multmandalin
JF-Expert Member
- Sep 8, 2012
- 2,034
- 577
Ndo limelipuka sasa! MIKALILE YA WANYAUSI kaianzisha mwenyewe!😂😂😂Usipendelee kuongelea sana mambo ya ama kabila au dini, hilo huwa bomu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo limelipuka sasa! MIKALILE YA WANYAUSI kaianzisha mwenyewe!😂😂😂Usipendelee kuongelea sana mambo ya ama kabila au dini, hilo huwa bomu
Ukweli ni muhimu usemwe. Kukwepa kusema ukweli ndo kimetufikisha hapa kwenye miparaganyiko isiyoeleweka.Usipendelee kuongelea sana mambo ya ama kabila au dini, hilo huwa bomu
Bungeni spika hatoi hoja we kima!!Hotuba ya Ndugai ilikuwa nzuri sana hasa kama angeiongelea bungeni alikuwa amefunga goli la uhakika! Pumbavu akaipeleka kusikokuwa na kinga, mamamake!! Tumemkula kichwa!
Kwani lazima aitoe yeye? Umekeketwa nini? Siyo kwa hasira hizo! Hujawahi kumsikia Spika akichombeza kwenye mijadala? Punguani wewe!Bungeni spika hatoi hoja we kima!!
Afu usikute we ni msomi kabisa!??
Sauti za wakina Halima mdee na Easter Matiko hizo.Kuna kina mama walikuwa sideways wakati ndugai akiongea...na walimsupport. Ndugai alisema hii ni sahihi sijui hii ni sawa. Kuna mmama mmoja akasema 'not at all.
Hao nao hawana budi kuondoka naeee.
Haki tena. Mwenye ile video aweke.
Hakika wamemalizana nae mazima! Huyu jobo alikuwa mtu fedhuli sanaJob inabidi amtafute aliemwalika kwny kile Kikundi cha Wagogo hadi akajikuta ameingia kwny 18 za Wahuni…juzi kati pia naskia alisema anakerwa sana na kukatika katika kwa Umeme sasa wahuni wa sukuma Gang wakashirikiana na wahuni wengine kumalizana nae