SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Sebastian Haller, mshambuliaji wa Ivory Coast aliyefunga magoli muhimu katika mechi za mwishoni zilizoipa Ivory Coast ubingwa wa AFCON 2023 amerudi kwenye klabu yake ya Borussia Dortmund na kupokelewa kwa staili hii.
Mchezaji wa AFCON wa nchi yako amepokelewaje aliporudi klabuni kwake?
Nikinukuhu maneno kuntu ya Erythrocyte "Mungu wabariki Wazungu"
Mchezaji wa AFCON wa nchi yako amepokelewaje aliporudi klabuni kwake?
Nikinukuhu maneno kuntu ya Erythrocyte "Mungu wabariki Wazungu"