Sayansi ya uumbaji ndani ya Qur'an/Koran: Sehemu ya 01

Sayansi ya uumbaji ndani ya Qur'an/Koran: Sehemu ya 01

nasikia peponi wanaume tunapewa wanawake 70 kila mmoja
1622126228906.png
 
nasikia peponi wanaume tunapewa wanawake 70 kila mmoja
JE KWELI KILA BIKIRA ATAINGILIWA KWA MIAKA MILIONI 28,800,000
JIBU NI NDIYO KWA MJIBU WA KITABU CHA RAHA YA PEPONI UKRASA
USHAHIDI HUU HAPA LAKINI "MIMI NITAONYESHA HESABU TUONE NANI MKWELI KATI YA HAWA MASWAHABA NA MUHAMMAD KUHUSU HIYO MIAKA 28,800,000 WALIOOHIDIWA JAMANI
☝
☝
☝
☝

KITABU CHA RAHA ZA PEPONI KILICHO ANDIKWA KHAMIS IBRAHIM ZEPHANIA UK 52
KINASEMA HIVI
Nao wake hao hawatakuwa wakiingia katika siku zao ( yaani hedhi zao ) Wala nifani ( kunya) hawaendi choo kama ilivyo kwa kawaida za huku Duniani. Wala hawatazaa na wala hawatatoka na manii (Shahawa )
Anasema Allah Subhanallah Wataa'lah

1622127250372.png


1622127294294.png
 
JE KWELI KILA BIKIRA ATAINGILIWA KWA MIAKA MILIONI 28,800,000
JIBU NI NDIYO KWA MJIBU WA KITABU CHA RAHA YA PEPONI UKRASA
USHAHIDI HUU HAPA LAKINI "MIMI NITAONYESHA HESABU TUONE NANI MKWELI KATI YA HAWA MASWAHABA NA MUHAMMAD KUHUSU HIYO MIAKA 28,800,000 WALIOOHIDIWA JAMANI
[emoji121]
[emoji121]
[emoji121]
[emoji121]

KITABU CHA RAHA ZA PEPONI KILICHO ANDIKWA KHAMIS IBRAHIM ZEPHANIA UK 52
KINASEMA HIVI
Nao wake hao hawatakuwa wakiingia katika siku zao ( yaani hedhi zao ) Wala nifani ( kunya) hawaendi choo kama ilivyo kwa kawaida za huku Duniani. Wala hawatazaa na wala hawatatoka na manii (Shahawa )
Anasema Allah Subhanallah Wataa'lah

View attachment 1799526

View attachment 1799528
Kwahiyo nyie mnaenda peponi kwaajili ya ku..mbana..hii dini imejaa falsafa za kibinadamu..ndio mana wafuasi wake hua wanaona dhambi pekee ni kula nguruwe..ila sio ngono.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ahsanteh ila humu kuna watu wajuaji halafu kuna wanaofaham mambo kwa elimu! Halafu kuna mafamba! Tutakoma!
 
Kwahiyo nyie mnaenda peponi kwaajili ya ku..mbana..hii dini imejaa falsafa za kibinadamu..ndio mana wafuasi wake hua wanaona dhambi pekee ni kula nguruwe..ila sio ngono.

#MaendeleoHayanaChama

Wewe si unaenda kugeuzwa sangara au ndafu


1705493489886.jpeg
 
Je wajua kuwa Sikio ndio kiungo cha kwanza kuumbwa kwa mwanadamu?

وَهُوَ الَّذِي أَنشَأَ لَكُمُ السَّمْعَ وَالْأَبْصَارَ وَالْأَفْئِدَةَ ۚ قَلِيلًا مَّا تَشْكُرُونَ

[ AL - MUUMINUN - 78 ]
Na Yeye ndiye aliye kuumbieni kusikia na kuona na nyoyo za kufahamu. Ni kuchache mno kushukuru kwenu.

