Sayansi ya uumbaji ndani ya Qur'an/Koran: Sehemu ya 01

Sayansi ya uumbaji ndani ya Qur'an/Koran: Sehemu ya 01

unajua hata ukiita mtu asiyejua kusoma na kuandika au kichaa au mtoto mdogo ukampa kalamu na karatasi ukamwambia aandike hilo karatasi mpaka lijae na wino....Yeye atachoronga choronga tu lakini baada ya hiyo michorongo ukiamua kutafuta herufi zilizojitokeza hutakosa..Lazima michorongo mingine itafanana na C,g,p,d,b,l,e nk. nk.
Ukilazimisha zaidi unaweza kupata hata maneno yaliyojitengeneza.

Kutafuta Miujiza kwenye quran ni sawa na kutafuta hizo herufi

kutafuta fact za kihistoria kwenye Quran ni sawa na kutafuta maneno kwenye michorongo

Kutafuta Sayansi kwenye Quran ndiyo kabisaa ni sawa na kutafuta sentesi zenye maana kwenye hiyo michorongo.
Hapa duniani kuna watu wajinga lakin ww ni zaidi

Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
 
ilianza QURAN ikaja sayansi.
unajua hata ukiita mtu asiyejua kusoma na kuandika au kichaa au mtoto mdogo ukampa kalamu na karatasi ukamwambia aandike hilo karatasi mpaka lijae na wino....Yeye atachoronga choronga tu lakini baada ya hiyo michorongo ukiamua kutafuta herufi zilizojitokeza hutakosa..Lazima michorongo mingine itafanana na C,g,p,d,b,l,e nk. nk.
Ukilazimisha zaidi unaweza kupata hata maneno yaliyojitengeneza.

Kutafuta Miujiza kwenye quran ni sawa na kutafuta hizo herufi

kutafuta fact za kihistoria kwenye Quran ni sawa na kutafuta maneno kwenye michorongo

Kutafuta Sayansi kwenye Quran ndiyo kabisaa ni sawa na kutafuta sentesi zenye maana kwenye hiyo michorongo.
 
Hakuna ANAYEWEZA kuedit Quran.
Ndo maana mpaka Leo Quran imebaki kwenye lugha yake ya asili.
Tofauti na BIBLIA haijulikani lugha yake ya asili Ni ipi
nimeongelea quran au tafsir zake ndo wanaedit?
Haya iyo Quran OG ambayo haijabidilika ni ipi?Maana zipo nyingi
 
Quraan ni pana sijui niseme inahitaji elimu kubwa kidogo kufumbua mafumbo hayo, si kukurupuka wala kuisoma kwa mihemko

Yawezekana mimi na wewe hatujajua tafsiri ya hiyo aya, katika karne ya 6 quraan imeongea vitu ambavyo kwa kipindi hiko vilikuwa no vituko kuamini, mathalani hii ya jua kujongea nani angeamini, mpaka miaka ya karibuni wanasayansi ndio wamekuja kuproove hilo, koraan imezungumzia bahari 2 maji yake kutokukutana, hebu karne ya 6, watu wa jangwani umwambie allah kajaalie maji ya bahari 2 hayakutani, si anakuona hayawani, quraan imezungumzia orbit, quraan imezungumzia mpaka milima kuwa vizingiti, (kazi ya milima, mijongeo ya milima vitu ambavyo kipindi hicho ni kituko, imegusia time relativity ambayo mpaka sasa bado kuna utata kwa baadhi ya watu, quraan hiyo imezungumzia origin ya ulimwengu, asili ya chuma, imezungumzia black holes, hivyo quraan sio ya kubeza.. Bado imezungumzia skin as pain receptors.

Mtume s.a.w alitufundisha tusipulize chakula, siku moja nikaona clip ya mwanasayansi anaonesha kinywaji(maji) yanavyobadilika ukiyapuliza

Ningekuwa na uwezo kauli zote za katika quraan ningezifanyia research nikaprove.

Hata hii unayosema jua kuzama topeni, usikute kuna elimu kubwa ndani yake chief.


Uislam ni dini(njia, mfumo wa maisha) inayo muelekeza mja katika kuliendea kila jambo, mathalani mwanadamu kuanzia anapoamka mpaka anarudi kitandani usiku basi uislam umecover kote huko, elimu zetu ndogo, wengine hatujasoma kabisa tunabaki kwenye ubishani wa kimehemko badala ya kusoma zaidi.

