Sauti yenye mamlaka walifikiri nchi haina kiongozi!

Sauti yenye mamlaka walifikiri nchi haina kiongozi!

Niseme ukweli tu Rais wangu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jemedari mkuu wa vikosi vya ulinzi na usalama tangu aingie madarakani ile hotuba ya jana ndio hotuba bora zaidi kupata kuitoa ikizidi ile ya siku ya kuapishwa kwake.

Amenifurahisha kwa kuudhirishia umma kuwa nchi ina raisi mmoja tu naye ni kutoka chama tawala na amiri jeshi mkuu ni mmoja tu Mama samia Suluhu Hassani.

Sasa kama wengi wao waliokuwa wana mjaribu kwa kujua mama akishindwa na watoto wake viburi hubaki kwa kusema subirini baba yenu arudi nitawasemea.

Jueni yeye hana huo udhaifu na anajia kila kitu nasema hivi hata yale matembezi ya mshikamano mliyoachiwa muda wowote jemedari anaweza yafuta ,
tena tabia zao za kuita press kila baada ya hotuba ya amiri jeshi mkuu ikomeshwe mara moja.

Walijua ni mwanamke wa mchezo mchezo tu JPM hakukosea kumchagua,

Hongera mama kwa hotuba bora kabisa ya kufungia mwaka na ya kufungilia uchaguzi wa serikali z mitaa.
Hata Hayati Magufuli amefurahi kwa kusikia nchi ipo kwenye mikono salama.

N.B: Wale mabaria wa kanada na ubeligiji kama hamna shughuli hapa nyumbani haya fungasheni mwende nchi inayo kiongozi hamtowachwa kama mpo juu ya sheria!

Pia soma:Rais Samia: Kama Wapinzani wameota Mikia Sheria zile zile bado zipo
Nchi ina punguani wengi sana. Huwezi kukosa nafasi ya juu, kukiwa na mashindano ya mapunguani. Hata wakikupa nafasi ya 3, lalamika kuwa umeonewa.
 
Hakuna aliyedhani nchi haina kiongozi zaidi ya yeye kujiita chura kiziwi.

Wananchi wengi walitaka kuona uongozi kwenye masuala haya ya utekaji, na mauwaji ya kisiasa.

Yeye anafananisha mauwaji ya kisiasa na yale ya vikongwe wanaohisiwa uchawi.

Hapo ame “downplay” mauwaji na utekaji unaondelea.

Hivyo hotuba hiyo inaonyesha yuko nyuma ya huu uharamia unaoendelea na huku akijificha nyuma ya kichaka cha “4R”
Kwani hao wanasiasa hawana private life kama watu wengine!?
 
Nilichosikia jana ni Conspiracy Theories, na Mipasho; Nimesikia, nimeona, etc etc etc Na kile kijeshi ati left right left right cha kuwashughulikia Chadema duuu. Hivi watu millioni 30 waingie mtaani na hicho kijeshi na hizo left right kitafanya nini! Anger, hunger vikifika kilele hivyo vi Left and Right huwa navyo vinakimbia. Kwa kuwa maana ya ya kuishi huwa tena haipo. Fugeni tu hizo chuki (anger) na njaa (hunger).
Tukutane tarehe 23
 
Nchi ina punguani wengi sana. Huwezi kukosa nafasi ya juu, kukiwa na mashindano ya mapunguani. Hata wakikupa nafasi ya 3, lalamika kuwa umeonewa.
Mimi nikipata ya tatu nitafurahi maana ya kwanza utakuwa wewe!
 
Nilichosikia jana ni Conspiracy Theories, na Mipasho; Nimesikia, nimeona, etc etc etc Na kile kijeshi ati left right left right cha kuwashughulikia Chadema duuu. Hivi watu millioni 30 waingie mtaani na hicho kijeshi na hizo left right kitafanya nini! Anger, hunger vikifika kilele hivyo vi Left and Right huwa navyo vinakimbia. Kwa kuwa maana ya ya kuishi huwa tena haipo. Fugeni tu hizo chuki (anger) na njaa (hunger).
Wwe usiangalie mipasho,angalia katiba ya Tanzania inasemaje! Jiuulize katiba ya Tanzania imempa Rais mamlaka makubwa sana,na ndiyo maana ana weza hata kuzi challenge balozi mbali mbali hapa Nchini!!
 