Hapo utaona cha kwanza kutajwa ni kusikia na cha pili ni macho ,cha kwanza kutwajwa ndio cha kwanza kuumbwa ,na aya zote katika Qur'an kumeanza kutajwa kusikia kisha kuona .

Masikio yanaumbwa siku ya 21 baada ya ramani nzima kukamilika .

Kila binaadamu anakitu kinachoitwa kitaalam Coccyx ,hizi Coccyx kama picha chini zinavyoonyesha zinakaa katika pingili za uti wa mgongo juu upande wa shingo hizi ndio zinahesabu matukio yote ya mwanadamu kwa maisha yake yote.
وَكُلَّ إِنسَانٍ أَلْزَمْنَاهُ طَائِرَهُ فِي عُنُقِهِ ۖ وَنُخْرِجُ لَهُ يَوْمَ الْقِيَامَةِ كِتَابًا يَلْقَاهُ مَنشُورًا

[ AN NAH'L - 13 ]
Na kila mtu tumemfungia a'mali yake shingoni mwake. Na Siku ya Kiyama tutamtolea kitabu atakacho kikuta kiwazi kimekunjuliwa.
Coccyx ni kama black box kwenye ndege.

Na Coccyx huumbwa ndani ya wiki ya tano tokea kutungwa kwa mimba.
Coccyx baada ya hapo zinakwenda kuscan kwenye ramani ya umbo la mtu huyu ambayo ramani hii huwa tayari ipo sasa Coccyx inascan kuanza na masikio kisha macho hivi ndio vitu vya mwanzo kabisa kuumbwa na cha mwisho kabisa huwa ni mapafu sayansi imesema hivyo..

Coccyx zinaenda kutengeneza viungo vyake (cell organics )na ndio inaanza na Masikio kisha macho na kuendelea na ndio maana mtoto anapozaliwa anaanza kusikia kabla ya kuona na kusikia anaanza toka akiwa tumboni hivyo ukiona mtu anasemesha mimba usimshangae ,hata mama zetu wanapoenda Hospital siku hizi wanaambiwa hatua za ukuaji mtoto tumboni kwamba sasa mwanao anasikia unaweza kuongea nae.
Chai.

Cha kwanza kuumbwa kwa binadamu ni ubongo.
 
Hata Injili ya ilishushwa,Alishushiwa Yesu

Unatakiwa uwe mswahiili wa kufahamu kiswahili ndio utafahamu imekusudiwa nini inaposemwa kuwa vitabu vya Mungu vimeshuswa..

Injili(sikusudii biblia) na Kuran mfumo wake ni mmoja

Yesu alihubiri maneno yake kwa watu wake,kile alichohubiri ndio INJILI

Muhammad alihubiri maneno yake kwa watu wake,yale aliyohubiri ndio QURAN..

Hayo waliyohubiri,walishushiwa na Mungu kwa njia za Malaika..

Malaika Jibril/Gabriel walipewa jumbe na Mungu wazifikishe kwa Mitume ili zifikishwe kwa Binadamu..

Hiyo ndio maana ya KUSHUSHWA usifikirie kuwa kitabu kizima kimeanguka kutoka mbinguni..
🤣🤣🤣🤣🤣
 
JE KWELI KILA BIKIRA ATAINGILIWA KWA MIAKA MILIONI 28,800,000
JIBU NI NDIYO KWA MJIBU WA KITABU CHA RAHA YA PEPONI UKRASA
USHAHIDI HUU HAPA LAKINI "MIMI NITAONYESHA HESABU TUONE NANI MKWELI KATI YA HAWA MASWAHABA NA MUHAMMAD KUHUSU HIYO MIAKA 28,800,000 WALIOOHIDIWA JAMANI
☝
☝
☝
☝

KITABU CHA RAHA ZA PEPONI KILICHO ANDIKWA KHAMIS IBRAHIM ZEPHANIA UK 52
KINASEMA HIVI
Nao wake hao hawatakuwa wakiingia katika siku zao ( yaani hedhi zao ) Wala nifani ( kunya) hawaendi choo kama ilivyo kwa kawaida za huku Duniani. Wala hawatazaa na wala hawatatoka na manii (Shahawa )
Anasema Allah Subhanallah Wataa'lah

