Inonga bado hajarudi?Kwani Diara na Aziz KI walipokelewa hivi au walijiunga na wenzao kama Ng'ombe wa Kisukuma wawapo machungioni
Dortmund ya kibabeSebastian Haller, mshambuliaji wa Ivory Coast aliyefunga magoli muhimu katika mechi za mwishoni zilizoipa Ivory Coast ubingwa wa AFCON 2023 amerudi kwenye klabu yake ya Borussia Dortmund na kupokelewa kwa staili hii.
View attachment 2905403
Mchezaji wa AFCON wa nchi yako amepokelewaje aliporudi klabuni kwake?
Hivi ni member gani yule wa JF alikuwa kwenye post zake anamalizia kwa "Mungu wabariki Wazungu?"
chama ,kibu,manula,tshabalala/mzamiru et al walipokelewaje hapo ukolokoloni?au kama mangururwe yawapo bandani?Kwani Diara na Aziz KI walipokelewa hivi au walijiunga na wenzao kama Ng'ombe wa Kisukuma wawapo machungioni
Hapo ''Majini'' hamna.Sebastian Haller, mshambuliaji wa Ivory Coast aliyefunga magoli muhimu katika mechi za mwishoni zilizoipa Ivory Coast ubingwa wa AFCON 2023 amerudi kwenye klabu yake ya Borussia Dortmund na kupokelewa kwa staili hii.
View attachment 2905403
Mchezaji wa AFCON wa nchi yako amepokelewaje aliporudi klabuni kwake?
Nikinukuhu maneno kuntu ya Erythrocyte "Mungu wabariki Wazungu"
Fantastic!Amazing