Scars haaamini kwenye uwepo wa Mungu lakini anaomba dua na kufanya maombi

Scars haaamini kwenye uwepo wa Mungu lakini anaomba dua na kufanya maombi

Kwenye mfano wa scars james rand ame expose uongo.
From that moment watu wameelewa kwamba huyu ni tapeli watu watakua wanaambiana tuwe cautious hivyo kizazi ma kizazi.
Sihitaji dini ili niweze kumsaidia mtu
Akili tu ya kawaida wala sihitaji kuambiwa na kitabu
Niliuliza atheism ina mchango gani kwenye jamii kisha nikataka atoe mifano hai iliyo kwenye jamii, badala kueleza kwamba kupitia atheism jamii imefaidika na hiki na kile yeye anakuja kueleza matukio ya mtu tena wa miaka hiyo huko.
 
Niliuliza atheism ina mchango gani kwenye jamii kisha nikataka atoe mifano hai iliyo kwenye jamii, badala kueleza kwamba kupitia atheism jamii imefaidika na hiki na kile yeye anakuja kueleza matukio ya mtu tena wa miaka hiyo huko.
There’s milions of people wanasoma stori ya James randi na wanajifunza kupitia maandishi hayo ambayo yamezagaa mitadaoni.

Unataka kunufaika kwa namna gani?
 
Usipunguze swali mkuu,
Umesema fikiria kwa mfano. Huwezi kunilimit na mimi nifikirie mfano yaani kwa mantiki hiyo ni suala la probability ya sec30 zilizobaki.

Timu A 5 timu B 1 na sekunde zimebaki 30 mpira uishe. Katika hizo sekunde likapigwa bomu kama kule arusha lilivyorushwa hotelini kipi kigumu kuelewa hapo?
Je una uhakika mechi imeisha?
Ok nimekuelewa kwamba ndani ya sekunde 30 dharula inaweza kutokea au bomu linaweza kupigwa.

Kuhusu kuwa na uhakika mechi kuisha? Najua mechi inaisha ndani ya dk 90 labda itokee ziongezwe dakika, kinyume na hapo labda itokee dharula.
 
Kwani tukio sio sehemu ya mchango?

Unadharau elimu iliyotolewa wakati watu walikuwa gizani wakiamini uongo?
Nimesema kwamba hilo tukio hata muamini Mungu anaweza kulifanya tu, sasa hapo unaonganisha vp na mchango wa atheism kwenye jamii?
 
sasa ulichokuwa unakataa ni nini?

Hutakuwa na hakika timu A yenye 5, na timu B yenye 1 ndani ya sekunde 30 zilizobaki ukajua nani ni mshindi.

ILA utakuwa na probability au imani kubwa Timu A akawa mshindi.
Uhakika wangu ni kutokana na kwamba hakuna chance ya timu B kuweza kurudisha goli 4 ndani sekunde 30 tu, sasa suala la kutokea dharula na kuharibu hiyo mechi hilo ni suala lengine kabisa.
 
There’s milions of people wanasoma stori ya James randi na wanajifunza kupitia maandishi hayo ambayo yamezagaa mitadaoni.

Unataka kunufaika kwa namna gani?
Hilo tukio wenye kulisoma hulihusisha na atheism?
 
Uhakika wangu ni kutokana na kwamba hakuna chance ya timu B kuweza kurudisha goli 4 ndani sekunde 30 tu, sasa suala la kutokea dharula na kuharibu hiyo mechi hilo ni suala lengine kabisa.
Unaelewa maana ya neno chance?
 
Mkuu mchango mwema wa dini upo wazi kabisa kwenye jamii wala haihitaji wikipedia wala kitabu chochote kile, eleza tu kwa ufupi huo mchango wa atheism kwenye jamii.
Mkuu siamini kuhusu mungu.

Hao watu ni atheism nenda kasome wewe unataka mchango gani?

Hakuna kitu mtu anayeamini kafanya atheism hawezi kwenye jamii,

Point yako ni ipi? Mchango gani? Mamia ya application ambazo zimevumbuliwa na atheism bado zipo applicable mpaka sasa mchango gani unataka?
 
Huyu jamaa ni mtu wa dua na maombi lakini anasema hakuna Mungu. Ninaamini alipitia changamoto za kimaisha hadi akamchukia Mungu lakini deep down anafahamu uwepo wake.
Scars
Mijadala kama hii huwa nasoma comment za watu nakuangalia uwezo wao kwenye kutafiti mambo yahusuyo mungu.
 
Uhakika wangu ni kutokana na kwamba hakuna chance ya timu B kuweza kurudisha goli 4 ndani sekunde 30 tu, sasa suala la kutokea dharula na kuharibu hiyo mechi hilo ni suala lengine kabisa.
Yaani unasema uhakika wako Halafu unadai hakuna chance!
 
Yani watu wanataka tushindwe kutumia maneno yaliyokuwa na maana nyingine kabla ya dini kwasababu saizi yamemilikiwa na dini kimazoea hivyo tukionekana kuyatumia wanaanza kutu accuse kuwa sisi na wao tupo kitu kimoja

Ni sawa na rainbow color kabla ya mashoga kuiweka kwenye nembo yao. Ilikuwa ni rangi nzuri iliyokuwa ikiwakilisha mambo mema tu.

Ila saizi imejenga tafsiri mpya ukionekana umevaa nguo yenye rangi za rainbow watu watasema ni shoga.

Sasa swali la kujiuliza je ni kweli rainbow maana yake ni ushoga au ni mazoea ya watu kutokana na kuona mashoga wanatumia rangi hizo?
Unajua dunia hii huwa wenye akili wanapenda sana kucheza na akili za watu wenye uwezo mdogo wakufikiri....
 
Nimesema kwamba hilo tukio hata muamini Mungu anaweza kulifanya tu, sasa hapo unaonganisha vp na mchango wa atheism kwenye jamii?
Sasa kama anaweza kulifanya haiondoi maana kuwa halijafanywa na Atheist
 
Back
Top Bottom