Sauti yenye mamlaka walifikiri nchi haina kiongozi!

Sauti yenye mamlaka walifikiri nchi haina kiongozi!

Niseme ukweli tu Rais wangu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jemedari mkuu wa vikosi vya ulinzi na usalama tangu aingie madarakani ile hotuba ya jana ndio hotuba bora zaidi kupata kuitoa ikizidi ile ya siku ya kuapishwa kwake.

Amenifurahisha kwa kuudhirishia umma kuwa nchi ina raisi mmoja tu naye ni kutoka chama tawala na amiri jeshi mkuu ni mmoja tu Mama samia Suluhu Hassani.

Sasa kama wengi wao waliokuwa wana mjaribu kwa kujua mama akishindwa na watoto wake viburi hubaki kwa kusema subirini baba yenu arudi nitawasemea.

Jueni yeye hana huo udhaifu na anajia kila kitu nasema hivi hata yale matembezi ya mshikamano mliyoachiwa muda wowote jemedari anaweza yafuta ,
tena tabia zao za kuita press kila baada ya hotuba ya amiri jeshi mkuu ikomeshwe mara moja.

Walijua ni mwanamke wa mchezo mchezo tu JPM hakukosea kumchagua,

Hongera mama kwa hotuba bora kabisa ya kufungia mwaka na ya kufungilia uchaguzi wa serikali z mitaa.
Hata Hayati Magufuli amefurahi kwa kusikia nchi ipo kwenye mikono salama.

N.B: Wale mabaria wa kanada na ubeligiji kama hamna shughuli hapa nyumbani haya fungasheni mwende nchi inayo kiongozi hamtowachwa kama mpo juu ya sheria!

Pia soma:Rais Samia: Kama Wapinzani wameota Mikia Sheria zile zile bado zipo
Watanzania tunapenda kuongopewa , misaada yote waliosaini ina kipengele cha haki za binadamu na kwamba mabalozi wao watasema jambo ikiwa wataona haki inakiukwa ,hayo aliyosema mam ni kuwaonyesha watanzania kuwa yeye ni jasiri,lakini najua balozi wake huko eu atawaambi waandishi wa habali hawamkumuuelewa rais.
 
Unazungumzia wa nchi gani? kama ni hawa wa hapa tanzania kila mmoja anajenga bangaluu lake aishi na familia yake kwa amani hakuna wa kwenda kusumbuliwa na upuuzi!
Bangaluu lake au siyo kumbe maviongoz majiz mafisadi toka ccm na wanufaika kama ww mkijenga mabangaluu bs ni watz wote tumejenga npo mkoan huku kanda ya ziwa watz wanaishi maisha magumu sn sn sa kama hakuna wa kusumbuliwa na upuuzi mnawateka wa nn sasa hao viongoz wa chadema kwann mnahangaika nao ikiwa hawazd hata 200 si waachwe ila uumma unaosema unajenga mabangaluu uwapuuze maana wao kama wao hawawezi kuandamana
 
CCM ipo na itaendelea kuwepo kama mlivyoikuta mtaondoka na mtaiacha
Labda kama ccm ndiye Mungu bs itadumu nje ya hapo bs iko ukingoni kama ina nguvu hzo uwoga wann sasa wanaotangaza nani ameshnda wote n wateule wa mwenyekt wa ccm bt bdo mnaogopa chadema wasfanye shughuri zao za ksiasa tena huyu mzenji atasanda mapema sn
 
Bangaluu lake au siyo kumbe maviongoz majiz mafisadi toka ccm na wanufaika kama ww mkijenga mabangaluu bs ni watz wote tumejenga npo mkoan huku kanda ya ziwa watz wanaishi maisha magumu sn sn sa kama hakuna wa kusumbuliwa na upuuzi mnawateka wa nn sasa hao viongoz wa chadema kwann mnahangaika nao ikiwa hawazd hata 200 si waachwe ila uumma unaosema unajenga mabangaluu uwapuuze maana wao kama wao hawawezi kuandamana
Hakuna mwananchi wa kupoteza muda kuacha kushugulika na matatizo ya familia yako kuburuzwa na wachumia tumbo wasiozidi hata kumi wewe baki huko huko kanda ya ziwa wenzie wanakula mema ufipa wakivimbiwa wanawahamasisha kwenda kusikiliza mashuzi zao yalivyo makubwa huku watoto wao wapo nje yq nchi!
 