Wapo waliokuwa wanaishi kongo chai wanakunywa ufaransa ila walisanda yupo alijiita jiwe pamoja na kutawala kila ktu bt kwny uchaguz alisanda mpk akavuruga uchaguzi ule sembuse uyu tope sungura wa zenji leo jiwe amebaki story so atasanda tu ni swala la muda bahati mbaya sn kwake pia yule si mtanganyika anataka kutawala nchi nyngne kimabavu tupo watanganyka zaid ya mil 50 iweje mzanzibar aje uku kutumaliza atasanda tu
Jitokeze useme hadharani haya uliyo andika!
 
Jitokeze useme hadharani haya uliyo andika!
Wengi humu ni ma keyboard warriors,,,,au wanapata ujasiri wa kuandika hizi pumba zao wakijua hawapo bongo wapo kwenye nchi za mabeberu huko,,,,ila kujitokeza live hawana ubavu huo,,,,wataimba taarabu zao huku wamejificha kwenye keyboard zao huko canada
 
Wengi humu ni ma keyboard warriors,,,,au wanapata ujasiri wa kuandika hizi pumba zao wakijua hawapo bongo wapo kwenye nchi za mabeberu huko,,,,ila kujitokeza live hawana ubavu huo,,,,wataimba taarabu zao huku wamejificha kwenye keyboard zao huko canada
Hatari sana wanajaza watu upepo!
 
Jitokeze useme hadharani haya uliyo andika!
Kwan hapa nimejfcha mbona ww umeona atasanda tu ccm ipo ukingoni kbs haina maisha marefu kampeni za 2020 ndzo pia zlimmaliza jiwe maana alichokutana nacho hakutegemea sembuse huyu mzenji
 
Kwan hapa nimejfcha mbona ww umeona atasanda tu ccm ipo ukingoni kbs haina maisha marefu kampeni za 2020 ndzo pia zlimmaliza jiwe maana alichokutana nacho hakutegemea sembuse huyu mzenji
Dua la kuku!
 
Unadhan wengne hawana majeshi bt raia walipoamua walisanda so ni swala la muda tu hakuna jeshi la kuwazma raia wakiliamsha hata wengne nao walikuwa na vitisho kuliko hvyo ila walisanda
Unazungumzia wa nchi gani? kama ni hawa wa hapa tanzania kila mmoja anajenga bangaluu lake aishi na familia yake kwa amani hakuna wa kwenda kusumbuliwa na upuuzi!
 
Niseme ukweli tu Rais wangu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jemedari mkuu wa vikosi vya ulinzi na usalama tangu aingie madarakani ile hotuba ya jana ndio hotuba bora zaidi kupata kuitoa ikizidi ile ya siku ya kuapishwa kwake.

Amenifurahisha kwa kuudhirishia umma kuwa nchi ina raisi mmoja tu naye ni kutoka chama tawala na amiri jeshi mkuu ni mmoja tu Mama samia Suluhu Hassani.

Sasa kama wengi wao waliokuwa wana mjaribu kwa kujua mama akishindwa na watoto wake viburi hubaki kwa kusema subirini baba yenu arudi nitawasemea.

Jueni yeye hana huo udhaifu na anajia kila kitu nasema hivi hata yale matembezi ya mshikamano mliyoachiwa muda wowote jemedari anaweza yafuta ,
tena tabia zao za kuita press kila baada ya hotuba ya amiri jeshi mkuu ikomeshwe mara moja.

Walijua ni mwanamke wa mchezo mchezo tu JPM hakukosea kumchagua,

Hongera mama kwa hotuba bora kabisa ya kufungia mwaka na ya kufungilia uchaguzi wa serikali z mitaa.
Hata Hayati Magufuli amefurahi kwa kusikia nchi ipo kwenye mikono salama.

N.B: Wale mabaria wa kanada na ubeligiji kama hamna shughuli hapa nyumbani haya fungasheni mwende nchi inayo kiongozi hamtowachwa kama mpo juu ya sheria!

Pia soma:Rais Samia: Kama Wapinzani wameota Mikia Sheria zile zile bado zipo
Hapo ni pumba tu
 
Kwan hapa nimejfcha mbona ww umeona atasanda tu ccm ipo ukingoni kbs haina maisha marefu kampeni za 2020 ndzo pia zlimmaliza jiwe maana alichokutana nacho hakutegemea sembuse huyu mzenji
CCM ipo na itaendelea kuwepo kama mlivyoikuta mtaondoka na mtaiacha
 
Back
Top Bottom