea!
 
Niseme ukweli tu Rais wangu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jemedari mkuu wa vikosi vya ulinzi na usalama tangu aingie madarakani ile hotuba ya jana ndio hotuba bora zaidi kupata kuitoa ikizidi ile ya siku ya kuapishwa kwake.

Amenifurahisha kwa kuudhirishia umma kuwa nchi ina raisi mmoja tu naye ni kutoka chama tawala na amiri jeshi mkuu ni mmoja tu Mama samia Suluhu Hassani.

Sasa kama wengi wao waliokuwa wana mjaribu kwa kujua mama akishindwa na watoto wake viburi hubaki kwa kusema subirini baba yenu arudi nitawasemea.

Jueni yeye hana huo udhaifu na anajia kila kitu nasema hivi hata yale matembezi ya mshikamano mliyoachiwa muda wowote jemedari anaweza yafuta ,
tena tabia zao za kuita press kila baada ya hotuba ya amiri jeshi mkuu ikomeshwe mara moja.

Walijua ni mwanamke wa mchezo mchezo tu JPM hakukosea kumchagua,

Hongera mama kwa hotuba bora kabisa ya kufungia mwaka na ya kufungilia uchaguzi wa serikali z mitaa.
Hata Hayati Magufuli amefurahi kwa kusikia nchi ipo kwenye mikono salama.

N.B: Wale mabaria wa kanada na ubeligiji kama hamna shughuli hapa nyumbani haya fungasheni mwende nchi inayo kiongozi hamtowachwa kama mpo juu ya sheria!
Kumbe mandamano yaliratibiwa na CHADEMA huko Arusha?
Apecifically kwa Lema, ameambiwa 4R ndiyo imemrudisha nchini toka Canada.
Na sheria ziko pale pale, ataminywa pumbu ikibidi.
 
Hao mabalozi ni kina nani mkuu hizo zao ndio namba moja kwa kukandamiza demokrasi hatujasikia wakikemea wafanye yalioyo waleta sio kuingilia mambo ya ndani ya nchi wao kazi zao watoe visa!
Nakushauri usome kwanza Mikataba ya Kimataifa ya Vienna Convention.

Hao Mabalozi wapo hapa Tanzania kwa mujibu wa Sheria na Mikataba ya kimataifa, hawako hapa kwa mwaliko wa CCM wala si kwa mwaliko wa Rais wa nchi hii.
 
Hakuna sauti ya mwanamke yenye mamlaka hapa chini ya jua. Ile ya jana haikuwa sauti yenye mamlaka bali ilikuwa sauti yenye vichambo na yenye kusuta tu kwetu.

Sisi wajuba tulisikia ni sauti ya muimba taarabu mmoja hivi.
Sasa jaribu uwone kama ni sauti ya taarabu au ni sauti ya Jemedari, alafu njoo utupe majibu yako humu!! Mkiwaambiwa Amiri Jeshi Mkuu kesha ongea hakuna tena mjadala, ni utekelezaji tu!!
 
Nakushauri usome kwanza Mikataba ya Kimataifa ya Vienna Convention.

Hao Mabalozi wapi hapa Tanzania kwa mujibu wa Sheria na Mikataba ya kimataifa, hawako hapa kwa mwaliko wa CCM wala si kwa mwaliko wa Rais wa nchi hii.
Je hiyo mikataba inasema waingilie mambo ya ndani za hizo nchi!
 
Back
Top Bottom