Watanzania tunapenda kuongopewa , misaada yote waliosaini ina kipengele cha haki za binadamu na kwamba mabalozi wao watasema jambo ikiwa wataona haki inakiukwa ,hayo aliyosema mam ni kuwaonyesha watanzania kuwa yeye ni jasiri,lakini najua balozi wake huko eu atawaambi waandishi wa habali hawamkumuuelewa rais.
Ujumbe umefika!
 
Hahaha. Siyo ila wenzake watakuwepo na madaftari na kalamu zao. Uje uwafundishe kuandika mkuu. Wana kiu ya elimu.

Haina shaka ndugu.

Ila kama tunachopanga ni kwa mujibu wa katiba iliapiwa kulindwa, tunao uchaguzi upi kumbe?

Kuuvaa u kondoo?
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
S
Niseme ukweli tu Rais wangu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jemedari mkuu wa vikosi vya ulinzi na usalama tangu aingie madarakani ile hotuba ya jana ndio hotuba bora zaidi kupata kuitoa ikizidi ile ya siku ya kuapishwa kwake.

Amenifurahisha kwa kuudhirishia umma kuwa nchi ina raisi mmoja tu naye ni kutoka chama tawala na amiri jeshi mkuu ni mmoja tu Mama samia Suluhu Hassani.

Sasa kama wengi wao waliokuwa wana mjaribu kwa kujua mama akishindwa na watoto wake viburi hubaki kwa kusema subirini baba yenu arudi nitawasemea.

Jueni yeye hana huo udhaifu na anajia kila kitu nasema hivi hata yale matembezi ya mshikamano mliyoachiwa muda wowote jemedari anaweza yafuta ,
tena tabia zao za kuita press kila baada ya hotuba ya amiri jeshi mkuu ikomeshwe mara moja.

Walijua ni mwanamke wa mchezo mchezo tu JPM hakukosea kumchagua,

Hongera mama kwa hotuba bora kabisa ya kufungia mwaka na ya kufungilia uchaguzi wa serikali z mitaa.
Hata Hayati Magufuli amefurahi kwa kusikia nchi ipo kwenye mikono salama.

N.B: Wale mabaria wa kanada na ubeligiji kama hamna shughuli hapa nyumbani haya fungasheni mwende nchi inayo kiongozi hamtowachwa kama mpo juu ya sheria!

Pia soma:Rais Samia: Kama Wapinzani wameota Mikia Sheria zile zile bado zipo
AFI SANA HOTUBA BORA ZAIDI KWA RAIS BORA ZAIDI KEBEHI ZILIZIDI SASA NGOJA WANYOROSHWE WAJUE KUNA RAIS HII NCHI SIYO YA SAMAKI ALAAAAA
 
Hiyo hotuba ni ya mtu aliyevimbiwa madaraka.lakini ajue kuwa hata kabla ya mapinduzi kule misiri,Tunisia,Niger na Algeria viongozi walikuwa wanatoa hotuba za vitisha lakini wananchi walipoamua kuwaita adabu walikipata Cha moto.
HAKUNA KUVIMBIWA MADARAKA KIONGOZI YOYOTE LAZIMA AWE MKALI BILA HIVYO WATATAKA MPKA WASHIKE NA MBONI YA JICHO LAKE WANASIASA WAHUNI SANA SASA WAJARIBU KUINGIA BARABARANI WAONE KITAKACHOWAPATA WATALIA NA WA KWAO
 
