Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
- #61
Kwahiyo ni mapambaio tu
Mbinguni hakuna umbea, muongee ili iweje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbinguni hakuna umbea, muongee ili iweje?
Kisubwa
Na wakati unamwomba Mungu unatumia lugha gan?
Ndo kama Hivi Sasa tumeshaanza maandalizi ya kwenda sema lugha ndo kama Hivi nauliza BadoSuala si mimi na kuniweza. Hizi ni hoja, zilikuwepo kabla mimi sijazaliwa.
Sema huwezi kuthibitisha Mungu yupo na mbinguni kupo.
Usiseme huniwezi mimi.
Comment no58kwani saa hizi unaongea lugha gani ??
Hujathibitisha Mungu yupo, hujathibitisha mbinguni kupo.Ndo kama Hivi Sasa tumeshaanza maandalizi ya kwenda sema lugha ndo kama Hivi nauliza Bado
Hakika umesomeka mkuu. Kama ni hivyo ni sawa kabisaMwandishi wa habari hio hakua na uelewa wa jiografia
Aliandika akiwa anafikra kuwa mbingu ipo juu angani, wakati anga limejawa na nyota na sayari
Makazi ya Mungu Ni Siri kuu
Hio Ni simulizi ya ubunifu Kama ile ya Adam na Hawa kwa maudhui ya kujenga hoja ya asili ya lugha mbalimbali za wanadam
Ukweli Ni kuwa mwanadamu zamani hakuwa na taknolojia ya kujenga jengo refu hata la kilometa 1
Mwandishi anaonesha kuwa Mungu alihofu kazi ya ujenzi ingewafanya watu wafike mbinguni kitu ambacho si kweli, maana angani kote Ni utupu zaidi ya uwepo wa nyota tu
Tuseme Basi wangeweza kujenga jengo la kilometa nyingi, (japo si kweli) maana yake wangeishia kukosa hewa na kazi yao ingeishia hapo
Nikijibu swali kuhusu lugha gani tutaongea baada ya ufufuko, (sababu Mimi ni Kati ya wanaoamini ufufuko wa wafu) ni hiohio lugha ambayo kila mmoja anaongea sasa
Kila ataongea lugha yake then kila mmoja atamsikia mwenzake anaongea kwa lugha yake!
Kumbuka dunia ijayo Ni dunia ya utukufu mkuu.
Na hakika tutashuhudia mengi ya ajabu kwenye maisha mapya ya utukufu.
Tubuni na kuiamini Injili
[emoji120]
na Mungu yupo pia.Hujathibitisha Mungu yupo, hujathibitisha mbinguni kupo.
Hujathibitisha.Mbinguni kupo mkuu
na Mungu yupo pia.
Maswala ya Imani mkuuHujathibitisha.
Imani hata uongo unaamini tu, ni haki yako.Maswala ya Imani mkuu
Mkuu hizi hadithi ungetakiwa uziache ulivyo maliza tu darasa la saba, sasa wewe umezibeba hadi ukubwani 😁😁😁,hizo ni kwa ajili ya mafundisho ya watoto kuwakuza katika tabia njema kwa hadithi za namna hiyo na za kina juma na uledi
Mkuu hujataja mito ya pombe, ambayo watu watakunywa hata Ukitaka kuoga pombe ruksaLugha ni moja tuu kiarabu..
Alafu wote tutakua katika umri mmoja yaani vijana mashabab...
Hakutokua na mtoto..
Kila mwanaume utapewa wadada mia ambao hao utawatumia kadri utakavyo tena Mungu mwingi wa rehma atakupa na nguvu za kuwakanda hao warembo.
Mkuu ni hatare sana unaambiwa
Ewaaah kuna mito ya pombe na maziwa sasa ni wewe utachagua uoge pombe au maziwq..Mkuu hujataja mito ya pombe, ambayo watu watakunywa hata Ukitaka kuoga pombe ruksa
Huu sio uongo mkuu kweli miamiaImani hata uongo unaamini tu, ni haki yako.
Lakini ukweli tunaenda kwa uthibitisho.
Inatakiwa utupe induction yake Sasa😆😆Tutaongea Kiswanglish
Thibitisha kwamba ni kweli.Huu sio uongo mkuu kweli miamia