MIKALILE YA WANYAUSI ndo shida ilokoanzia hivi ndo nini haswa?Kuna kina mama walikuwa sideways wakati ndugai akiongea...na walimsupport. Ndugai alisema hii ni sahihi sijui hii ni sawa... Kuna mmama mmoja akasema 'not at all'....
Hao nao hawana budi kuondoka naeee.... Haki tena. Mwenye ile video aweke.
Madhara ya chanjo😁😁😁😁😁Covid 19
Tatizo ni aliye Ndugai basi,sasa hivi tuna Sabaya,Ndugai,Makonda katutora shimo alilo jificha hataki hata kupiga chafyaHivo tunashangilia nini?hili ni taifa la ajabu. Kwa hiyo tinasherehekea mikopo!!!
HahahahaKuna kina mama walikuwa sideways wakati ndugai akiongea...na walimsupport. Ndugai alisema hii ni sahihi sijui hii ni sawa... Kuna mmama mmoja akasema 'not at all'....
Hao nao hawana budi kuondoka naeee.... Haki tena. Mwenye ile video aweke.
The best speach of Ndugai, hata kama ata toka pumzika kwa amani, watanzania wata kukumbuka kwa hotuba hiyo. Ulikuwa wapi muda huo wote kuongea kama vile?
Video hiyo...huyo aliyosema 'not at all' ni nani. !?? Huyu si wa kuachwa..
Mkuu ukikuta hawana nafasi yoyote ya uteuzi itabidi waondoke Tanzania au ? 🤣Kuna kina mama walikuwa sideways wakati ndugai akiongea...na walimsupport. Ndugai alisema hii ni sahihi sijui hii ni sawa. Kuna mmama mmoja akasema 'not at all.
Hao nao hawana budi kuondoka naeee.
Haki tena. Mwenye ile video aweke.
Wagogo wenzie mana lilikuwa kutaniko la wagogo.