Sayansi ya uumbaji ndani ya Qur'an/Koran: Sehemu ya 01

Sayansi ya uumbaji ndani ya Qur'an/Koran: Sehemu ya 01

Sijui nitakuwa naharibu uzi wako!! Kuna facts kadhaa za kisayansi ndani ya quraan, nitakuwa naandika zile ambazo nimebahatika kuzisoma..

Sura yasin

38. Na jua linakwenda kwa kiwango chake. Hayo ni makadirio ya Mwenye nguvu, Mwenye kujua.


Hapa mola anazungumzia jua kujongea, ni miaka mingi saana imepita ndio wanasayansi wanakuja kugundua jua linajongea miaka hii huku, quraan ambayo IMESHUSHWA karne ya 6 huko..
Hapo tuelewane imeshushwa, kama imeshushwa ina maana ilikiwepo kabla.

Katika quraan kuna mazingatio kabisa kama utasoma kwa tafakuri na akili kubwa.
Na linaenda kuishia kwenye tope. Mbona humalizii sheikh?
 
Mkisikia habari za Quran roho zenu huwa zinawakeleketa sana

Aya za sayansi zipo nyingi sana katika Quran ukizitaka zitakuja kama mvua maana aliyeumba ulimwengu ndio huyohuyo aliyeileta Quran

Chukua na hi nakupa kama zawadi

Quran 21:33.
Na Yeye ndiye aliye umba usiku na mchana na jua na mwezi, vyote katika anga vinaogelea.
Jua linapopotea jioni huenda wapi?
 
Na linaenda kuishia kwenye tope. Mbona humalizii sheikh?
Quraan ni pana sijui niseme inahitaji elimu kubwa kidogo kufumbua mafumbo hayo, si kukurupuka wala kuisoma kwa mihemko

Yawezekana mimi na wewe hatujajua tafsiri ya hiyo aya, katika karne ya 6 quraan imeongea vitu ambavyo kwa kipindi hiko vilikuwa no vituko kuamini, mathalani hii ya jua kujongea nani angeamini, mpaka miaka ya karibuni wanasayansi ndio wamekuja kuproove hilo, koraan imezungumzia bahari 2 maji yake kutokukutana, hebu karne ya 6, watu wa jangwani umwambie allah kajaalie maji ya bahari 2 hayakutani, si anakuona hayawani, quraan imezungumzia orbit, quraan imezungumzia mpaka milima kuwa vizingiti, (kazi ya milima, mijongeo ya milima vitu ambavyo kipindi hicho ni kituko, imegusia time relativity ambayo mpaka sasa bado kuna utata kwa baadhi ya watu, quraan hiyo imezungumzia origin ya ulimwengu, asili ya chuma, imezungumzia black holes, hivyo quraan sio ya kubeza.. Bado imezungumzia skin as pain receptors.

Mtume s.a.w alitufundisha tusipulize chakula, siku moja nikaona clip ya mwanasayansi anaonesha kinywaji(maji) yanavyobadilika ukiyapuliza

Ningekuwa na uwezo kauli zote za katika quraan ningezifanyia research nikaprove.

Hata hii unayosema jua kuzama topeni, usikute kuna elimu kubwa ndani yake chief.


Uislam ni dini(njia, mfumo wa maisha) inayo muelekeza mja katika kuliendea kila jambo, mathalani mwanadamu kuanzia anapoamka mpaka anarudi kitandani usiku basi uislam umecover kote huko, elimu zetu ndogo, wengine hatujasoma kabisa tunabaki kwenye ubishani wa kimehemko badala ya kusoma zaidi.

Hiyo jua kuzama topeni mie sina elimu nalo, huenda lina maana nzito kidogo, alah pia kazungumzia usiku na mchana, huenda tope ndio usiku uliolengwa ila siwezi tolea ufafanuzi kwa kuwa sina elimu nalo, jitahidi uwafate wajuzi zaidi au lah, sayansi itakuja kuthibitisha hili miaka ijayo sababu naamink quraan iko sahihi.
 
Sijaelewa...hiyo ni sayansi kivipi?
Chief kwani jua na mwezi haviogelei, unadhani kipindi hiko quraan inasema hayo usikute kuna watu walikuwa wanaamini labda jua na mwezi liko kwenye kitu limekaa, ila kwakuwa sayansi ya siku hizi imegundua hilo kwako ni kituko..

Kwenu si sayansi sababu hakuna formula au!?
 
Chief kwani jua na mwezi haviogelei, unadhani kipindi hiko quraan inasema hayo usikute kuna watu walikuwa wanaamini labda jua na mwezi liko kwenye kitu limekaa, ila kwakuwa sayansi ya siku hizi imegundua hilo kwako ni kituko..

Kwenu si sayansi sababu hakuna formula au!?
Hawa watu shida sana mkuu,Yan hata Kama ukweli anauona wazi ila kwa vile umesemwa na uislam Basi mtu atajifanya vyovyote ili apinge tu.
 
Chief kwani jua na mwezi haviogelei, unadhani kipindi hiko quraan inasema hayo usikute kuna watu walikuwa wanaamini labda jua na mwezi liko kwenye kitu limekaa, ila kwakuwa sayansi ya siku hizi imegundua hilo kwako ni kituko..

Kwenu si sayansi sababu hakuna formula au!?

kwahyo kipindi cha muhammad watu walijua Jua na Mwezi vina nguzo?
mbona mimi nilipoliona jua nina miaka2 nilijua linaelea.
usikute kuna watu walikuwa wanaamini labda jua na mwezi liko kwenye kitu limekaa
toa ushahidi wa uwepo wa hawa watu

mwishowe mtasema quran imesema "duniani kuna watu" hiyo ni sayansi na muujiza
 
Hawa watu shida sana mkuu,Yan hata Kama ukweli anauona wazi ila kwa vile umesemwa na uislam Basi mtu atajifanya vyovyote ili apinge tu.
nimepinga??nimeuliza
tena kipole kabisa nikasema sijaelewa mkuu sayansi iko wapi?
au kutoelewa ni shida na kupinga katika uislam?
 
Hakuna ANAYEWEZA kuedit Quran.
Ndo maana mpaka Leo Quran imebaki kwenye lugha yake ya asili.
Tofauti na BIBLIA haijulikani lugha yake ya asili Ni ipi
usidanganyike..Hizo ni propaganda za waislam wanaobadilisha tafsir za Quran iendane na sayansi

hiyo Sura yasin inasema Jua linatembea na linaenda sehemu fulani husika.(fuatilia kiarab chake)
Sasa wewe unaongelea jua kujongea wakati kipindi hiko watu waliamini Jua linatembea linazunguka Dunia.
Kwahyo jua likizama watu walijua limeenda sehem kujificha.

Maelezo ya muhamad/Allah alimaanisha nini hiyo aya yapo sahih bukhari 4:421

The Prophet asked me at sunset, "Do you know where the sun goes (at the time of sunset)?" I replied, "Allah and His Apostle know better." He said, "It goes (i.e. travels) till it prostrates Itself underneath the Throne and takes the permission to rise again, and it is permitted and then (a time will come when) it will be about to prostrate itself but its prostration will not be accepted, and it will ask permission to go on its course but it will not be permitted, but it will be ordered to return whence it has come and so it will rise in the west. And that is the interpretation of the Statement of Allah: "And the sun Runs its fixed course For a term (decreed). that is The Decree of (Allah) The Exalted in Might, The All-Knowing." (36.38)
 
Back
Top Bottom