cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Safi mkuu kuna wengine search history zao ukiziona lazima ujiulize mara mbili hivi huyu ndio trudie ninayemjua kweli 😃😃😃😃😃Mimi ni jf kwa sana
View attachment 3105872
Mimi sina mauza uza kwenye simu, hii chrome yangu ni jf kwa sana mambo mengine ni mara chache sana ndio nasearch.Safi mkuu kuna wengine search history zao ukiziona lazima ujiulize mara mbili hivi huyu ndio trudie ninayemjua kweli 😃😃😃😃😃
Ndio mkuu nilimsearch ili nione japo sura yake.....alitrend sana instagram week iliyopita katika coment nikaona wanaongelea video yake inatia kinyaa maana kafungulia bomba la uzima. Nina kinyaa mno so nikamsearch nimwone sura tuu video zake nikawa nazipita nisiharibu siku yangu.Mtoa mada ulikua unamsearch Alicia kanini?
Jamaniii kwelii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maana ya frem ya mlango [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Must be a tech guy!#FreeTanzaniaView attachment 3104138
T-Mobile. Vipi?Must be a tech guy!
Nje ya mada mkuu hiyo Ultra Capacity yako ni T- Mobile au Verizon?
Niliwahi kutumia Verizon , vipi user experience yako kwa T-Mobile ?T-Mobile. Vipi?
T-Mobile iko poa sasa hivi, kwangu kuna wakati walikuwa na challenge walipoinunua Sprint, sasa hivi wako poa sana.Niliwahi kutumia Verizon , vipi user experience yako kwa T-Mobile ?