Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili swali ulitakiwa kuuliza kule ulipoitoa ile Quote.Sasa elezea ulikuwa unaomba nini na kwa nani.
Kwa mujibu wa chanzo chako ulichoweka kimemtaja nani kama mletaji?Nimekuuliza nani kaweka morality? Source yake ni nini?
Nafikiri wewe unajichanganya tu.Ukweli akili yako inajaribu kumpinga Mungu lakini ndani sana nafsi yako inamkiri ndo maana uliisema uliomba dua.Kiswahili cha kuomba maana yake yupo aombwae.Sasa unaposema ni neno lenye kumtakia mtu matashi mema,naona unajaribu kujitetea. Tafakari chukua hatua.Yani watu wanataka tushindwe kutumia maneno yaliyokuwa na maana nyingine kabla ya dini kwasababu saizi yamemilikiwa na dini kimazoea hivyo tukionekana kuyatumia wanaanza kutu accuse kuwa sisi na wao tupo kitu kimoja
Ni sawa na rainbow color kabla ya mashoga kuiweka kwenye nembo yao. Ilikuwa ni rangi nzuri iliyokuwa ikiwakilisha mambo mema tu.
Ila saizi imejenga tafsiri mpya ukionekana umevaa nguo yenye rangi za rainbow watu watasema ni shoga.
Sasa swali la kujiuliza je ni kweli rainbow maana yake ni ushoga au ni mazoea ya watu kutokana na kuona mashoga wanatumia rangi hizo?
Hiyo siyo imani ni tumaini ulo nalo kwa mnyama.Sisi tunazungumzia huyo ulomwomba dua ni nani?Imani yangu mimi naamini Simba tutamfunga Wydad siku ya jumanne
Udhibitisho - ❌️Huo ndio udhibitisho kuwa Mungu yupo?
Naona nimekubana mbavu unaanza kukimbia mapema sana. Kama jibu unalo litoe hapa.Hili swali ulitakiwa kuuliza kule ulipoitoa ile Quote.
Namimi ili nikujibu unatakiwa u-confess kwenye main thread yako kwa kuninukuu vibaya na ukiri kuwa hukuelewa na kuomba moderators wabadilishe title ya uzi
Hapo nimekupa tafsiri halafu nakuuliza nani ameweka ndani ya wanadamu wote hiyo morality? Dunia nzima na kwenye jamii zote kuua ni jambo baya, kwanini? Under whose standards?Kwa mujibu wa chanzo chako ulichoweka kimemtaja nani kama mletaji?
Kakuuliza imewekwa na nani?Maanake yupo aloiweka naomba jibu hilo kwanza.Mbona sijaona Mungu kwenye hiyo tafsiri?
Sasa nikikuambia Morality haihusiani na Mungu utakuwa umenielewa
Tatizo lingine la kuwa toxic na udini naloliona ni swala la kila muumini kujifanya amepewa karama ya kuona yale yaliyojificha kwa wengine.Nafikiri wewe unajichanganya tu.Ukweli akili yako inajaribu kumpinga Mungu lakini ndani sana nafsi yako inamkiri ndo maana uliisema uliomba dua.Kiswahili cha kuomba maana yake yupo aombwae.Sasa unaposema ni neno lenye kumtakia mtu matashi mema,naona unajaribu kujitetea. Tafakari chukua hatua.
Unajua unakosea hadi kuuliza swaliHapo nimekupa tafsiri halafu nakuuliza nani ameweka ndani ya wanadamu wote hiyo morality? Dunia nzima na kwenye jamii zote kuua ni jambo baya, kwanini? Under whose standards?
Hapo anakuwa ameniuliza au amejijibu swali ambalo amejiuliza mwenyewe?Kakuuliza imewekwa na nani?Maanake yupo aloiweka naomba jibu hilo kwanza.
Kwahiyo unaamini simba kumfunga waydad na ila hauamini kuhusu kuwepo muumbaji?Imani yangu mimi naamini Simba tutamfunga Wydad siku ya jumanne
Eeeh naamini tutamfunga Wydad maana yake sina uhakika ndio maana naaminiKwahiyo unaamini simba kumfunga waydad na ila hauamini kuhusu kuwepo muumbaji?