Nilichosikia jana ni Conspiracy Theories, na Mipasho; Nimesikia, nimeona, etc etc etc Na kile kijeshi ati left right left right cha kuwashughulikia Chadema duuu. Hivi watu millioni 30 waingie mtaani na hicho kijeshi na hizo left right kitafanya nini! Anger, hunger vikifika kilele hivyo vi Left and Right huwa navyo vinakimbia. Kwa kuwa maana ya ya kuishi huwa tena haipo. Fugeni tu hizo chuki (anger) na njaa (hunger).
jaribuni muone kipigo cha mbwa mwizi mpka mchakaeeeeeeee
 
Niseme ukweli tu Rais wangu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jemedari mkuu wa vikosi vya ulinzi na usalama tangu aingie madarakani ile hotuba ya jana ndio hotuba bora zaidi kupata kuitoa ikizidi ile ya siku ya kuapishwa kwake.

Amenifurahisha kwa kuudhirishia umma kuwa nchi ina raisi mmoja tu naye ni kutoka chama tawala na amiri jeshi mkuu ni mmoja tu Mama samia Suluhu Hassani.

Sasa kama wengi wao waliokuwa wana mjaribu kwa kujua mama akishindwa na watoto wake viburi hubaki kwa kusema subirini baba yenu arudi nitawasemea.

Jueni yeye hana huo udhaifu na anajia kila kitu nasema hivi hata yale matembezi ya mshikamano mliyoachiwa muda wowote jemedari anaweza yafuta ,
tena tabia zao za kuita press kila baada ya hotuba ya amiri jeshi mkuu ikomeshwe mara moja.

Walijua ni mwanamke wa mchezo mchezo tu JPM hakukosea kumchagua,

Hongera mama kwa hotuba bora kabisa ya kufungia mwaka na ya kufungilia uchaguzi wa serikali z mitaa.
Hata Hayati Magufuli amefurahi kwa kusikia nchi ipo kwenye mikono salama.

N.B: Wale mabaria wa kanada na ubeligiji kama hamna shughuli hapa nyumbani haya fungasheni mwende nchi inayo kiongozi hamtowachwa kama mpo juu ya sheria!

Pia soma:Rais Samia: Kama Wapinzani wameota Mikia Sheria zile zile bado zipo
kwakweli mimi piaa amenikosha jana.
 
Haina shaka ndugu.

Ila kama tunachopanga ni kwa mujibu wa katiba iliapiwa kulindwa, tunao uchaguzi upi kumbe?

Kuuvaa u kondoo?
Ukondoo haufai boss ila kuna suala la motive. Motive ni nini? Maana usije kutumika tu kwa kujazwa sifa kuwa wewe si kondoo kwa maslahi ya wachache. Mfano, samiamustgo ni motive ya kupinga utekaji na mauaji tu au kuna maslahi mengine yamejificha?
 
Ukondoo haufai boss ila kuna suala la motive. Motive ni nini? Maana usije kutumika tu kwa kujazwa sifa kuwa wewe si kondoo kwa maslahi ya wachache. Mfano, samiamustgo ni motive ya kupinga utekaji na mauaji tu au kuna maslahi mengine yamejificha?

Mkuu motive ni kuhitaji uchunguzi huru kwenye hii teka teka pa kuanzia kwa Mzee Kibao.

Nikidhani wote tunaochukizwa na teka teka akiwamo Samia, Nchimbi na wote tutaungana kwenye Hilo.

Au wewe ulidhani tuachane tu na ya kina Mzee Kibao Kwa sababu kifo ni kifo tu?
 
Mkuu motive ni kuhitaji uchunguzi huru kwenye hii teka teka pa kuanzia kwa Mzee Kibao.

Nikidhani wote tunaochukizwa na teka teka akiwamo Samia, Nchimbi na wote tutaungana kwenye Hilo.

