Sawa huenda Hayati Magufuli alikuwa fisadi, Je hizo pesa zilitoka wapi?

Sawa huenda Hayati Magufuli alikuwa fisadi, Je hizo pesa zilitoka wapi?

Wewe unaweza muamini Mwendazake? Yaani yule alivyokuwa muongo na kupenda propaganda na kuabudiwa?

Mwendazake ndiye alianzisha mambo ya kuponda watangulizi na kudanganya wanyonge wake kwa kusema tunajenga kwa pesa zetu kumbe mikopo ya kufa mtu.
Sasa mbona hao wengine niliwaamini lakini hawakutufikisha uchumi wa kati, yani IMF imuamini JPM lakini wewe Raia wa Mchambawima ndiyo usimuamini [emoji848][emoji1787]
 
Na wewe una maswali ya kitoto,kwamba pesa za kuiba zilitoka wapi?

Muulize Assad na Kichere maana wote ni wateule wake na ndio watia ripoti
Assad hakuwa mteuliwa wa JPM bali alikuwa mteuliwa wa JK isipokuwa JPM aliendelea naye tu ktk uongozi.

Afu kwanini alipita katika uongozi wa chama na kuwazidi Wagombea wote ikiwa JPM alikuwa Fisadi [emoji848][emoji16]

Mbona zaidi ya miaka 20 yote aliyokaa katika uwaziri hatukusikia huo upumbavu mkimuita Fisadi hadi baada ya kuwaminya mianya ya upigaji katika Urais wake ndipo mumuite Fisadi [emoji848][emoji28]
 
Na wewe una maswali ya kitoto,kwamba pesa za kuiba zilitoka wapi?

Muulize Assad na Kichere maana wote ni wateule wake na ndio watia ripoti



Kwahiyo hapa wewe ndio umetoa jibu la KIKUBWA ?

Sasa kama huna unachokijua kuhusu UFISADI WA JPM kwanini unashadadia,?


Mimi siendi kumuuliza Assad wala Kichere jambo lolote,

ila kama wewe una UHAKIKA kwamba hao jamaa wana USHAHIDI usio na chembe ya mashaka juu ya huo UFISADI basi waambie waje nao hapa ili tufunge mjadala!!
 
Wewe unaweza muamini Mwendazake? Yaani yule alivyokuwa muongo na kupenda propaganda na kuabudiwa?

Mwendazake ndiye alianzisha mambo ya kuponda watangulizi na kudanganya wanyonge wake kwa kusema tunajenga kwa pesa zetu kumbe mikopo ya kufa mtu.



Kwahiyo unataka tukuamini wewe na story zako hizi?

Hivi wewe ukija kwangu nikakukopesha pesa kiasi fulani kwa makubaliano kwamba utanilipa baada ya muda fulani


je ukienda kwenye kufanya mambo yako kwa kutumia hiyo pesa, hiyo pesa bado itakuwa inahesabika bado siyo yako?
 
Wewe unaweza muamini Mwendazake? Yaani yule alivyokuwa muongo na kupenda propaganda na kuabudiwa?

Mwendazake ndiye alianzisha mambo ya kuponda watangulizi na kudanganya wanyonge wake kwa kusema tunajenga kwa pesa zetu kumbe mikopo ya kufa mtu.
Ndo maana nasemaga wewe ni mpumbavu alafu ni kubwa jinga ,nyie si ndo mlisema magufuli ana mahusiano mabaya/mabovu na wazungu mpaka kufunga nchi kidiplomasia na mpaka leo hii mnasema mama anaenda ulaya kuifungua nchi, magufuli angepewaje mikopo kama alikuwa na mahusiano mabaya na donor countries!?? Wewe na kakikundi chako ni wasaliti risasi ni haki yenu.
 
Ukiwa na Akili Raha sana yaani Magufuli aliminya Demokradia halafu taasisi za kifedha za kimataifa zikamnyima Magufuli fedha,tena Magufuli alikuwa hasafiri kwenda huko kwa mabeberu kwa sababu aliwasema vibaya,Leo Samia anasafiri sana na amekopeshwa mikopo yenye riba nafuu kutoka mabenki ya kimataifa na sasa analipa madeni ambayo Magufuli alikopa wakati ule wazungu walipogoma kuipatia Tanzania mikopo.hii CCM na serikali yake inajitekenya na kucheka yenyewe,Raha sana mambo haya,na kumbe usahaulifu ni kitu kibaya sana.
 
Jana tuliambiwa Nchi ilikuwa haikopesheki kwa sababu ya utawala wa kimabavu wa kuminya Demokradia ,alafu leo Magufuli amekopa sana na kusababisha teni la Taifa kuwa kubwa.SASA AMEKOPA WAPI WAKATI TULIKUWA HATUKOPESHEKI.Watanzania wengi hapa ndio panawapa shida hebu toeni ELIMU.
 
Jana tuliambiwa Nchi ilikuwa haikopesheki kwa sababu ya utawala wa kimabavu wa kuminya Demokradia ,alafu leo Magufuli amekopa sana na kusababisha teni la Taifa kuwa kubwa.SASA AMEKOPA WAPI WAKATI TULIKUWA HATUKOPESHEKI.Watanzania wengi hapa ndio panawapa shida hebu toeni ELIMU.
Mtu ambaye hakopesheki leo amekuza deni la taifa kuliko anayekopesheka yani😅😅😂😂 vioja havitakaa viishe yani
 
Ndo maana nasemaga wewe ni mpumbavu alafu ni kubwa jinga ,nyie si ndo mlisema magufuli ana mahusiano mabaya/mabovu na wazungu mpaka kufunga nchi kidiplomasia na mpaka leo hii mnasema mama anaenda ulaya kuifungua nchi, magufuli angepewaje mikopo kama alikuwa na mahusiano mabaya na donor countries!?? Wewe na kakikundi chako ni wasaliti risasi ni haki yenu.
Mpumbavu ni wewe na baba yako,mikopo ya Magufuli ni mikopo ya kibiashara ambayo mingi ilikopwa kwenye mabenki ya kibiashara.
 
Back
Top Bottom