View attachment 1799526

View attachment 1799528
Hapa vipi
Unaitwa mshenzi lakini bado unakaza fuvu
1705527528922.png
 
Wewe habari hizo umezijuaje? Wakati wa uumbaji wanadamu hawakuwepo kushuhudia lolote. Nani ajuaye kwa uhakika mambo ya uumbaji?! Fikra zetu zisitufanye kudhani tunajua mambo ambayo hayawezekani kujulikana. Tusitumie fikra za watu ambao hawakujua kuwa hawajui wakadhani wanajua ambayo hawawezi kuyajua. Kusema kuwa kabla na wakati wa uumbaji kulikuwa hivi na vile ni uongo. Hakuna mwanadamu hata mmoja aliyejua na atakayejua. Habari ya kwamba fulani aliongea na Mungu na akapewa maagizo hivi na vile kwa mtu critical thinker haiingii akilini. Kama Mungu alimuomba mtu, atashindwaje kuwasiliana na individuals atakacho mpaka apitie kwa mtu mwingine? Je, huyu anayedai kutumiwa na Mungu kaenea kila mahali, maana binadamu wapo kila mahali?. Tusidanganyane!
 
Je wajua kuwa Sikio ndio kiungo cha kwanza kuumbwa kwa mwanadamu?

وَهُوَ الَّذِي أَنشَأَ لَكُمُ السَّمْعَ وَالْأَبْصَارَ وَالْأَفْئِدَةَ ۚ قَلِيلًا مَّا تَشْكُرُونَ

[ AL - MUUMINUN - 78 ]
Na Yeye ndiye aliye kuumbieni kusikia na kuona na nyoyo za kufahamu. Ni kuchache mno kushukuru kwenu.

Hapo utaona cha kwanza kutajwa ni kusikia na cha pili ni macho ,cha kwanza kutwajwa ndio cha kwanza kuumbwa ,na aya zote katika Qur'an kumeanza kutajwa kusikia kisha kuona .

Masikio yanaumbwa siku ya 21 baada ya ramani nzima kukamilika .

Kila binaadamu anakitu kinachoitwa kitaalam Coccyx ,hizi Coccyx kama picha chini zinavyoonyesha zinakaa katika pingili za uti wa mgongo juu upande wa shingo hizi ndio zinahesabu matukio yote ya mwanadamu kwa maisha yake yote.
وَكُلَّ إِنسَانٍ أَلْزَمْنَاهُ طَائِرَهُ فِي عُنُقِهِ ۖ وَنُخْرِجُ لَهُ يَوْمَ الْقِيَامَةِ كِتَابًا يَلْقَاهُ مَنشُورًا

[ AN NAH'L - 13 ]
Na kila mtu tumemfungia a'mali yake shingoni mwake. Na Siku ya Kiyama tutamtolea kitabu atakacho kikuta kiwazi kimekunjuliwa.
Coccyx ni kama black box kwenye ndege.

Na Coccyx huumbwa ndani ya wiki ya tano tokea kutungwa kwa mimba.
Coccyx baada ya hapo zinakwenda kuscan kwenye ramani ya umbo la mtu huyu ambayo ramani hii huwa tayari ipo sasa Coccyx inascan kuanza na masikio kisha macho hivi ndio vitu vya mwanzo kabisa kuumbwa na cha mwisho kabisa huwa ni mapafu sayansi imesema hivyo..

Coccyx zinaenda kutengeneza viungo vyake (cell organics )na ndio inaanza na Masikio kisha macho na kuendelea na ndio maana mtoto anapozaliwa anaanza kusikia kabla ya kuona na kusikia anaanza toka akiwa tumboni hivyo ukiona mtu anasemesha mimba usimshangae ,hata mama zetu wanapoenda Hospital siku hizi wanaambiwa hatua za ukuaji mtoto tumboni kwamba sasa mwanao anasikia unaweza kuongea nae.

