Sawa tumefika mbinguni. Je! tutakuwa tunaongea lugha Gani?

Sawa tumefika mbinguni. Je! tutakuwa tunaongea lugha Gani?

Wakuu Bwana ni mwema!!

Maandiko yanatuambia ya kuwa👇👇Mwanzo 11:1-7 (KJV) Nchi yote ilikuwa na lugha moja na usemi mmoja.
Ikawa watu waliposafiri pande za mashariki waliona nchi tambarare katika nchi ya Shinari; wakakaa huko.
Wakaambiana, Haya, na tufanye matofali tukayachome moto. Walikuwa na matofali badala ya mawe, na lami badala ya chokaa.
Wakasema, Haya, na tujijengee mji, na mnara, na kilele chake kifike mbinguni, tujifanyie jina; ili tusipate kutawanyika usoni pa nchi yote.
Bwana akashuka ili auone mji na mnara waliokuwa wakiujenga wanadamu.
Bwana akasema, Tazama, watu hawa ni taifa moja, na lugha yao ni moja; na haya ndiyo wanayoanza kuyafanya, wala sasa hawatazuiliwa neno wanalokusudia kulifanya.
Haya, na tushuke huko, tuwachafulie usemi wao ili wasisikilizane maneno wao kwa wao.

Vilevile yanatuambia baada ya taabu zetu hapa duniani basi tutaenda mbinguni Kwa Mungu wetu.

Huko mbinguni nikustarehe na kula Bata tu Hadi basi

Swali ambalo Huwa najiuliza Kila mara NI SAWA TUMEFIKA MBINGUNI JE TUTATUMIA LUGHA GANI?

imagine hii Dunia Ina lugha nyingi mno huenda ni maelefu ya lugha je TUTATUMIA LUGHA ipi kuwasiliana au tutatengwa?

Mfano sisi waswahili tunakuwa na kamkoa ketu. Vivyo hivyo na wakenya,Japan, USA,nk?

Kwa upande wa wenzetu mi naona lugha Yao ni Moja tu yaani kiaarabu pekee je sisi ambao Hadi Kuna bible zenye lugha ya kichagana kisukuma itakuaje?

Karibuni.
tutaongea lugha ya malaika ndugu. hata Biblia inatambua kuna lugha ya malaika.
 
Ewaaah kuna mito ya pombe na maziwa sasa ni wewe utachagua uoge pombe au maziwq..

Alafu note bande (NB)
Pombe ya kule sio kama ya huku duniani mkuu..

Kule kuna pombe ambayo kuinywa unahisi raha ambayo ujawahi kuipata hapa duniani mkuu...

Pia kuna mengi sana mengine siwezi kusema maana watu wataanza kuona wi
Wee nilikuuliza kama Kuna wanawake huko je wake zetu watakuwa na kazi Gani? Hujajibu ama nao watapewa mabwana yenye mitaimbo mkubwa maana husema sisi tuna viba100
 
Wee nilikuuliza kama Kuna wanawake huko je wake zetu watakuwa na kazi Gani? Hujajibu ama nao watapewa mabwana yenye mitaimbo mkubwa maana husema sisi tuna viba100
Mkuu nimekujibu kama ifuatavyo
Mke wako utakua nae...
Na utakua na hao wengine 99 ambao kiongozi wao atakua mke wako
.

Kingine huko hakuna vibamia wala vibajero wote ni matango pia tunakua na nguvu za ajabu yaani unapewa wanawake 100 ila unakua na nguvu za kumudu wanawake 200 assume tu..
 
Hao wako wengi kama njugu...na kila kitu wao wanaweza..sisi ni kula tuu na kunywa...
Kwa wenzetu waleku waislamu watakuwa wako busy na mabikra 70...yani huko sipati picha...
Ahahahahah hao mabira 70 ni kwa wale ambao wanapambana jihadi..
Maana kimahesabu ipo hivi mkuu
Wanawake kwanza mnapewa 100 kwa wote

Then kwa wale ambao ni jihad wanapewa ma bikira unaambiwa hiyo bikira haiishi yaani unafanya leo kesho kitu new..

Kama una swali lingine unaweza uliza mana huu ni uwanja wangu wa nyumbani
 
Ahahahahah hao mabira 70 ni kwa wale ambao wanapambana jihadi..
Maana kimahesabu ipo hivi mkuu
Wanawake kwanza mnapewa 100 kwa wote

Then kwa wale ambao ni jihad wanapewa ma bikira unaambiwa hiyo bikira haiishi yaani unafanya leo kesho kitu new..

Kama una swali lingine unaweza uliza mana huu ni uwanja wangu wa nyumbani
Asante sana mkuu kwa kunielewesha vyema...
😃😃😃😃patakua hapatoshi huko...
 
Asante sana mkuu kwa kunielewesha vyema...
😃😃😃😃patakua hapatoshi huko...
Picha linaanza hakuna watoto kule wote tunakua umri mmoja wee assume tu...

Kingine hakuna kujisaidia yaan uchafu unatoka kwa njia ya jasho...

Yapo mengi mkuu ila kwa leo tuishie hapa maana elimu hii kuna wenzako wanalipia 2k mkuu
 
Picha linaanza hakuna watoto kule wote tunakua umri mmoja wee assume tu...

Kingine hakuna kujisaidia yaan uchafu unatoka kwa njia ya jasho...

Yapo mengi mkuu ila kwa leo tuishie hapa maana elimu hii kuna wenzako wanalipia 2k mkuu
Hatari kabisa fundi manyumba...kumbe ni darsa kabisa la 2k...😀😀😀
 
Hatari kabisa fundi manyumba...kumbe ni darsa kabisa la 2k...😀😀😀
Ndio mkuu per day...
Hizo ni intro tuu kuna mambo mengi huko wee acha tuu...

Mi kwa hali yangu yote hii ya ugumu wa maisha kama mfupa..

Ila nikiwaza hizi raha huwa nasahau kila kitu najikuta natabasamu tuu nasema ""mimi nina warembo wangu 100 akhera huko na majengo ya kushato """. Hapo naagiza chapati zangu mbili na marage afu napoa
 
Mkuu nimekujibu kama ifuatavyo
Mke wako utakua nae...
Na utakua na hao wengine 99 ambao kiongozi wao atakua mke wako
.

Kingine huko hakuna vibamia wala vibajero wote ni matango pia tunakua na nguvu za ajabu yaani unapewa wanawake 100 ila unakua na nguvu za kumudu wanawake 200 assume tu..
😂😂😂 Kwahiyo hata unakibamia unawekewa ya punda mzee
 
Back
Top Bottom