Hiyo jua kuzama topeni mie sina elimu nalo, huenda lina maana nzito kidogo, alah pia kazungumzia usiku na mchana, huenda tope ndio usiku uliolengwa ila siwezi tolea ufafanuzi kwa kuwa sina elimu nalo, jitahidi uwafate wajuzi zaidi au lah, sayansi itakuja kuthibitisha hili miaka ijayo sababu naamink quraan iko sahihi.
Hii inaitwa poteza boya..miluzi mingi ili mbwa apotee...Jamaa kauliza ishu simple ya jua kwenda topeni ambayo ndo mada tulokuwa tunaongelea maswala ya jua...wewe umemchanganyia mafaili mengi mengi ili akianza kuyajibu hayo anakuwa kashasahau ishu za jua kuzama topeni...ila kongole kiungwana katikati ya utumbo ukakiri kuwa hyo ishu hujui Allah knows best...
 
Hyo ndo quran isiyobadilika.
Na tafsiri zote za Quran zitategemea kilichoandika katika lugha mama ya Quran.
nimeongelea quran au tafsir zake ndo wanaedit?
Haya iyo Quran OG ambayo haijabidilika ni ipi?Maana zipo nyingi
Screenshot_20210110-201428.jpg
 
Je wajua kuwa Sikio ndio kiungo cha kwanza kuumbwa kwa mwanadamu?

وَهُوَ الَّذِي أَنشَأَ لَكُمُ السَّمْعَ وَالْأَبْصَارَ وَالْأَفْئِدَةَ ۚ قَلِيلًا مَّا تَشْكُرُونَ

[ AL - MUUMINUN - 78 ]
Na Yeye ndiye aliye kuumbieni kusikia na kuona na nyoyo za kufahamu. Ni kuchache mno kushukuru kwenu.

Hapo utaona cha kwanza kutajwa ni kusikia na cha pili ni macho ,cha kwanza kutwajwa ndio cha kwanza kuumbwa ,na aya zote katika Qur'an kumeanza kutajwa kusikia kisha kuona .

Masikio yanaumbwa siku ya 21 baada ya ramani nzima kukamilika .

Kila binaadamu anakitu kinachoitwa kitaalam Coccyx ,hizi Coccyx kama picha chini zinavyoonyesha zinakaa katika pingili za uti wa mgongo juu upande wa shingo hizi ndio zinahesabu matukio yote ya mwanadamu kwa maisha yake yote.
وَكُلَّ إِنسَانٍ أَلْزَمْنَاهُ طَائِرَهُ فِي عُنُقِهِ ۖ وَنُخْرِجُ لَهُ يَوْمَ الْقِيَامَةِ كِتَابًا يَلْقَاهُ مَنشُورًا

[ AN NAH'L - 13 ]
Na kila mtu tumemfungia a'mali yake shingoni mwake. Na Siku ya Kiyama tutamtolea kitabu atakacho kikuta kiwazi kimekunjuliwa.
Coccyx ni kama black box kwenye ndege.

Na Coccyx huumbwa ndani ya wiki ya tano tokea kutungwa kwa mimba.
Coccyx baada ya hapo zinakwenda kuscan kwenye ramani ya umbo la mtu huyu ambayo ramani hii huwa tayari ipo sasa Coccyx inascan kuanza na masikio kisha macho hivi ndio vitu vya mwanzo kabisa kuumbwa na cha mwisho kabisa huwa ni mapafu sayansi imesema hivyo..

Coccyx zinaenda kutengeneza viungo vyake (cell organics )na ndio inaanza na Masikio kisha macho na kuendelea na ndio maana mtoto anapozaliwa anaanza kusikia kabla ya kuona na kusikia anaanza toka akiwa tumboni hivyo ukiona mtu anasemesha mimba usimshangae ,hata mama zetu wanapoenda Hospital siku hizi wanaambiwa hatua za ukuaji mtoto tumboni kwamba sasa mwanao anasikia unaweza kuongea nae.
Si kweli, usifuate maneno ya Qur'an, utapotoka. Kiungo cha kwanza kuumbwa kwa binadamu yeyote yule ni mkundu tu kisha vinakuja vingine.
 
Kwa kweli badala ya kila mtu aje facts zake za kidini kutoka kwenya bibilia au msahafu ili kudhibitisha au kupinga
Lakini hapa naona ni kama ile stori ya mlango umechorwa kwenye ukuta na dini moja inang'ang'ania kupita wakati dini nyingine inasema wao wanao ufunguo wa huo mlango.
 
Back
Top Bottom