Tetesi: Secret cameras and microphones were discovered inside the African Union Headquarters. The Chinese is not a good man!

Tetesi: Secret cameras and microphones were discovered inside the African Union Headquarters. The Chinese is not a good man!

Wachina ndiyo wamejenga JWTZ yenu hiyo, Washauri wa PLA walijazana sana tangu kipindi cha Mzee Nyerere.
Wanabadilishana taarifa za kijasusi na TISS kama ambavyo CIA wanabalishana na MOSSAD. Sema tofauti yetu kubwa kati ya Serikali yetu na ile ya Israel ni kwamba Serikali yetu imewafanyia Wachina kazi huku wakipewa masilaha tu.

Kuna siku Mzee Nyerere alijisifia kabisa mbele ya Wazungu,
Akasema "The Chinese are my friends, if i need weapons and support i just say hey i need some weapons and they provide" Hahahaha anaongea hivi wakati huo watu tunapanga mstari kwenye duka la Ujamaa kuchukua sukari....Teh teh teh yule babu bwanaaa.
Una hatari wewe!
 
😀 kweli mwizi akikosa cha kuiba anaiba hadi majivu, sasa gizani huku wanadukua nini zaid ya vilio vya njaa, ukame, na vitu ambavyo vyepesi vyepesi
Hahahahaha mkuu nimecheka sana asee
 
Chaaa sasa wamedukua nini? Yale ya usingizi ya mugabe?
 
Huku uswahili kwetu wachina wametuletea madubwasha mpaka uchochoroni wanayaita maguruguru au viabudu, wazee , vijana na watoto wanayacheza, mataji 200, kweli mchina amekuja kukomba kila kitu
 
😀 kweli mwizi akikosa cha kuiba anaiba hadi majivu, sasa gizani huku wanadukua nini zaid ya vilio vya njaa, ukame, na vitu ambavyo vyepesi vyepesi
[emoji23] [emoji23] nimecheka sanaa
 
Maana data zetu ata wakidukua awazei pata info yoyote ya maana zimejaa siasa tena siasa za kizaman kabisa
 
😀 kweli mwizi akikosa cha kuiba anaiba hadi majivu, sasa gizani huku wanadukua nini zaid ya vilio vya njaa, ukame, na vitu ambavyo vyepesi vyepesi
Hizo njaa tunazolilia ndio wanatuingia kwa gia hiyo hiyo kuwa wanataka kutusaidia na kutupiga hapo hapo.
 
kuna mtu kasema ati kudukua ma usingizi ya mugabe ha ha ha ha!

afrika lzm ijue tupo kwenye ulimwengu wa kudukuana,bado wanahitaji vitu kutoka kwetu soko,mali,ulinzi n.k we must protect ourself.. hlf hao wanaofanya hizo kazi za kuwaruhusu hao wachina waje watujengee majengo yenye umuhimu hivyo bila hata ulinzi makini wakapimwe mkojo! na hao wataalum wa makompyuta ati maspy wa afrika nawenyewe wakapimwe mkojo! sioni ulinzi wao kwa hilo jengo mpk wafaransa waje watugundulie uhai
 
Kwanza wanadukua nini?? Hapa Afrika kuna nn hasa jibu kila mtu analo.

Lakini la msingi nchi 54 zimgetoa dola mil 2 kwa kila nchi wangejenga jengo hatari sana kila kitu ndani lakin wanaishia Kuiba tu mamilioni uaani Afrika hii ina laana mbaya sana..
 
Back
Top Bottom