Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Nasikia kuwa mbali na mabikra 72 wasiomaliza ubikra, pia kuna mito ya pombe inayotiririka pombe milele na milele. Yaani ni kunywa tu non stop ukilewa unakwenda kuparamia mabikra wako...Ndio maana sijatoa darasa zima hapa kwa kuogopa watu kama nyie kuja kutokea mkuu...
Ila kiufupi huko peponi nisemale ni raha ya aina yake
Tutavikwa miili mipyaMkuu hujajiuliza kuhusu mavazi, au huo ni uzi mwengine?
we jamaa mgojwa..πNimekwambia kuhusu mtoto siyo mtu mzima, hata hivyo uwezo wangu wa kufikiri ni mkubwa sana vitu ninavyo vijua huwezi kunifikia kirahisi
sawaa naona umenifata na hukuHuko tutakua tunaimba na kuabudu na kuinjoi mkuu
Uwezi kuitamani mkuu kule yale matamanio ya hovyo yote mnakuwa hakunaVIpi kama mke wa solomon akiwa pisi kali ya kwenda ina mzigo wa maana huwezi kuutamani??
Aah mkuu huko tutaonana wabaya
Kitu uamini tathibitisha vipi ukanielewaThibitisha.
Ahahahahah nimekosa mimi mkuu πππsawaa naona umenifata na huku
Kwanza jifunze kutumia h, utofautishe huamini na uamini.Kitu uamini tathibitisha vipi ukanielewa
Sawa sawa nimekuhelewa mkuuKwanza jifunze kutumia h, utofautishe huamini na uamini.
Inaonekana una tatizo la kujua kusoma na kuandika Kiswahili.
Sasa wewe mtu hujui kusoma na kuandika Kiswahili tutaelewana vipi hapa?
Vazi sio moja. Mavazi ni mengi mno. Magari yapo, chakula kipo, majumba yapo. Ni kama duniani. Utofauti ni ubora wa nchi. Kule ni boraTutapewa miili mipya..na kuvishwa vazi ambalo hatutalivua halichafuki...yaani wote tutakuwa sawa
Niongezee hapo pia..Vazi sio moja. Mavazi ni mengi mno. Magari yapo, chakula kipo, majumba yapo. Ni kama duniani. Utofauti ni ubora wa nchi. Kule ni bora
Bado hujanielewa, ndiyo maana unaandika "nimekuhelewa".Sawa sawa nimekuhelewa mkuu
TUseme mkuu umeamua kuniungia sasa...Bado hujanielewa, ndiyo maana unaandika "nimekuhelewa".
Mkuu nakubaliana nawe kwenye hiyo point.TUseme mkuu umeamua kuniungia sasa...
Mi nipo pamoja na wewe shekhe kuwa pepo hakuna πππππ
Astakafillah hivi huna ata chembe ya kumuogopa Muumba wako mkuu...Mkuu nakubaliana nawe kwenye hiyo point.
Imani unaruhusiwa kuamini chochote, hata uongo.Astakafillah hivi huna ata chembe ya kumuogopa Muumba wako mkuu...
Alafu mkuu kuendelea kuchat na wewe ni kama naweka imani yangu rehani...
Naomba tuishie hapa mkuu wangu
Mkuu.... Wacha mi niendelee kuinjoi raha ambazo tazipata peponi...lmani unaruhusiwa kuamini chochote, hata uongo.
Ila, ukweli huyo Mungu hayupo.
Hizo zote ni hadithi ambazo huwezi kuthibitisha kuwa ni kweli.Mkuu.... Wacha mi niendelee kuinjoi raha ambazo tazipata peponi...
Mda huo wabishi kama nyie mkiwa mnakomaa na moto bila huruma