Seba aliyeandika meseji kwa rafiki yake amtunzie mwanae na anakata roho kwenye ghorofa ya Kariakoo lililoanguka, akutwa amefariki

Seba aliyeandika meseji kwa rafiki yake amtunzie mwanae na anakata roho kwenye ghorofa ya Kariakoo lililoanguka, akutwa amefariki

Sijasema hela kaanza kutoa leo.

Sijasema milioni 700 zitaokoa watu Kariakoo.

Sijasema angetoa milioni 700 Kariakoo.

Kariakoo kuna tatizo lililozidi pesa.

Milioni 700 katika hesabu za nchi ya watu milioni 65 si pesa nyingi hivyo.

Sijasema angetoa milioni 700 kwenye uokozi.

Huelewi point zangu. Ndiyo maana nikasema tuna tofauti z akifalsafa.

Kwanza, it was insensitive kutoa pesa kwenye mpira wakati watu wamefukiwa na ghorofa. Ni kama haku acknowledge kuwa lile ni janga la kitaifa.

Pili, habari nzima ya rais kugawagawa pesa ni kosa. Ndiyo maana naona hoja yako ya "kwani kaanza kutoa leo, kwani kaanza kutoa yeye" kuwa ni mufilisi. Ni hoja ya mtu asiyejua kusoma kwa ufahamu.

Maadam rais hafanyiwi auditing na CAG, rais kutoatoa pesa ni makosa. Pesa za rais hazina transparency. Tutajua vipi hizi ni pesa za walipa kodi na si pesa za rushwa ya Adani? Nimekuuliza hili swali hujajibu.
Mjomba ishu ya raisi kutoa pesa imepigiwa kelele sana, raisi hakaguliwi wala hashitakiwi kwa matumizi yake mabaya ya pesa zisizojulikana chanzo chake.

Watu wanahusianisha hizo 700M na janga la kariakoo, mimi ninachokiongelea ni kua pamoja na hilo janga bado mambo mengine yaendelee.
Ila wengi wanalitumia hilo suala kisiasa zaidi kitu ambacho sio sawa, akitoa 5M kila goli ni sawa, ila kutoa pesa kipindi cha janga ni kosa, si unaona hizo double standards.
 
Mjomba ishu ya raisi kutoa pesa imepigiwa kelele sana, raisi hakaguliwi wala hashitakiwi kwa matumizi yake mabaya ya pesa zisizojulikana chanzo chake.

Watu wanahusianisha hizo 700M na janga la kariakoo, mimi ninachokiongelea ni kua pamoja na hilo janga bado mambo mengine yaendelee.
Ila wengi wanalitumia hilo suala kisiasa zaidi kitu ambacho sio sawa, akitoa 5M kila goli ni sawa, ila kutoa pesa kipindi cha janga ni kosa, si unaona hizo double standards.
700m zann Kwa Taifa stars? Hv sule zetu zinaridhisha ? Vituo vya afya havina changamoto ? Ccmu ni kaburu
 
Mjomba ishu ya raisi kutoa pesa imepigiwa kelele sana, raisi hakaguliwi wala hashitakiwi kwa matumizi yake mabaya ya pesa zisizojulikana chanzo chake.

Watu wanahusianisha hizo 700M na janga la kariakoo, mimi ninachokiongelea ni kua pamoja na hilo janga bado mambo mengine yaendelee.
Ila wengi wanalitumia hilo suala kisiasa zaidi kitu ambacho sio sawa, akitoa 5M kila goli ni sawa, ila kutoa pesa kipindi cha janga ni kosa, si unaona hizo double standards.
Rais kugawagawa pesa wakati hakaguliwi ni vibaya sana.

Anaweza kufanya hata money laundering.

Huelewi wapi?
 
Rais kugawagawa pesa wakati hakaguliwi ni vibaya sana.

Anaweza kufanya hata money laundering.

Huelewi wapi?
Ninyi ndio hamuelewi.
Sijakataa kugawagawa pesa hovyo ni janga ila ninyi kulitumia janga la kariakoo kupush agenda yenu ndo tatizo hapo maana hajaanza leo kufanya hivyo.

Mimi ninaandika ya kua, kutoa hizo 700M hazina athari yoyote kwenye hilo janga la kariakoo.
 
Mambo ya imani hayana ithibati ya kisayansi, ni super natural powers.
Hayana ithibati ya kisayansi kwa sababu ni uongo.

Unajuaje hili halina ithibati ya kisayansi kwa sababu ni imani na hli halina ithibati ya kisayansi kwa sababu ni uongo?
 
Back
Top Bottom