muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Kwamba kama watu wakuangukiwa na jengo mambo mengine yasiendelee.Rais katoa shilingi milioni 700 kwa timu ya mpira wakati hawa watu bado wamefukiwa na jumba lililoanguka.
How insensitive.
Mkuu kichwani mwako mupo sawa lakini?Kwamba kama watu wakuangukiwa na jengo mambo mengine yasiendelee.
Acheni hizo, na uzuri/ubaya hajaanza leo kumwaga pesa huko kwa wachezaji.
Labda kakosea timing tu ila sio kua hajali walioangukiwa na jengo.
Sasa kukosea timing unaona ni jambo dogo la kusema "labda kakosea timing tu"?Kwamba kama watu wakuangukiwa na jengo mambo mengine yasiendelee.
Acheni hizo, na uzuri/ubaya hajaanza leo kumwaga pesa huko kwa wachezaji.
Labda kakosea timing tu ila sio kua hajali walioangukiwa na jengo.
Zaidi ya sawa, mnaendeshwa na hisia na siasa uchwara na sio uhalisia.Mkuu kichwani mwako mupo sawa lakini?
Hizo hela hajaanza kutoa juzi wala jana na si yeye tu hata mtangulizi wake ndivyo alivyokua na hiyo tabia haijakoma mpaka leo.Sasa kukosea timing unaona ni jambo dogo la kusema "labda kakosea timing tu"?
Hapo kuna mengi, lakini nahofia tuna tofauti za kifalsafa.
Ukiondoa timing, kitendo cha rais kugawagawa pesa kila sehemu si sawa.
Kwani hakuna chama cha soka? Hakuna wizara?
Rais hafanyiwi auditing. Hiyo hela hatujui imetoka kwa walipa kodi au ni pesa aliyochukua rushwa kwa Adani.
Hilo nalo ni tatizo tayari.
Unaelewa hilo? Au unafurahia tu rais anatoa pesa?
Kifo kinatisha mkuu ,so sad.Doh una kufa una jiona kabisa na nguvu zako na amna kitu una fanya
Mungu kawapa akili, jinsi ya kuitumia ni maamuzi yenu ila mkimuomba atawasaidia.Mungu alikuwa wapi kuzuia hilo jengo lisiporomoke?
Masikitiko mengi…..Mungu hivi Mungu vile.
Where was his ass in Seba’s hour of need?
Bullshit.Mungu kawapa akili, jinsi ya kuitumia ni maamuzi yenu ila mkimuomba atawasaidia.
Sasa ninyi ni viburi, much know a.k.a kajua yote
Sijasema hela kaanza kutoa leo.Hizo hela hajaanza kutoa juzi wala jana na si yeye tu hata mtangulizi wake ndivyo alivyokua na hiyo tabia haijakoma mpaka leo.
Kwamba akitoa hizo 700M ndio ataokoa watu kariakoo??
Hiyo ni mipango iliyotakiwa kupangwa kabla ya janga na majanga yafananayo na hayo.
Ila hii ya kusema sijui raisi katoa 700M kwa taifa stars huku katosa uokozi sio sawa, maana hata akitoa hizo 700M kwenye uokozi zitaishia kuliwa na wachache tu..
Sijui unaelewa.
Thibitisha Mungu yupoMungu kawapa akili, jinsi ya kuitumia ni maamuzi yenu ila mkimuomba atawasaidia.
Sasa ninyi ni viburi, much know a.k.a kajua yote
Dhana ya Mungu ni chaka la watu wazembe na wavivu kukwepa wajibu wao tu.Bullshit.
Kila siku huyo Mungu anafeli vibaya sana.
Watu washaanza kuhofia juu ya kufanya biashara kwenye ghorofa. Wengine wanangojea mkataba uishe wahame.Ni wakati sasa na wapangaji kwenye hayo majengo kuchukua hatua kwa matengenezo wanayo ona yanaweza kuhatarisha uhai wao
Maana mnaona kabisa nguzo zinapigwa nyundo na nyie mpo ndani kimya tuu
Sipati picha, zimamoto walivyo sepa kama, kasongo yeye mkia juu🐗🐗🏃Sitosahau mwaka jana soko la masasi lilipokiungua moto zimamoto wakaja na gari isiyo na maji ikatokea kauli kutoka kwenye kundi la watu akasema tuwaue hao wamezoea usenge
Mnafeli ninyi sio Mungu.Bullshit.
Kila siku huyo Mungu anafeli vibaya sana.
Wanasema kifo ni kifo lakini nadhani hiki ni kifo kibaya zaidi..ambapo kifo unakiona na hauna chochote cha kufanyaKifo unakiona na hakuna namna utakimbia
Kwa akili km zako lzm waafrika tutawaliwe Tena , badala ya kuhimiza maboresho kwenye taasisi husika , ww ndo kwanza unawapa hamasa kuwa hakuna namn ya hv walivyoperfom kwenye hili jengoMajanga kama haya hayana mbabe mkuu, kumbuka tetemeko la uturuki, ghorofa la floors kumi unadhani watafanyaje ili kuharakisha uokozi?