Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, angekuwapo, asingeweza kupingika.Sababu wewe umekata kupinga Kila kitu hivo ni ngumu
Ndio mkuu yaani inakua strongly😂😂😂 Kwahiyo hata unakibamia unawekewa ya punda mzee
mie nadhani ukienda kwanza huko mbinguni kupitia kaburi, utajua tu namna ya kuongea na utakao kutana nao huko huko huko mbinguni. Ishi vizuri tu kwenye ulimwengu huu, na hazina yako njema utaikuta mbinguni 🐒Wakuu Bwana ni mwema!!
Maandiko yanatuambia ya kuwa👇👇Mwanzo 11:1-7 (KJV) Nchi yote ilikuwa na lugha moja na usemi mmoja.
Ikawa watu waliposafiri pande za mashariki waliona nchi tambarare katika nchi ya Shinari; wakakaa huko.
Wakaambiana, Haya, na tufanye matofali tukayachome moto. Walikuwa na matofali badala ya mawe, na lami badala ya chokaa.
Wakasema, Haya, na tujijengee mji, na mnara, na kilele chake kifike mbinguni, tujifanyie jina; ili tusipate kutawanyika usoni pa nchi yote.
Bwana akashuka ili auone mji na mnara waliokuwa wakiujenga wanadamu.
Bwana akasema, Tazama, watu hawa ni taifa moja, na lugha yao ni moja; na haya ndiyo wanayoanza kuyafanya, wala sasa hawatazuiliwa neno wanalokusudia kulifanya.
Haya, na tushuke huko, tuwachafulie usemi wao ili wasisikilizane maneno wao kwa wao.
Vilevile yanatuambia baada ya taabu zetu hapa duniani basi tutaenda mbinguni Kwa Mungu wetu.
Huko mbinguni nikustarehe na kula Bata tu Hadi basi
Swali ambalo Huwa najiuliza Kila mara NI SAWA TUMEFIKA MBINGUNI JE TUTATUMIA LUGHA GANI?
imagine hii Dunia Ina lugha nyingi mno huenda ni maelefu ya lugha je TUTATUMIA LUGHA ipi kuwasiliana au tutatengwa?
Mfano sisi waswahili tunakuwa na kamkoa ketu. Vivyo hivyo na wakenya,Japan, USA,nk?
Kwa upande wa wenzetu mi naona lugha Yao ni Moja tu yaani kiaarabu pekee je sisi ambao Hadi Kuna bible zenye lugha ya kichagana kisukuma itakuaje?
Karibuni.
Unaweza kujikuta unakosa raha za peponi kizembe sanaMungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, angekuwapo, asingeweza kupingika.
Ukiona inawezekana kufanyika mjadala kuhusu Mungu huyu kuwapo, ujue huo mjadala nao ni uthibitisho kwamba huyo Mungu hayupo.
Unaelewa hilo?
Kuongea kunaanza kaburini kwanza...mie nadhani ukienda kwanza huko mbinguni kupitia kaburi, utajua tu namna ya kuongea na utakao kutana nao huko huko huko mbinguni 🐒
NaChojua ndo nikuambiacho Mungu yupo mkuuMungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, angekuwapo, asingeweza kupingika.
Ukiona inawezekana kufanyika mjadala kuhusu Mungu huyu kuwapo, ujue huo mjadala nao ni uthibitisho kwamba huyo Mungu hayupo.
Unaelewa hilo?
ni kama ukienda china kule ndani ndani kabisaa vijijini, hawajui lugha nyingine zaidi ya kichina. ukiskia kiu na njaa ya haki lazima utajua tu namna ya kuwasilina nao ili upate maji na chakula, na matokeo yake utajikuta ni sehemu ya jamii ile 🐒Kuongea kunaanza kaburini kwanza...
