Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Naam, kwa sababu habari za mungu ni uzushi tu.Mnafeli ninyi sio Mungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam, kwa sababu habari za mungu ni uzushi tu.Mnafeli ninyi sio Mungu.
Mjomba ishu ya raisi kutoa pesa imepigiwa kelele sana, raisi hakaguliwi wala hashitakiwi kwa matumizi yake mabaya ya pesa zisizojulikana chanzo chake.Sijasema hela kaanza kutoa leo.
Sijasema milioni 700 zitaokoa watu Kariakoo.
Sijasema angetoa milioni 700 Kariakoo.
Kariakoo kuna tatizo lililozidi pesa.
Milioni 700 katika hesabu za nchi ya watu milioni 65 si pesa nyingi hivyo.
Sijasema angetoa milioni 700 kwenye uokozi.
Huelewi point zangu. Ndiyo maana nikasema tuna tofauti z akifalsafa.
Kwanza, it was insensitive kutoa pesa kwenye mpira wakati watu wamefukiwa na ghorofa. Ni kama haku acknowledge kuwa lile ni janga la kitaifa.
Pili, habari nzima ya rais kugawagawa pesa ni kosa. Ndiyo maana naona hoja yako ya "kwani kaanza kutoa leo, kwani kaanza kutoa yeye" kuwa ni mufilisi. Ni hoja ya mtu asiyejua kusoma kwa ufahamu.
Maadam rais hafanyiwi auditing na CAG, rais kutoatoa pesa ni makosa. Pesa za rais hazina transparency. Tutajua vipi hizi ni pesa za walipa kodi na si pesa za rushwa ya Adani? Nimekuuliza hili swali hujajibu.
Sio uzushiNaam, kwa sababu habari za mungu ni uzushi tu.
Kwa akil Yako aachwe ili na wengine waje kuua raia wakijua wataachwa , hv watz mmelogwa na nan?Ata akipatikana na akafungwa au kuhukumiwa kifo itasaidia nini mkuu.
Hujathibitisha Mungu yupo bado.Mnafeli ninyi sio Mungu.
700m zann Kwa Taifa stars? Hv sule zetu zinaridhisha ? Vituo vya afya havina changamoto ? Ccmu ni kaburuMjomba ishu ya raisi kutoa pesa imepigiwa kelele sana, raisi hakaguliwi wala hashitakiwi kwa matumizi yake mabaya ya pesa zisizojulikana chanzo chake.
Watu wanahusianisha hizo 700M na janga la kariakoo, mimi ninachokiongelea ni kua pamoja na hilo janga bado mambo mengine yaendelee.
Ila wengi wanalitumia hilo suala kisiasa zaidi kitu ambacho sio sawa, akitoa 5M kila goli ni sawa, ila kutoa pesa kipindi cha janga ni kosa, si unaona hizo double standards.
Rais kugawagawa pesa wakati hakaguliwi ni vibaya sana.Mjomba ishu ya raisi kutoa pesa imepigiwa kelele sana, raisi hakaguliwi wala hashitakiwi kwa matumizi yake mabaya ya pesa zisizojulikana chanzo chake.
Watu wanahusianisha hizo 700M na janga la kariakoo, mimi ninachokiongelea ni kua pamoja na hilo janga bado mambo mengine yaendelee.
Ila wengi wanalitumia hilo suala kisiasa zaidi kitu ambacho sio sawa, akitoa 5M kila goli ni sawa, ila kutoa pesa kipindi cha janga ni kosa, si unaona hizo double standards.
Mambo ya imani hayana ithibati ya kisayansi, ni super natural powers.Hujathibitisha Mungu yupo bado.
Inawezekana Mungu hawezi kufeli kwa sababu hayupo.
Ni uzushi to the nth degree.Sio uzushi
Ninyi ndio hamuelewi.Rais kugawagawa pesa wakati hakaguliwi ni vibaya sana.
Anaweza kufanya hata money laundering.
Huelewi wapi?
Hayana ithibati ya kisayansi kwa sababu ni uongo.Mambo ya imani hayana ithibati ya kisayansi, ni super natural powers.
SawaNi uzushi to the nth degree.
Ni imani, kama wewe ni mwanasayansi basi si rahisi kukuaminisha, huwezi kuamini yasiyoonekana, ila yapo.Hayana ithibati ya kisayansi kwa sababu ni uongo.
ImaniHayana ithibati ya kisayansi kwa sababu ni uongo.
Unajuaje hili halina ithibati ya kisayansi kwa sababu ni imani na hli halina ithibati ya kisayansi kwa sababu ni uongo?
Mmefeli ninyi sio Mungu.Hujathibitisha Mungu yupo bado.
Inawezekana Mungu hawezi kufeli kwa sababu hayupo.
Unajuaje hili halina ithibati ya kisayansi ila ni kweli, na hili halina ithibati ya kisayansi ila ni uongo?Ni imani, kama wewe ni mwanasayansi basi si rahisi kukuaminisha, huwezi kuamini yasiyoonekana, ila yapo.
Mungu anaachiaje mzazi wa mtoto mdogo afe namna hiyo?Sawa
Hujathibitisha Mungu yupo.Mmefeli ninyi sio Mungu.
Ninyi mmepewa akili mzitumie ila kwa viburi vyenu hamzitumii
Tumieni akili zenu mlinde vizazi vyenu.Mungu anaachiaje mzazi wa mtoto mdogo afe namna hiyo?
Huyo mtoto sasa atalelewa na watu baki [hopefully mama yake yupo na anampenda].
Inasikitisha sana!
Ndiyo, kwa sababu hakuna cha mjomba mungu wala mungu baba.Tumieni akili zenu mlinde vizazi vyenu.