Sebastian Haller, mchezaji wa Ivory Coast akipokelewa klabuni kwake baada ya kushinda AFCON

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Sebastian Haller, mshambuliaji wa Ivory Coast aliyefunga magoli muhimu katika mechi za mwishoni zilizoipa Ivory Coast ubingwa wa AFCON 2023 amerudi kwenye klabu yake ya Borussia Dortmund na kupokelewa kwa staili hii.


Your browser is not able to display this video.

Mchezaji wa AFCON wa nchi yako amepokelewaje aliporudi klabuni kwake?

Nikinukuhu maneno kuntu ya Erythrocyte "Mungu wabariki Wazungu"
 
Huwa wanapokelewa hivyo waliochukua ubingwa au kuwa second na third runner we mtu katoka round one apokelewe na maua
Anyway hapo Cha ajabu ni aliyeshinda ubingwa kaisharudi kazini waliotolewa huko mbali hata hapajulikani hadi Leo hawajaanza kazi na wamerudi juzi
Not serious
 
Wachezaji wetu sasa utasikia klabu ikitoa taarifa.

"Fulani na fulani waliokuwa kwenye timu zao za taifa WAMEJIUNGA NA WENZAO KAMBINI"

😂
 
Dortmund ya kibabe
 
Alistahili afanyiwe mapokezi mazuri,kwanza alipambana na kuishinda Cancer,akarudi Uwanjani na kuifungia Timu ya Taifa magoli muhimu kwenye Nusu Fainali na Fainali,hakika alistahili mapokezi mazuri
 
Hapo ''Majini'' hamna.
 
Huyu jamaa ni kama Mungu amempa second chance ya kuishi,hali yake ilikua mbaya sana,

Always hope for the good kisha mtangulize Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…