Niliuliza atheism ina mchango gani kwenye jamii kisha nikataka atoe mifano hai iliyo kwenye jamii, badala kueleza kwamba kupitia atheism jamii imefaidika na hiki na kile yeye anakuja kueleza matukio ya mtu tena wa miaka hiyo huko.Kwenye mfano wa scars james rand ame expose uongo.
From that moment watu wameelewa kwamba huyu ni tapeli watu watakua wanaambiana tuwe cautious hivyo kizazi ma kizazi.
Sihitaji dini ili niweze kumsaidia mtu
Akili tu ya kawaida wala sihitaji kuambiwa na kitabu
There’s milions of people wanasoma stori ya James randi na wanajifunza kupitia maandishi hayo ambayo yamezagaa mitadaoni.Niliuliza atheism ina mchango gani kwenye jamii kisha nikataka atoe mifano hai iliyo kwenye jamii, badala kueleza kwamba kupitia atheism jamii imefaidika na hiki na kile yeye anakuja kueleza matukio ya mtu tena wa miaka hiyo huko.
Ok nimekuelewa kwamba ndani ya sekunde 30 dharula inaweza kutokea au bomu linaweza kupigwa.Usipunguze swali mkuu,
Umesema fikiria kwa mfano. Huwezi kunilimit na mimi nifikirie mfano yaani kwa mantiki hiyo ni suala la probability ya sec30 zilizobaki.
Timu A 5 timu B 1 na sekunde zimebaki 30 mpira uishe. Katika hizo sekunde likapigwa bomu kama kule arusha lilivyorushwa hotelini kipi kigumu kuelewa hapo?
Je una uhakika mechi imeisha?
Mkuu mchango mwema wa dini upo wazi kabisa kwenye jamii wala haihitaji wikipedia wala kitabu chochote kile, eleza tu kwa ufupi huo mchango wa atheism kwenye jamii.
soma taratibu uelewe.
Nimesema kwamba hilo tukio hata muamini Mungu anaweza kulifanya tu, sasa hapo unaonganisha vp na mchango wa atheism kwenye jamii?Kwani tukio sio sehemu ya mchango?
Unadharau elimu iliyotolewa wakati watu walikuwa gizani wakiamini uongo?
Uhakika wangu ni kutokana na kwamba hakuna chance ya timu B kuweza kurudisha goli 4 ndani sekunde 30 tu, sasa suala la kutokea dharula na kuharibu hiyo mechi hilo ni suala lengine kabisa.sasa ulichokuwa unakataa ni nini?
Hutakuwa na hakika timu A yenye 5, na timu B yenye 1 ndani ya sekunde 30 zilizobaki ukajua nani ni mshindi.
ILA utakuwa na probability au imani kubwa Timu A akawa mshindi.
Hilo tukio wenye kulisoma hulihusisha na atheism?There’s milions of people wanasoma stori ya James randi na wanajifunza kupitia maandishi hayo ambayo yamezagaa mitadaoni.
Unataka kunufaika kwa namna gani?
Sio kusema tu Mungu yupo,Kwahiyo mtu akikwambia Mungu yupo ni mkatili na muovu utakubali uwepo wa Mungu?
Unaelewa maana ya neno chance?Uhakika wangu ni kutokana na kwamba hakuna chance ya timu B kuweza kurudisha goli 4 ndani sekunde 30 tu, sasa suala la kutokea dharula na kuharibu hiyo mechi hilo ni suala lengine kabisa.
Mkuu siamini kuhusu mungu.Mkuu mchango mwema wa dini upo wazi kabisa kwenye jamii wala haihitaji wikipedia wala kitabu chochote kile, eleza tu kwa ufupi huo mchango wa atheism kwenye jamii.
Mijadala kama hii huwa nasoma comment za watu nakuangalia uwezo wao kwenye kutafiti mambo yahusuyo mungu.Huyu jamaa ni mtu wa dua na maombi lakini anasema hakuna Mungu. Ninaamini alipitia changamoto za kimaisha hadi akamchukia Mungu lakini deep down anafahamu uwepo wake.
Scars
Yaani unasema uhakika wako Halafu unadai hakuna chance!Uhakika wangu ni kutokana na kwamba hakuna chance ya timu B kuweza kurudisha goli 4 ndani sekunde 30 tu, sasa suala la kutokea dharula na kuharibu hiyo mechi hilo ni suala lengine kabisa.
Unajua dunia hii huwa wenye akili wanapenda sana kucheza na akili za watu wenye uwezo mdogo wakufikiri....Yani watu wanataka tushindwe kutumia maneno yaliyokuwa na maana nyingine kabla ya dini kwasababu saizi yamemilikiwa na dini kimazoea hivyo tukionekana kuyatumia wanaanza kutu accuse kuwa sisi na wao tupo kitu kimoja
Ni sawa na rainbow color kabla ya mashoga kuiweka kwenye nembo yao. Ilikuwa ni rangi nzuri iliyokuwa ikiwakilisha mambo mema tu.
Ila saizi imejenga tafsiri mpya ukionekana umevaa nguo yenye rangi za rainbow watu watasema ni shoga.
Sasa swali la kujiuliza je ni kweli rainbow maana yake ni ushoga au ni mazoea ya watu kutokana na kuona mashoga wanatumia rangi hizo?
Sasa kama anaweza kulifanya haiondoi maana kuwa halijafanywa na AtheistNimesema kwamba hilo tukio hata muamini Mungu anaweza kulifanya tu, sasa hapo unaonganisha vp na mchango wa atheism kwenye jamii?
Jifunze nduguAcha propaganda kijana, gravitational force ipo kila mahali.
Sasa unaambiwa kabisa kwamba hayo maeneo upepo mkali unai-overcome gravity kama ambavyo ndege zinapaa na sio kwamba gravitational force haipo.Jifunze ndugu
View attachment 2844253
Umeongeza swali lingine,Roho ni pumzi ya Mungu inayoleta uhai kwenye nafsi na mwili.