Ila Scars mbna ungetumia evidence ingine bila kuingiza ushoga jaman, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani watu wanataka tushindwe kutumia maneno yaliyokuwa na maana nyingine kabla ya dini kwasababu saizi yamemilikiwa na dini kimazoea hivyo tukionekana kuyatumia wanaanza kutu accuse kuwa sisi na wao tupo kitu kimoja
Ni sawa na rainbow color kabla ya mashoga kuiweka kwenye nembo yao. Ilikuwa ni rangi nzuri iliyokuwa ikiwakilisha mambo mema tu.
Ila saizi imejenga tafsiri mpya ukionekana umevaa nguo yenye rangi za rainbow watu watasema ni shoga.
Sasa swali la kujiuliza je ni kweli rainbow maana yake ni ushoga au ni mazoea ya watu kutokana na kuona mashoga wanatumia rangi hizo?
Mtu anaweza kuwa na imani ktk kitu kingine, ila haamini kuwa Mungu yupoHiyo siyo imani ni tumaini ulo nalo kwa mnyama.Sisi tunazungumzia huyo ulomwomba dua ni nani?
Usiwe mbishi...huyo anayemwomba dua ndo Mungu wake....tayari anaamini kuna kitu chenye uwezo wa kuombwa na kikatoa majibu..Nadhani mkuu wewe umekurupuka. Akisema haamini uwepo wa mungu ungemuuliza anaamini uwepo wa nini?
Pili hapo kwenye hiyo comment yake hajamtaja mungu popote. So kuomba kwake dua ungemuuliza anaomba dua kwa nani na sio kumsingizia kuwa amemuomba mungu.
Pia unatakiwa useme kama dua linaombwa kwa mungu tu au kila mtu anaomba dua anapopaamini. Je anaefanya tambiko kwenye mti au mlima nakufanya dua zake anaomba kwa mungu?
Hicho kitu Scars amekuambia kuwa yeye anakiita mungu?....tayari anaamini kuna kitu chenye uwezo wa kuombwa na kikatoa majibu..
Hapa umeleta ubishi na maelezo mengi ya bure....ujumbe wako ulikuwa moja kwa moja...haya maelezo ni ngonjera tuSo Scars kutumia neno dua maana yake anaamini Mungu?
Maana yake na mimi nitakuwa sahihi kusema hata Wakristo na Waislamu watakuwa wanaabudu Miungu ya kigiriki iwapo tutabaini kuna maneno fulani yamayopingana na dini zenu mkiyatumia?
Kwasababu wamekuwa wakitaja miezi ya mwaka kwa kuiita Januari ambapo kimsingi Januari ni jina la Mungu wa kigiriki aitwaye Janus.
Au niseme mnaabudu miungu ya kirumi kwasababu mmekuwa mkiita mwezi wa tatu "March" wakati hilo ni jina la Mungu wa kivita wa kirumi?
Vipi kuhusiana na siku za wiki Monday, Tuesday, Wednesday, Friday, Thursday, Saturday hadi Sunday ambaye ni Mungu jua?
Hujui kwamba hiyo ni Miungu?
Kwahiyo tunapokuona ukitamka tusemeje sasa? Tuseme unatamka hayo maneno kwasababu unaamini hiyo Miungu?
Au tuseme na nyie mnatuektia kusema mnaamini Mungu na wakati tunawaona mnatumia Dollar ya marekani ambayo ina chata ya kishetani ambayo imeelezwa kwenye vitabu vyenu?
****************************
Kujibu swali lako
Kwa bahati mbaya unaonekana kushindwa kuelewa baadhi ya maneno yana double meaning kwa kuchukua maana ile iliyo kaririwa ambayo imekuwa ikitumika sana kimazoea
Neno dua linaweza kuwa na maana nyingine na kutumika kama "wish" au "hope"
Kumtakia mtu heri ya jambo lolote linaloenda kufanyika mbele hiyo sio dua kwa mtazamo wa kidini ni jambo la kiutu katika morality
Lakini kama upo katika circle ya udini lazima uwe na perception ya tofauti unaweza kusema ni dua
Kwa hiyo hayo ni maswala tu ya utata wa maneno hususani pale inapotokea neno kuwa na maana zaidi ya moja huku maana fulani ndio ikiwa inatumika kimazoea kwenye jambo fulani.