Sawa huenda Hayati Magufuli alikuwa fisadi, Je hizo pesa zilitoka wapi?

Haaah haaah mkuu usiwapeleke speed speed kama hivyo,watakimbia wote hapa,twende nao taratiiiiiibu mpaka wakome kuzusha mambo



Walikuwa wanafikiri tumesahau waliyokuwa wanayasema kipind JPM yupo anapiga kazi?
😂😂 basi we wapeleke taratibu mimi sipendagi kuwalazia damu wahuni sazingine inabidi kwenda nao sawatu maana watuwenyewe walio chaguana kujaribu kuuwa legacy ya magu woote hawana hoja zenye akili ni mahasiratu yasiyo pimika ndio maana unaona wanatukanatu.
 




Mkuu kwanza usiwe na HASIRA twende tararibu tu tutafika,


Pili achana na habari za CAG kasema,yeye
Sio MUNGU ni binadamu tu kama wewe


Tatu ni wazi kabisa hufahamu ofisi ya CAG inafanya kazi kwa namna gani


Na mwisho kabisa nakushauri soma kwa umakini hii thread,uelewe msingi wa swali langu then ndio uje tena hapa na majibu yenye mantiki
 
Hakuna mahali alisema zilitumika bila kuidhinishwa, acha uongo kama marehemu wako. Alisema hazionekani. Full stop. Maana yake zimeibwa na hazina maelezo
 
Kwahiyo nisimuamini Prof Assad ambae ni miongoni mwa auditor 6 wakuu wa UN nije nisikilize porojo za Magu anaeua watu ili kuwanyamazisha wasiongee? Swali anatoa hela wapi nilishakujibu, ndo kiongozi ameiingiza hii nchi kwenye madeni makubwa kwa muda mfupi kuliko Rais yoyote, pili ndo mtu amepora watu kwa dhulma mali zao kuliko mtu yoyote. Kazi yake ilikuwa kunyamazisha watu kwa nguvu na kuaminisha watu uongo

 
Nenda kariakoo au uliza wizara ya fedha hutaweza kuwafahamu mimi binafsi nina marafiki zaidi ya wanne
Toa ujinga wako, tulishudia wenyewe katika mkutatano na wafanyabiashara, Magufuri alivyoamuru mfanyabiashara mmoja hapo kkoo aliyekuwa amezurumiwa na tra kwa kukataa kutoa rushwa,kufukuza maafisa wa tra kwa dhuruma,kama Magufuri angeliwa anawanyanganya wafanyabiashara ela zao kama mnavyodai,angeliamuru tra walipe ela ya yule mzee pamoja na fidia?ache kumsingizia magufuri akina Mo wamekuwa wafanyabiashara bora Africa kipindi cha Magufuri,akina Bacressa na Mengi hatukuona wakilalamika kunyanganywa ela zao kwenya account,labda wafanyabiashara wa dili ndio walipata shida kwenye utawala wa Magufuri
 



Tatizo lako uelewa mdogo,sasa kwa kuweka hizo picha hapa ndio umethibitisha nini?
 
Alipora kwa wafanyabiashara..

Pili kutimiza wajibu wake hakujuatify wizi.

By the way alipokea Nchi ikiwa vizuri kiuchumi na watu Wana pesa ndio maana alipata hizo pesa ..

Ila sasa alipoharibu ndio kaanza kubambikia watu kesi,Kodi,kupora na upuuzi kama huo..

Hadi Samia anachukua Nchi ilikuwa imefikisika lakini kwa ubunifu na ujasiri imerudi kiasi kwenye mstari..

Mwisho Kati ya vyote ukivyotaja hapo juu ni ndege tuu ndio mradi uliokamikika ila miradi iliyobakia hakuna hata mmja aliuacha ukiwa umefikia hata 30%..
 


Hao wengi ni watu wa kubeba mambo kama yalivyo kutoka kwa wanasiasa,hawataki kuumiza vichwa vyao
 



Duuuh!! Mkuu nikikwambia usome na uelewa ulichoandika utaweza?


Anyway,unasema Mara alipora kwa wafanyabiashara,unaweza ukawataja hapa hao wafanyabiashara walioporwa pesa zao na kiasi walichoporwa?


Mara alipokea nchi ikiwa vizuri kutoka kwa Kikwete? Sasa zile kashfa za ufisadi zote za kipindi kile hadi kupelekea baadhi ya watu kujiuzuru wewe unazingumziaje?

Vp kuhusu wanyama kupandishwa kwenye ndege?


Vp kuhusu kuongezeka kwa ujangili?


Hapa yapo mengi sana,sioni sababu ya kuendelea nayo


Unasema samia alichukua nchi imefilisika ila sasa hivi kairudisha kwenye mstari,kwa hiyo kwa kadri ya uelewa wako sasa hivi nchi ipo kwenye mstari?


Labda ingekuwa vizuri zaidi ungesema ni mstari gani unaozungumzia hapa?isije kuwa tunaongea lugha gongana hapa!!
 
UMEMALIZA.MKUU PONGEZI......RAIS SAMIA ANAKAZI KUBWA SANA
 
 
Hujitambui,
.alizonyang'anya watu ktk account zao
,Alizopata kupitia sabaya na makonda.
,Maduka ya forex
 
Swali la kitoto sana hili,
Hata mtoto wangu wa darasa la saba angeweza kujibu,
Mapato yapo sana tu nchi hii,tatizo yanaliwa,sasa fikiria kama pale hazina watu wakipiga milioni 500 kwa siku mbili kama posho,utashangaa vipi na kuuliza Eti pesa inatoka wapi!!nchi hii inapesa nyingi kutoka kwenye vyanzo vyake cilicyokuwepo miaka 10 iliyopita,tatizo pesa nyingi zinaliwa na majizi kama Mkapa,Kikwete,JPM,unapouliza pesa ilitoka wapi,ilitoka hazina,kwanini halificha manunuzi ya Ndege?bei ya Ndege iliwekwa Cha juu,tender za ujenzi wa airport ya chato aliipa kampuni ya shemeji yake,sasa utakuwa kichaa ukisema huu sio upigaji
 
Kiongozi Sasa usiniangushe. Mimi nakuona kama mtu mtulivu lakini nimegundua hauko makini. Hapa umefikia conclusion prematurely na kuyadhani ni majungu. Nilichokwambia ni kuwa VYOTE vitawekwa hadharani. Ingekuwa rahisi kwako kugundua kuwa hivi ulivyovisikia ni sehemu tu ya ufisadi husika labda uwe ujui maana ya vyote.

Mahaba yanakusumbua sana. Nikudokeze tu hatuteseki maana Sasa nchi iko huru tena na amani tele. Tunashughulika na wenye kuteseka na mahaba
 
Unajua maana ya kupika data? Pia jua kuanzisha miradi si kumaliza miradi. Kumbuka nja kuu ya kufisadi ni kuanzisha complex miradi. Mfano SGR badala ya kuanza upande mmoja, alianzisha pande zote. Yule alikuwa mpigaji professional.
 
Unajua maana ya kupika data? Pia jua kuanzisha miradi si kumaliza miradi. Kumbuka nja kuu ya kufisadi ni kuanzisha complex miradi. Mfano SGR badala ya kuanza upande mmoja, alianzisha pande zote. Yule alikuwa mpigaji professional.





Mkuu acha blah blah,tuonyeshe ni jinsi ganI alipiga hizo trillions kutoka kwenye hiyo miradi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…