Sawa huenda Hayati Magufuli alikuwa fisadi, Je hizo pesa zilitoka wapi?



Sasa mkuu si ndio uweke wazi hivyo vyanzo ambavyo vimetumika kwenye upigaji,achana na mambo ya kwenda KIHISIA zaidi,

weka data hapa tuone kwenye ndege imepigwa kiasi hiki,Airport chato kumepigwa kiasi hiki nk nk !!

Airport ya chato tenda kupewa shemeji yake,hiyo kwako wewe inadhihirisha UPIGAJI?
 
Wewe kutokuwa MPUMBAVU ndio kumekufanya ugundue kwamba mimi ni msukuma pasipo kunijua hata chembe?


Nani anaonyesha kuwa na UPUMBAVU Kati yangu mimi na wewe hapa kwa aina hii ya majibu unayotoa hapa?
Magufuli alishakufa na hakuwa msukuma.

Jifunze KUZOEA, mbwiga wewe.
 



Nimekuuliza maswali hapo juu kulingana na majibu yako ya awali,

Sijafanya conclusion yoyote prematurely zaidi ya kukwambia kama hizo data za UFISADI wa JPM wewe huna kwa sasa basi piga kimya mpaka utakapokuwa nazo

Sasa unaniambia sijui hivi nilivyosikia ni sehemu tu ya UFISADI husika, nakwambia weka supporting evidence ya madai/tuhuma zako hapa unakimbilia kusema mahaba yananisumbua na blah blah nyingine kibao!!

Nikikwambia majungu tu ndio yanakusumbua juu ya JPM utakataa?
 
Geukia na deni la taifa tangu 2016 hadi 2021, afu urudi hapa.
 
Wewe JUHA hivi unajua kusoma vizuri?

Hivi unajua Magu ndani ya Miaka 6 tu ya utawala wake, LILIKOPA pesa nyingi kinoma kuliko pesa zote ambazo Kikwete alikopa miaka yote 10 ya UTAWALA Wake?
Naungana nawewe,huenda ndio sababu inayomfanya Magufuli awe raisi wa kwanza ambae kwa kipindi kifupi mnoo amefanya mambo makubwa ambayo yaliwashinda viongozi wa tatu waliotawala nchi kwa miaka 30 mfululizo.
 
Naungana nawewe,huenda ndio sababu inayomfanya Magufuli awe raisi wa kwanza ambae kwa kipindi kifupi mnoo amefanya mambo makubwa ambayo yaliwashinda viongozi wa tatu waliotawala nchi kwa miaka 30 mfululizo.
Mambo yapi hayo?
 

Wafanyabiashara gani while kipindi chake ndio biashara zilikufa kabisa ?
 
Wafanyabiashara gani while kipindi chake ndio biashara zilikufa kabisa ?
Una AKILI timamu?

Rudia kusoma tena nilicho andika.

Hivi kwanini wafuasi wa marehemu Magufuli Ni watu ambao dishi limeyumba sana.
 
Ujambazi wa Bureau de change, akaunti za matajiri na mawe ambayo sasa yanaibukia Dubai. Commission za yote uliyoyaorodhesha alikuwa anakula. Kivuko alichokihamishia jeshini. Zitto amesema kama vipi mwende mkazikwe naye Chato.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…