Watu mnapendaga sana kujifanya mnamjua kweli “Mungu” [emoji23]

Yaani mna chukua fikra zenu za kuunga unga na kuhalalisha ndio Mungu alivyofanya utadhani mlikuwepo...... kwani kama haujui nini kilikua cha kwanza kuumbwa ni “dhambi”? Hadi uanze kumbunia Mungu alianza kuumba nini ?
 
YANI HADI LEO 2024 MTU MZIMA NA AKILI TIMAMU BADO ANAAMINI HUO UJIMGA WA HILO LIKITABU??????????
 
Vp kuhusu ukifa kama huna dhambi ni kweli unaenda kukabidhiw mabikra 70!!!!
 
Kwahiyo nyie mnaenda peponi kwaajili ya ku..mbana..hii dini imejaa falsafa za kibinadamu..ndio mana wafuasi wake hua wanaona dhambi pekee ni kula nguruwe..ila sio ngono.

#MaendeleoHayanaChama


ujinga wa wakristo.jpg
 
Je wajua kuwa Sikio ndio kiungo cha kwanza kuumbwa kwa mwanadamu?

وَهُوَ الَّذِي أَنشَأَ لَكُمُ السَّمْعَ وَالْأَبْصَارَ وَالْأَفْئِدَةَ ۚ قَلِيلًا مَّا تَشْكُرُونَ

[ AL - MUUMINUN - 78 ]
Na Yeye ndiye aliye kuumbieni kusikia na kuona na nyoyo za kufahamu. Ni kuchache mno kushukuru kwenu.

Hapo utaona cha kwanza kutajwa ni kusikia na cha pili ni macho ,cha kwanza kutwajwa ndio cha kwanza kuumbwa ,na aya zote katika Qur'an kumeanza kutajwa kusikia kisha kuona .

Masikio yanaumbwa siku ya 21 baada ya ramani nzima kukamilika .

Kila binaadamu anakitu kinachoitwa kitaalam Coccyx ,hizi Coccyx kama picha chini zinavyoonyesha zinakaa katika pingili za uti wa mgongo juu upande wa shingo hizi ndio zinahesabu matukio yote ya mwanadamu kwa maisha yake yote.
وَكُلَّ إِنسَانٍ أَلْزَمْنَاهُ طَائِرَهُ فِي عُنُقِهِ ۖ وَنُخْرِجُ لَهُ يَوْمَ الْقِيَامَةِ كِتَابًا يَلْقَاهُ مَنشُورًا

[ AN NAH'L - 13 ]
Na kila mtu tumemfungia a'mali yake shingoni mwake. Na Siku ya Kiyama tutamtolea kitabu atakacho kikuta kiwazi kimekunjuliwa.
Coccyx ni kama black box kwenye ndege.

Na Coccyx huumbwa ndani ya wiki ya tano tokea kutungwa kwa mimba.
Coccyx baada ya hapo zinakwenda kuscan kwenye ramani ya umbo la mtu huyu ambayo ramani hii huwa tayari ipo sasa Coccyx inascan kuanza na masikio kisha macho hivi ndio vitu vya mwanzo kabisa kuumbwa na cha mwisho kabisa huwa ni mapafu sayansi imesema hivyo..

Coccyx zinaenda kutengeneza viungo vyake (cell organics )na ndio inaanza na Masikio kisha macho na kuendelea na ndio maana mtoto anapozaliwa anaanza kusikia kabla ya kuona na kusikia anaanza toka akiwa tumboni hivyo ukiona mtu anasemesha mimba usimshangae ,hata mama zetu wanapoenda Hospital siku hizi wanaambiwa hatua za ukuaji mtoto tumboni kwamba sasa mwanao anasikia unaweza kuongea nae.
swadakta kabisa
 
Back
Top Bottom