Au wewe ulidhani tuachane tu na ya kina Mzee Kibao Kwa sababu kifo ni kifo tu?
Unaona ni sahihi tulishughulikie kwa slogan ya samiamustgo?
 
Niseme ukweli tu Rais wangu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jemedari mkuu wa vikosi vya ulinzi na usalama tangu aingie madarakani ile hotuba ya jana ndio hotuba bora zaidi kupata kuitoa ikizidi ile ya siku ya kuapishwa kwake.

Amenifurahisha kwa kuudhirishia umma kuwa nchi ina raisi mmoja tu naye ni kutoka chama tawala na amiri jeshi mkuu ni mmoja tu Mama samia Suluhu Hassani.

Sasa kama wengi wao waliokuwa wana mjaribu kwa kujua mama akishindwa na watoto wake viburi hubaki kwa kusema subirini baba yenu arudi nitawasemea.

Jueni yeye hana huo udhaifu na anajia kila kitu nasema hivi hata yale matembezi ya mshikamano mliyoachiwa muda wowote jemedari anaweza yafuta ,
tena tabia zao za kuita press kila baada ya hotuba ya amiri jeshi mkuu ikomeshwe mara moja.

Walijua ni mwanamke wa mchezo mchezo tu JPM hakukosea kumchagua,

Hongera mama kwa hotuba bora kabisa ya kufungia mwaka na ya kufungilia uchaguzi wa serikali z mitaa.
Hata Hayati Magufuli amefurahi kwa kusikia nchi ipo kwenye mikono salama.

N.B: Wale mabaria wa kanada na ubeligiji kama hamna shughuli hapa nyumbani haya fungasheni mwende nchi inayo kiongozi hamtowachwa kama mpo juu ya sheria!

Pia soma:Rais Samia: Kama Wapinzani wameota Mikia Sheria zile zile bado zipo
 
Niseme ukweli tu Rais wangu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jemedari mkuu wa vikosi vya ulinzi na usalama tangu aingie madarakani ile hotuba ya jana ndio hotuba bora zaidi kupata kuitoa ikizidi ile ya siku ya kuapishwa kwake.

Amenifurahisha kwa kuudhirishia umma kuwa nchi ina raisi mmoja tu naye ni kutoka chama tawala na amiri jeshi mkuu ni mmoja tu Mama samia Suluhu Hassani.

Sasa kama wengi wao waliokuwa wana mjaribu kwa kujua mama akishindwa na watoto wake viburi hubaki kwa kusema subirini baba yenu arudi nitawasemea.

Jueni yeye hana huo udhaifu na anajia kila kitu nasema hivi hata yale matembezi ya mshikamano mliyoachiwa muda wowote jemedari anaweza yafuta ,
tena tabia zao za kuita press kila baada ya hotuba ya amiri jeshi mkuu ikomeshwe mara moja.

Walijua ni mwanamke wa mchezo mchezo tu JPM hakukosea kumchagua,

Hongera mama kwa hotuba bora kabisa ya kufungia mwaka na ya kufungilia uchaguzi wa serikali z mitaa.
Hata Hayati Magufuli amefurahi kwa kusikia nchi ipo kwenye mikono salama.

N.B: Wale mabaria wa kanada na ubeligiji kama hamna shughuli hapa nyumbani haya fungasheni mwende nchi inayo kiongozi hamtowachwa kama mpo juu ya sheria!

Pia soma:Rais Samia: Kama Wapinzani wameota Mikia Sheria zile zile bado zipo
Toa ujinga wako.
 
Hii nimeipenda. Kama nayaona hivi. Mbowe yuko mbele, Lissu na wapambe wengine wanamzuka Mbowe ili asitokee yeyote kumgusa. Tunamaliza maandamano salama usalmini. Ee Mola tunakuomba utuoneshe nani ni nani kwenye maandamano haya.

Yeyote aliyeitisha maandamano haya au kuyaunga mkono wakati wowote kama alidhani itakuwa lelemama anahitaji kupimwa akili.
 
Back
Top Bottom