Sauti za kike zilizokuwa zikimback up Ndugai wakati akiongelea Mikopo ni kina nani!?

Sauti za kike zilizokuwa zikimback up Ndugai wakati akiongelea Mikopo ni kina nani!?

Kuna kina mama walikuwa sideways wakati ndugai akiongea...na walimsupport. Ndugai alisema hii ni sahihi sijui hii ni sawa... Kuna mmama mmoja akasema 'not at all'....

Hao nao hawana budi kuondoka naeee.... Haki tena. Mwenye ile video aweke.
MIKALILE YA WANYAUSI ndo shida ilokoanzia hivi ndo nini haswa?
 
Hivo tunashangilia nini?hili ni taifa la ajabu. Kwa hiyo tinasherehekea mikopo!!!
 
Hivo tunashangilia nini?hili ni taifa la ajabu. Kwa hiyo tinasherehekea mikopo!!!
Tatizo ni aliye Ndugai basi,sasa hivi tuna Sabaya,Ndugai,Makonda katutora shimo alilo jificha hataki hata kupiga chafya
 
Kuna kina mama walikuwa sideways wakati ndugai akiongea...na walimsupport. Ndugai alisema hii ni sahihi sijui hii ni sawa... Kuna mmama mmoja akasema 'not at all'....

Hao nao hawana budi kuondoka naeee.... Haki tena. Mwenye ile video aweke.
Hahahaha
 


Video hiyo...huyo aliyosema 'not at all' ni nani. !?? Huyu si wa kuachwa..

The best speach of Ndugai, hata kama ata toka pumzika kwa amani, watanzania wata kukumbuka kwa hotuba hiyo. Ulikuwa wapi muda huo wote kuongea kama vile?
 
Mimi ninafikili walikuwa wanashangilia wakati ndugai akiongea wannapiga makofi waondolewe kwenye vitu vyao,maana Hawa ndowameshindwa kumshauri rais ipasavyo.Sasa turejeeni kwenye katiba mpya ili nchi ikae vizuri.
 
Tunaviongozi wachumia tumbo,mawaziri na wabunge si lolote,nashauri raisi avunje baraza lake la mawaziri kwani wanashangilia uozo aliozungumza ndugai na raisi alipokuwa anajibu hoja ya ndugai walikuwepo na walipiga makofi.
 
karibu kitaa Mh.Ndungai.
HAYA NDIYO MAPITO YA MAISHA

Kumbe KOROSHO zinakubali DODOMA?
IMG-20220107-WA0011.jpg
 
Yaliyo mkuta Ndungai ndiyo maafa ya Ulimi.
Kimsingi alilokuwa akilizungumzia nui jambo sahihikabisa , lakini jinsi livyolifikisha na kulielekezeamoja kwa moja kwenye Muhimili Mkuu wa nchi SERIKLI hasa akimlenga Mkuu wa Muhimili ambaye ana rungu Kubwa la Dola hapo ndipo alipojichanganya.
ULIMI, ULIMI, ULIMI pulika na wingi wa maneno yako, ambayo husababisha maafa kwa mwenye nao.
 
Hizo sauti zilikuwa zinasupport wanachokiamini kwa mtazamo wao. Haiwezekani watu wote tukawa na mtazamo unaofanana hivyo ni vyema msimamo wao ukaheshimiwa.
 
Kuna kina mama walikuwa sideways wakati ndugai akiongea...na walimsupport. Ndugai alisema hii ni sahihi sijui hii ni sawa. Kuna mmama mmoja akasema 'not at all.

Hao nao hawana budi kuondoka naeee.

Haki tena. Mwenye ile video aweke.
Mkuu ukikuta hawana nafasi yoyote ya uteuzi itabidi waondoke Tanzania au ? 🤣
 
Back
Top Bottom