Sayansi ya uumbaji ndani ya Qur'an/Koran: Sehemu ya 01

Sayansi ya uumbaji ndani ya Qur'an/Koran: Sehemu ya 01

Mufti kuku The Infinity

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2019
Posts
6,053
Reaction score
10,032
Je wajua kuwa Sikio ndio kiungo cha kwanza kuumbwa kwa mwanadamu?

وَهُوَ الَّذِي أَنشَأَ لَكُمُ السَّمْعَ وَالْأَبْصَارَ وَالْأَفْئِدَةَ ۚ قَلِيلًا مَّا تَشْكُرُونَ

[ AL - MUUMINUN - 78 ]
Na Yeye ndiye aliye kuumbieni kusikia na kuona na nyoyo za kufahamu. Ni kuchache mno kushukuru kwenu.

Hapo utaona cha kwanza kutajwa ni kusikia na cha pili ni macho ,cha kwanza kutwajwa ndio cha kwanza kuumbwa ,na aya zote katika Qur'an kumeanza kutajwa kusikia kisha kuona .

Masikio yanaumbwa siku ya 21 baada ya ramani nzima kukamilika .

Kila binaadamu anakitu kinachoitwa kitaalam Coccyx ,hizi Coccyx kama picha chini zinavyoonyesha zinakaa katika pingili za uti wa mgongo juu upande wa shingo hizi ndio zinahesabu matukio yote ya mwanadamu kwa maisha yake yote.
وَكُلَّ إِنسَانٍ أَلْزَمْنَاهُ طَائِرَهُ فِي عُنُقِهِ ۖ وَنُخْرِجُ لَهُ يَوْمَ الْقِيَامَةِ كِتَابًا يَلْقَاهُ مَنشُورًا

[ AN NAH'L - 13 ]
Na kila mtu tumemfungia a'mali yake shingoni mwake. Na Siku ya Kiyama tutamtolea kitabu atakacho kikuta kiwazi kimekunjuliwa.
Coccyx ni kama black box kwenye ndege.

Na Coccyx huumbwa ndani ya wiki ya tano tokea kutungwa kwa mimba.
Coccyx baada ya hapo zinakwenda kuscan kwenye ramani ya umbo la mtu huyu ambayo ramani hii huwa tayari ipo sasa Coccyx inascan kuanza na masikio kisha macho hivi ndio vitu vya mwanzo kabisa kuumbwa na cha mwisho kabisa huwa ni mapafu sayansi imesema hivyo..

Coccyx zinaenda kutengeneza viungo vyake (cell organics )na ndio inaanza na Masikio kisha macho na kuendelea na ndio maana mtoto anapozaliwa anaanza kusikia kabla ya kuona na kusikia anaanza toka akiwa tumboni hivyo ukiona mtu anasemesha mimba usimshangae ,hata mama zetu wanapoenda Hospital siku hizi wanaambiwa hatua za ukuaji mtoto tumboni kwamba sasa mwanao anasikia unaweza kuongea nae.
 

Attachments

  • Screenshot_20210101-213433.png
    Screenshot_20210101-213433.png
    150.7 KB · Views: 21
Sijui nitakuwa naharibu uzi wako!! Kuna facts kadhaa za kisayansi ndani ya quraan, nitakuwa naandika zile ambazo nimebahatika kuzisoma..

Sura yasin

38. Na jua linakwenda kwa kiwango chake. Hayo ni makadirio ya Mwenye nguvu, Mwenye kujua.


Hapa mola anazungumzia jua kujongea, ni miaka mingi saana imepita ndio wanasayansi wanakuja kugundua jua linajongea miaka hii huku, quraan ambayo IMESHUSHWA karne ya 6 huko..
Hapo tuelewane imeshushwa, kama imeshushwa ina maana ilikiwepo kabla.

Katika quraan kuna mazingatio kabisa kama utasoma kwa tafakuri na akili kubwa.
 
Sijui nitakuwa naharibu uzi wako!! Kuna facts kadhaa za kisayansi ndani ya quraan, nitakuwa naandika zile ambazo nimebahatika kuzisoma..

Sura yasin

38. Na jua linakwenda kwa kiwango chake. Hayo ni makadirio ya Mwenye nguvu, Mwenye kujua.


Hapa mola anazungumzia jua kujongea, ni miaka mingi saana imepita ndio wanasayansi wanakuja kugundua jua linajongea miaka hii huku, quraan ambayo IMESHUSHWA karne ya 6 huko..
Hapo tuelewane imeshushwa, kama imeshushwa ina maana ilikiwepo kabla.

Katika quraan kuna mazingatio kabisa kama utasoma kwa tafakuri na akili kubwa.

usidanganyike..Hizo ni propaganda za waislam wanaobadilisha tafsir za Quran iendane na sayansi

hiyo Sura yasin inasema Jua linatembea na linaenda sehemu fulani husika.(fuatilia kiarab chake)
Sasa wewe unaongelea jua kujongea wakati kipindi hiko watu waliamini Jua linatembea linazunguka Dunia.
Kwahyo jua likizama watu walijua limeenda sehem kujificha.

Maelezo ya muhamad/Allah alimaanisha nini hiyo aya yapo sahih bukhari 4:421

The Prophet asked me at sunset, "Do you know where the sun goes (at the time of sunset)?" I replied, "Allah and His Apostle know better." He said, "It goes (i.e. travels) till it prostrates Itself underneath the Throne and takes the permission to rise again, and it is permitted and then (a time will come when) it will be about to prostrate itself but its prostration will not be accepted, and it will ask permission to go on its course but it will not be permitted, but it will be ordered to return whence it has come and so it will rise in the west. And that is the interpretation of the Statement of Allah: "And the sun Runs its fixed course For a term (decreed). that is The Decree of (Allah) The Exalted in Might, The All-Knowing." (36.38)
 
Back
Top Bottom