Fedor von Bock
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,321
- 2,157
Mkuu asante sana kwa ujumbe na ushauri mzuri ulioutoa kwa manufaa ya nchi yetu.
However, waisrael sio ndio waliotengeneza hiyo chanjo mkuu, tuwape credit wahusika nao ni wajeremani (kampuni ya kijeruman- BioNTech) wakishirikiana na kampuni ya kimataifa ya wamarekani - Pfizer.
historia fupi ya hii chanjo iko hivi
Mwezi wa kwanza 2020 hii kampuni ya kijerumani ilianza mchakato wa kutengeneza chanjo hii ikiita 'Project Lightspeed' Projekt Lichtgeschwindigkeit
Walitengeneza ainanyingi sana ya chanjo katika maabara yao ya Mainz. Kati ya hizo nyingi 20 ziliwakilishwa katika taasisi ya kinga ya ujerumani - Paul-Ehrlich-Institute.
Chanjo hii inayotumiwa na waisrael iliaanza kutumika (phase I/II) ujerumani kwa majaribio tarehe 23 mwezi wa 4 2020 ikifatiwa na US tarehe 4 mwezi wa tano 2020
Baada ya kuonyesha mafanikio ndio makampuni yakaanza kujitokeza kutoa pesa kuchangia.
Mwezi wa 6 2020 umoja wa ulaya ulitoa euro milioni 100, mwezi wa 9 2020 serekali ya ujerumani ilitoa euro milioni 375.
Much credit wapewe hawa wajerumani maana ndio waliofanya kazi kubwa sana haya makampuni kama Fosun na Pfizer ni madalali tu
However, waisrael sio ndio waliotengeneza hiyo chanjo mkuu, tuwape credit wahusika nao ni wajeremani (kampuni ya kijeruman- BioNTech) wakishirikiana na kampuni ya kimataifa ya wamarekani - Pfizer.
historia fupi ya hii chanjo iko hivi
Mwezi wa kwanza 2020 hii kampuni ya kijerumani ilianza mchakato wa kutengeneza chanjo hii ikiita 'Project Lightspeed' Projekt Lichtgeschwindigkeit
Walitengeneza ainanyingi sana ya chanjo katika maabara yao ya Mainz. Kati ya hizo nyingi 20 ziliwakilishwa katika taasisi ya kinga ya ujerumani - Paul-Ehrlich-Institute.
Chanjo hii inayotumiwa na waisrael iliaanza kutumika (phase I/II) ujerumani kwa majaribio tarehe 23 mwezi wa 4 2020 ikifatiwa na US tarehe 4 mwezi wa tano 2020
Baada ya kuonyesha mafanikio ndio makampuni yakaanza kujitokeza kutoa pesa kuchangia.
Mwezi wa 6 2020 umoja wa ulaya ulitoa euro milioni 100, mwezi wa 9 2020 serekali ya ujerumani ilitoa euro milioni 375.
Much credit wapewe hawa wajerumani maana ndio waliofanya kazi kubwa sana haya makampuni kama Fosun na Pfizer ni madalali tu