1.Alipiga panga kwa wafanyakazi hewa, Ambao wengi walionewa. .....
2.Alikaba kodi yeyote na popote kwa nguvu,na vitisho!
3.Aliwabana wafanya biashara wakubwa na wawekezaji ili kulipa ushuru mkubwa kupita kiasi!! wengi waka sepa zao!....
4.Hela za kununulia ndege!! tena basi cash! cash! wkt hayo makampuni wanatoa kwa mikopo Duniani kote!! hapo alipiga cha juu kikubwa mnooo! tena wazi wazi! wkt akijua kuwa hazita fanya safari za tija ktk ulimwengu wa ushindani wa safari za anga hapa EA.na Duniani kiujumla!
5.Kulazimisha kujenga uwanja wa ndege usio kuwa na tija kwao, kusababisha kanda ya ziwa iwena viwanja vitao vikubwa bila sababu ya msingi ya kufanya ivo, hapa ni wazi alipiga cha juu kikubwa sana.. kupitia kampuni ya mwizi mwenzie Mayanga Const.
6.Alibania fungu la pesa la Ofisi ya Rais la kusafiri nje ili apige cha juu! kwa ksingizio eti ni safari za hovyo! wkt nchi haina vyanzo vikubwa vyamapato!! aliona aibu kutembeza kopo!
7.Mikopo ya wanafunzi wa Elimu ya juu alipiga panga vibaya sana! wkt hizo hela zilikuwa za wafadhiri
8.Hela za kupandisha Madaraja watumishi wa Umma alipiga cha juu maksudi tu! kwa miaka yote!...je alizipeleka wapi??
Alifanya maksudi akijua hata shtakiwa lkn Mungu akamuwahi!! Puuuu!
9.Alitumia hela nyingi kwenye misafara yake Mikoani, kwa kutoa hongo kwa watu hovyo ili kuwarubuni wamchague!
10. Aliua hovyo Binadamu wenzake hasa wapinzani tena maksudi tu!! mbele ya Binadamu na Malaika kana kwamba wao si watu wenye uungu ndani yao !! na hiyo yoote ili aishi kwa amani yeye binafsi!! akasahau kuwa kuna Mungu. mfano Anzoli gwanda maskini wa Mungu yule jamaa kapotea mpaka wa leo hatujui nini kilimpata!
11.Alikuwa Muoga sana na hii style ya kukurupuka bila kufikiri ya baadaye! ilikuwa ni dalili kubwa ya uoga! Kifupi ni kwamba uoga wa kuuawa, kupinduliwa, changamoto, kumsema hovyo, kushindwa kuongoza ,uzoefu butu, kupenda sifa za kijingank
ulimfanya jiwe atumie nguvu kubwa sana kuongoza jahazi bila kufikiri kuwa hiyo itamuharibia mazimaaa!! na hata ile kufa yake ilikuwa ni hofu km matokeo ya matendo yake!!
tulimwambia akatambikie zile damu alizo mwaga lkn lile jamaa lilikuwa bishi sana! ndo maana hata Bashite!! alimpotezea yani hakumpeleka tena kiringeni!!...kwa kuachana nae vyema akajifanya kugombea kigamboni ili aaachane na jiwe!! Bashite alijua maksudi tu kuwa atashindwa!
Hapa unajibiwa kwa kadri ya majibu yako
1;alipiga panga kwa wafanyakazi hewa ambao wengi walionewa, yaani ni 'wafanyakazi hewa' alafu bado walionewa ?...inaposemwa WAFANYAKAZI HEWA wewe unaelewa nini?
Tuwekee hapa 'alipiga panga ' kiasi gani kwa hao wafanyakazi hewa walioonewa
2; alikaba kodi YEYOTE na popote kwa
nguvu na vitisho?kwa hiyo kwako wewe serikali kuhakikisha inakaba na kukusanya kodi kwa nguvu na vitisho ni UFISADI?
3; ikiwa hao wafanyabiashara walisepa baada ya kubanwa kwa kodi kubwa,je hizo trillions alizofisadi zilitokea wapi?
Pia naomba utuwekee majina ya hao wafanyabiashara wakubwa waliobanwa kwa kodi kubwa mpaka wakaamua kusepa
4;kwanza unafahamu tofauti iliyopo kwa mtu anayelipia bidhaa fulani kwa wakati mmoja na Yule anayelipia kidogo kidogo kwa muda mrefu?
Pia naomba utuambie hicho cha juu kikubwa alichopiga kwenye huu ununuzi wa ndege ni kiasi gani?
5;hapa inabidi nicheke kwanza,aiseeh!!
Kanda ya ziwa kuwa na viwanja vitano vikubwa vya ndege kwako wewe ni UHALIFU na UFISADI?
Je hivyo viwanja vinafanya kazi ya kuhudumia watu ama vimekufa?
Weka USHAHIDI wa kiasi kilichopigwa kwenye uwanja wa ndege chato
6;hapa ndio najikuta nacheka zaidi,duuuuuh hii hatari sasa!!.
Kwahiyo kwako wewe nchi kutembeza bakuli kila leo ni jambo la KUJIVUNIA?
Unaweza kutuambia ni kiasi gani kilitengwa kama bajeti ya JPM kwenda kuomba omba huko nje lakini kikaishia kwenye mifuko yake?
7;kichekesho kingine hiki,kwamba hela ya mikopo ya elimu ya juu ya nchi hii inatoka kwa wafadhiri?
na JPM alivyokuwa FISADI akakomba hela zote za mikopo na kwenda kuzificha chato
Kwahiyo hapa tunakubaliana kwamba katika kipindi chote cha uongozi wa JPM,wafunzi wa elimu ya juu hawakuweza kuendelea na masomo yao kutoka na kukosa mikopo ? Maana Hayati alipiga panga mikopo yote!!
Kuanzia namba 8,9,10 na 11 kote humo umeandika UPUUZI uliopita viwango,nimejibu tu baadhi ya sehemu kukuonyesha jinsi ulivyo KILAZA unayefuata tu mkumbo bila kujua chochote!!