Scars haaamini kwenye uwepo wa Mungu lakini anaomba dua na kufanya maombi

Mbona sijaona Mungu kwenye hiyo tafsiri?

Sasa nikikuambia Morality haihusiani na Mungu utakuwa umenielewa
Nimekuuliza nani kaweka morality? Source yake ni nini?
 
Sasa elezea ulikuwa unaomba nini na kwa nani.
Hili swali ulitakiwa kuuliza kule ulipoitoa ile Quote.

Namimi ili nikujibu unatakiwa u-confess kwenye main thread yako kwa kuninukuu vibaya na ukiri kuwa hukuelewa na kuomba moderators wabadilishe title ya uzi
 
Nafikiri wewe unajichanganya tu.Ukweli akili yako inajaribu kumpinga Mungu lakini ndani sana nafsi yako inamkiri ndo maana uliisema uliomba dua.Kiswahili cha kuomba maana yake yupo aombwae.Sasa unaposema ni neno lenye kumtakia mtu matashi mema,naona unajaribu kujitetea. Tafakari chukua hatua.
 
Hili swali ulitakiwa kuuliza kule ulipoitoa ile Quote.

Namimi ili nikujibu unatakiwa u-confess kwenye main thread yako kwa kuninukuu vibaya na ukiri kuwa hukuelewa na kuomba moderators wabadilishe title ya uzi
Naona nimekubana mbavu unaanza kukimbia mapema sana. Kama jibu unalo litoe hapa.
 
Kwa mujibu wa chanzo chako ulichoweka kimemtaja nani kama mletaji?
Hapo nimekupa tafsiri halafu nakuuliza nani ameweka ndani ya wanadamu wote hiyo morality? Dunia nzima na kwenye jamii zote kuua ni jambo baya, kwanini? Under whose standards?
 
Tatizo lingine la kuwa toxic na udini naloliona ni swala la kila muumini kujifanya amepewa karama ya kuona yale yaliyojificha kwa wengine.

Umeona kama hapo kwenye maelezo yako umetaja neno nafsi.

Namimi nakuambia hilo neno pia nalitumia vizuri katika daily life yangu licha ya kwamba mimi ni Atheist.

Lakini utofauti unakuja kwenye maana.

Neno nafsi kwangu lina maana ya personal emotions au zile feelings ambazo naweza kusema zipo controlled na ubongo lakini katika kuzielezea nikazihusisha na moyo.

Kwa hiyo utagundua kwenye mbadala wa neno nafsi naweza nikatumia neno "moyo" na bado nikafikisha maana ileile niliyoitaka.


Ni tofauti na wewe unayetafsiri nafsi kama kitu ambacho ni immortal kinaishi ndani yako hata siku ukifa chenyewe kitapaa juu kwenda huko mbinguni.

Sitafsiri nafsi kama apparatus ya kiroho ambayo ipo ndani yako kama muongozo.

Sitafsiri nafsi kama device ya kiroho ambayo imewekwa ndani yako kwa ajili ya ku link connection kati ya Mungu na wewe.
 
Hapo nimekupa tafsiri halafu nakuuliza nani ameweka ndani ya wanadamu wote hiyo morality? Dunia nzima na kwenye jamii zote kuua ni jambo baya, kwanini? Under whose standards?
Unajua unakosea hadi kuuliza swali

Nani kaweka ndani ya mwanadamu ndio swali gani?

Nini kinachokufanya ufikiri morality inapaswa kuwekwa na hicho kitu ukichokipa identity ya "nani"?
 
Kwahiyo unaamini simba kumfunga waydad na ila hauamini kuhusu kuwepo muumbaji?
Eeeh naamini tutamfunga Wydad maana yake sina uhakika ndio maana naamini

Wydad namjua tumecheza naye mechi tatu kashinda 2 nimeshinda moja.

Mechi ya mwisho alipigiwa mpira mwingi na bao alipata kizari tu na ndio maana wametimua kocha

Kwasababu mpira ni namba basi matumaini yangu ya kumfunga Wydad nayaona ila ipo nafasi pia ya matokeo kuja tofauti.

Sasa Mungu sababu ya kuamini kwanza nitakuuliza katika maelfu ya Miungu, Mungu gani unayetaka mimi nimuamini?

Na kwanini wewe huamini Miungu hiyo mingine?
 
Ila Scars mbna ungetumia evidence ingine bila kuingiza ushoga jaman, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Usiwe mbishi...huyo anayemwomba dua ndo Mungu wake....tayari anaamini kuna kitu chenye uwezo wa kuombwa na kikatoa majibu..
 
Hapa umeleta ubishi na maelezo mengi ya bure....ujumbe wako ulikuwa moja kwa moja...haya maelezo ni ngonjera tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…