Unakutana na hamsha hamsa mpaka utajua kuingea lugha zote
Hii habari njema kwetuNdio mkuu yaani inakua strongly
Mbinguni sio kama china mkuuni kama ukienda china kule ndani ndani kabisaa vijijini, hawajui lugha nyingine zaidi ya kichina. ukiskia kiu na njaa ya haki lazima utajua tu namna ya kuwasilina nao ili upate maji na chakula, na matokeo yake utajikuta ni sehemu ya jamii ile 🐒
😂😂😂😂Kuongea kunaanza kaburini kwanza...
Unakutana na hamsha hamsa mpaka utajua kuingea lugha zote
Tuta speak in tongue’s lkn tutakuwa tunaelewanaWakuu Bwana ni mwema!!
Maandiko yanatuambia ya kuwa👇👇Mwanzo 11:1-7 (KJV) Nchi yote ilikuwa na lugha moja na usemi mmoja.
Ikawa watu waliposafiri pande za mashariki waliona nchi tambarare katika nchi ya Shinari; wakakaa huko.
Wakaambiana, Haya, na tufanye matofali tukayachome moto. Walikuwa na matofali badala ya mawe, na lami badala ya chokaa.
Wakasema, Haya, na tujijengee mji, na mnara, na kilele chake kifike mbinguni, tujifanyie jina; ili tusipate kutawanyika usoni pa nchi yote.
Bwana akashuka ili auone mji na mnara waliokuwa wakiujenga wanadamu.
Bwana akasema, Tazama, watu hawa ni taifa moja, na lugha yao ni moja; na haya ndiyo wanayoanza kuyafanya, wala sasa hawatazuiliwa neno wanalokusudia kulifanya.
Haya, na tushuke huko, tuwachafulie usemi wao ili wasisikilizane maneno wao kwa wao.
Vilevile yanatuambia baada ya taabu zetu hapa duniani basi tutaenda mbinguni Kwa Mungu wetu.
Huko mbinguni nikustarehe na kula Bata tu Hadi basi
Swali ambalo Huwa najiuliza Kila mara NI SAWA TUMEFIKA MBINGUNI JE TUTATUMIA LUGHA GANI?
imagine hii Dunia Ina lugha nyingi mno huenda ni maelefu ya lugha je TUTATUMIA LUGHA ipi kuwasiliana au tutatengwa?
Mfano sisi waswahili tunakuwa na kamkoa ketu. Vivyo hivyo na wakenya,Japan, USA,nk?
Kwa upande wa wenzetu mi naona lugha Yao ni Moja tu yaani kiaarabu pekee je sisi ambao Hadi Kuna bible zenye lugha ya kichagana kisukuma itakuaje?
Karibuni.
Kwanza thibitisha huko peponi kupo, kabla ya habari nyingine zozote kuhusu raha za peponi.Unaweza kujikuta unakosa raha za peponi kizembe sana
Hicho ni unachoamini. Hujakithibitisha bado, hivyo, hakijawa unachojua.NaChojua ndo nikuambiacho Mungu yupo mkuu
Kuna akina sisi kiarabu tunajua Cha kudoea futali tuNadhani wote tunajua kuwa lugha ni moja tu, kiarabu 😂😂😂
Unanichanganya mkuu. Lengo lako hasa Nini niache kumuabudu Mungu wa mbinguni?Hicho ni unachoamini. Hujakithibitisha bado, hivyo, hakijawa unachojua.
Naona hujui hata tofauti ya kujua na kuamini.
Thibitisha Mungu yupo.
nimekueleza namna utakavyojua kuwasiliana kwa lugha ya huko unakopataman🐒Mbinguni sio kama china mkuu
Kwahiyo hakuna lugha maalumu itakayokuwepo?Tuta speak in tongue’s lkn tutakuwa tunaelewana
Mambo haya ni magumu aseenimekueleza namna utakavyojua kuwasiliana kwa lugha ya huko unakopataman🐒
Lengo langu ni kichambua mambo kupata ukweli.Unanichanganya mkuu. Lengo lako hasa Nini niache kumuabudu Mungu wa mbinguni?