Seba Maganga anaweza kuvaa viatu vya Ruge Mutahaba akipunguza kujisikia

Seba Maganga anaweza kuvaa viatu vya Ruge Mutahaba akipunguza kujisikia

Kampeni zimeanza hata kabla Ruge hajazikwa?? Kweli kufa kufaana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona eeh?!! Hawajui kuwa Coca Cola, itabaki kuwa hivyo na hali kadhalika PEPSI itabaki kuwa PEPSI. Ruge ni mmoja na alitenda kadiri ya karama aliyojaliwa na Muumba wetu. Aje mtanzania mwingine ambae ataendeleza gurudumu kwa namna yake na karama zake na si "eti" kwa kuvaa viatu ambavyo alivaa Ruge!
 
Clouds imejengwa katika culture ya kujipendekeza, kujikombakomba na kuishobokea serikali na unafiki mwingi jambo ambalo Masoud hana.

Ataleta culture tofauti ndani ya kampuni, mwisho wa siku kampuni itasuasua wamlaumu.

Sidhani kama Masoud yuko tayari kumnyekea na kujikomba kwa Bashite ili mambo yaende.
Ukweli huu wengi hawatauelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mtoto wa kishua na yeye ni mchapakazi,ni mbunifu yupo karibu sana na vijana toka enzi zile akiwan na Masai inc.

Iliwasimamia wanamuziki kama Gangwe Mobb,Noorah.

Jamaa anajua vingi na anaweza kujitoa,shida moja anajisikia sana hapendi kujishusha akijirekebisha atakuwa mtu poa.
Hassan Ngoma anatosha........amezaliwa UK!
 
Clouds imejengwa katika culture ya kujipendekeza, kujikombakomba na kuishobokea serikali na unafiki mwingi jambo ambalo Masoud hana.

Ataleta culture tofauti ndani ya kampuni, mwisho wa siku kampuni itasuasua wamlaumu.

Sidhani kama Masoud yuko tayari kumnyekea na kujikomba kwa Bashite ili mambo yaende.
you have a point
 
Huyu mtoto wa kishua na yeye ni mchapakazi,ni mbunifu yupo karibu sana na vijana toka enzi zile akiwan na Masai inc.

Iliwasimamia wanamuziki kama Gangwe Mobb,Noorah.

Jamaa anajua vingi na anaweza kujitoa,shida moja anajisikia sana hapendi kujishusha akijirekebisha atakuwa mtu poa.
hivi kaacha kupaka super black kwenye nywele?
 
Clouds imejengwa katika culture ya kujipendekeza, kujikombakomba na kuishobokea serikali na unafiki mwingi jambo ambalo Masoud hana.

Ataleta culture tofauti ndani ya kampuni, mwisho wa siku kampuni itasuasua wamlaumu.

Sidhani kama Masoud yuko tayari kumnyekea na kujikomba kwa Bashite ili mambo yaende.
isitoshe masoud ni mcha mungu .ni ngumu sana kumudu
 
Na hio ndio asili ya watu wanaopenda fursa always, yupo radhi akupake perfume mbele ya jamii hata kama umejinyea ilimradi apate anachotaka tu. Kuna kibarua cha kumtafuta mtu mwenye calibre hio, ndio walau ata match na culture yao.

To make shit worse RIP ndio alikuwa mastermind wa michongo mingi tu, so kusaga alikuwa ni kama anasainisha deal tu, ila Ruge ndio mpambanaji na mpanga safu ya mashambulizi. 90% brain ya Ruge 10% Kusaga. Sasa kwanini usilie machozi! Thats a major loss lazma kampuni itayumba kinamna flani. You need a better strategist to success in business hasa kipindi hiki ambako rivals washakuwa wengi.


Clouds imejengwa katika culture ya kujipendekeza, kujikombakomba na kuishobokea serikali na unafiki mwingi jambo ambalo Masoud hana.

Ataleta culture tofauti ndani ya kampuni, mwisho wa siku kampuni itasuasua wamlaumu.

Sidhani kama Masoud yuko tayari kumnyekea na kujikomba kwa Bashite ili mambo yaende.
 
Back
Top Bottom