Nimekusika boss wangu, sio mtu wa kwanza kuniambia hivyo japo wanaoshawishi ni wengiW
Hata usiwish mkuu hapa tuu bado nina maumivu ya jana nacheka basi tuu ila ni huzuni kama hujawahi kubet nakusihi usiiingie huku
Baada
Baada ya kuona sega sec nikajua jirani huyu . Karibu Kihonda kanisani tubadilishane mawazo afsa
MD wa kijiji.. πππMisoprostol arbotionππππππ
Naijua hiyo mkuuππMD wa kijiji.. πππ
Nilitoa ushauri tu kaka ππNaijua hiyo mkuuππ
π π π π π Sijawai ku search mkuu The Icebreaker , nipo nawashangaa nyie mna search na mambo yenu mnayo search
Ni jirani kabisa ndugu yangu, ila muda kidogo nimetoka Morogoro huko.Baada
Baada ya kuona sega sec nikajua jirani huyu . Karibu Kihonda kanisani tubadilishane mawazo afsa