Sayansi ya uumbaji ndani ya Qur'an/Koran: Sehemu ya 01

nasikia peponi wanaume tunapewa wanawake 70 kila mmoja
 
nasikia peponi wanaume tunapewa wanawake 70 kila mmoja
JE KWELI KILA BIKIRA ATAINGILIWA KWA MIAKA MILIONI 28,800,000
JIBU NI NDIYO KWA MJIBU WA KITABU CHA RAHA YA PEPONI UKRASA
USHAHIDI HUU HAPA LAKINI "MIMI NITAONYESHA HESABU TUONE NANI MKWELI KATI YA HAWA MASWAHABA NA MUHAMMAD KUHUSU HIYO MIAKA 28,800,000 WALIOOHIDIWA JAMANI

KITABU CHA RAHA ZA PEPONI KILICHO ANDIKWA KHAMIS IBRAHIM ZEPHANIA UK 52
KINASEMA HIVI
Nao wake hao hawatakuwa wakiingia katika siku zao ( yaani hedhi zao ) Wala nifani ( kunya) hawaendi choo kama ilivyo kwa kawaida za huku Duniani. Wala hawatazaa na wala hawatatoka na manii (Shahawa )
Anasema Allah Subhanallah Wataa'lah



 
Kwahiyo nyie mnaenda peponi kwaajili ya ku..mbana..hii dini imejaa falsafa za kibinadamu..ndio mana wafuasi wake hua wanaona dhambi pekee ni kula nguruwe..ila sio ngono.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ahsanteh ila humu kuna watu wajuaji halafu kuna wanaofaham mambo kwa elimu! Halafu kuna mafamba! Tutakoma!
 
Kwahiyo nyie mnaenda peponi kwaajili ya ku..mbana..hii dini imejaa falsafa za kibinadamu..ndio mana wafuasi wake hua wanaona dhambi pekee ni kula nguruwe..ila sio ngono.

#MaendeleoHayanaChama

Wewe si unaenda kugeuzwa sangara au ndafu


 
Chai.

Cha kwanza kuumbwa kwa binadamu ni ubongo.
 
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hapa vipi
Unaitwa mshenzi lakini bado unakaza fuvu
 
Wewe habari hizo umezijuaje? Wakati wa uumbaji wanadamu hawakuwepo kushuhudia lolote. Nani ajuaye kwa uhakika mambo ya uumbaji?! Fikra zetu zisitufanye kudhani tunajua mambo ambayo hayawezekani kujulikana. Tusitumie fikra za watu ambao hawakujua kuwa hawajui wakadhani wanajua ambayo hawawezi kuyajua. Kusema kuwa kabla na wakati wa uumbaji kulikuwa hivi na vile ni uongo. Hakuna mwanadamu hata mmoja aliyejua na atakayejua. Habari ya kwamba fulani aliongea na Mungu na akapewa maagizo hivi na vile kwa mtu critical thinker haiingii akilini. Kama Mungu alimuomba mtu, atashindwaje kuwasiliana na individuals atakacho mpaka apitie kwa mtu mwingine? Je, huyu anayedai kutumiwa na Mungu kaenea kila mahali, maana binadamu wapo kila mahali?. Tusidanganyane!
 

Watu mnapendaga sana kujifanya mnamjua kweli “Mungu” [emoji23]

Yaani mna chukua fikra zenu za kuunga unga na kuhalalisha ndio Mungu alivyofanya utadhani mlikuwepo...... kwani kama haujui nini kilikua cha kwanza kuumbwa ni “dhambi”? Hadi uanze kumbunia Mungu alianza kuumba nini ?
 
YANI HADI LEO 2024 MTU MZIMA NA AKILI TIMAMU BADO ANAAMINI HUO UJIMGA WA HILO LIKITABU??????????
 
Vp kuhusu ukifa kama huna dhambi ni kweli unaenda kukabidhiw mabikra 70!!!!
 
Kwahiyo nyie mnaenda peponi kwaajili ya ku..mbana..hii dini imejaa falsafa za kibinadamu..ndio mana wafuasi wake hua wanaona dhambi pekee ni kula nguruwe..ila sio ngono.

#MaendeleoHayanaChama


 
swadakta kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…