Sayansi ya uumbaji ndani ya Qur'an/Koran: Sehemu ya 01

Sayansi ya uumbaji ndani ya Qur'an/Koran: Sehemu ya 01

Qur'aan haitanguliwi na wakati sababu Qur'aan si kitabu cha Sayansi bali ni muongozo ndiyo maana hata Sayansi inakosolewa na Qur'aan.
Quran ishapitwa na wakati sheikh usikaze kichwa...wenzako sasaivi Saudia wanachinjia wanyama mashine huku kuna Redio speakers kama zile za machinga stendi inajirudiarudia Bismillah Allahu akbar.

Lakini kipindi kina Muhamad wanatunga sheria za kuchinja hawakujua ipo siku kutakuwa na machinjio makubwa na haitawezekana kuchinja kwa mkono demand yote hiyo...

Kipindi Muhammad anasema picha ni Haram hakujua ipo siku itakuwa ni mojawapo ya njia kubwa za mawasiliano.
Kipindi Muhamad anaweka kaaba iwe direction ya kuswali hakujua dunia duara kwahiyo direction yoyote ile inaangalia kaaba mifano ni mingi mno.
 
610 ndo mwaka alipoanza kushushia Aya za Quran Mustafa.
Lakini Kuna Aya ambazo zilikuwepo hata kabla ya kuumbwa kwa ulimwengu na Adam
Ahahah umebadili tena zile story za 610AD??

Its Okay kuwa Muongo Lakini atleast basi ujarbu kuwa consistent na uongo wako
 
Hizo Aya zinasimulia kipindi adam alipotaka kuumbwa
Unathibitishaje hili?
Screenshot_20210112-193338.jpg
 
610 ndo mwaka alipoanza kushushia Aya za Quran Mustafa.
Lakini Kuna Aya ambazo zilikuwepo hata kabla ya kuumbwa kwa ulimwengu na Adam
Its Okay kuwa Muongo Lakini atleast basi ujarbu kuwa consistent na uongo wako

swali nilikuuliza simply Quran imekuwepo lini na Archimedes kaja lini...ukasema Qiran ni 610 Archimedes ni 280
hapa uliamini kwa ufinyu kuwa 610AD ni zamani kulko 280BC..

Sasa baada ya kudakwa umebadili gia angani imekuwa tena Quran ilikuwepo kipindi cha Adam.
Kama ulijua hilo tokea mwanzoni kwanini ulisema Quran imekuja 610AD?


Sasa ingekuwa mahakamani huu mjadala ushaisha na umeshafeli.
.
Lakini kwasababu mimi ni generous nakupa second chance Tena..
Thibitisha Quran imekuwepo kabla ya Muhammad
 
Hizo Aya zinasimulia kipindi adam alipotaka kuumbwaView attachment 1675762
Hii sentensi inasimulia kipindi Cha Hitler[emoji116][emoji116]
"Hitler alikuwa dikteta,,aliua wayahudi wengi na alitaka ujerumani itawale dunia na pia aliingia vita na Uingereza,Urusi na Viunga vyake.Alisababisha vita vya pili vya dunia."

[emoji115]Hiyo sentesi inasimulia kipindi Cha hitler..Je imeandikwa kipindi cha hitler?
 
injili ya Issa iko wapi?
Aliyohubiri Isa aka Yesu hayakuhifadhiwa

Katika Bibilia agano jipya yako maneno machache sana ambayo alihubiri Yesu

Kama unaijua red bible,yale.maneno yote yaliyopigwa mstari mwekundi ndio maneno ya Yesu

Nafikiri unajua kuwa hii biblia tunayotumia imeandikwa na watu zaidi ya Arubaini (40)ambao hawajulikani.,

Paulo kandika asilimia 70% ya agano jipya..
 
Aliyohubiri Isa aka Yesu hayakuhifadhiwa

Katika Bibilia agano jipya yako maneno machache sana ambayo alihubiri Yesu

Kama unaijua red bible,yale.maneno yote yaliyopigwa mstari mwekundi ndio maneno ya Yesu

Nafikiri unajua kuwa hii biblia tunayotumia imeandikwa na watu zaidi ya Arubaini (40)ambao hawajulikani.,

Paulo kandika asilimia 70% ya agano jipya..

Unaleta story zisizohusiana hapa...kwani paulo kaandika injili?
Mimi sijaulizia maswala ya biblia au kitabu kingine mimi nimeulizia injili ya Issa kama ipo iko wapi?
Nataka nikaisome.
 
Sijui nitakuwa naharibu uzi wako!! Kuna facts kadhaa za kisayansi ndani ya quraan, nitakuwa naandika zile ambazo nimebahatika kuzisoma..

Sura yasin

38. Na jua linakwenda kwa kiwango chake. Hayo ni makadirio ya Mwenye nguvu, Mwenye kujua.


Hapa mola anazungumzia jua kujongea, ni miaka mingi saana imepita ndio wanasayansi wanakuja kugundua jua linajongea miaka hii huku, quraan ambayo IMESHUSHWA karne ya 6 huko..
Hapo tuelewane imeshushwa, kama imeshushwa ina maana ilikiwepo kabla.

Katika quraan kuna mazingatio kabisa kama utasoma kwa tafakuri na akili kubwa.
Tangu enzi za Olduvai na Neanderthal watu waliona Jua linajongea angani. Kwa kiwango chake.
Kama miaka mielfu baada ya Olduvai na Neanderthal kusogea kwa Jua kunatajwa katika maandiko fulani - ajabu ni nini???

Leo tunajua kile tunachoona si mwendo wa Jua, ni mwendo wetu sisi tunaozunguka pamoja na Dunia tulipo.
 
Unaleta story zisizohusiana hapa...kwani paulo kaandika injili?
Mimi sijaulizia maswala ya biblia au kitabu kingine mimi nimeulizia injili ya Issa kama ipo iko wapi?
Nataka nikaisome.
Allaa kumbe
 
Back
Top Bottom