Tetesi: Secret cameras and microphones were discovered inside the African Union Headquarters. The Chinese is not a good man!

Tetesi: Secret cameras and microphones were discovered inside the African Union Headquarters. The Chinese is not a good man!

😀 kweli mwizi akikosa cha kuiba anaiba hadi majivu, sasa gizani huku wanadukua nini zaid ya vilio vya njaa, ukame, na vitu ambavyo vyepesi vyepesi
Utakua hauijui Afrika ni mzungu wewe au kama ni Mwafrika una mume mzungu unabembeleza ndoa!Afrika haina viongozi tu ila ina maliasili za kusaza
 
Sasa wanadukua nini huku guzani? wanadukua namna yakubadili katiba nakujiongezea muda wakukaa madarakani?
 
Watakua hawajapata cha maana ile kona hawaongei mazito, mazito wanaongelea Nangwanda sijaona pole Wachina ndio maana kwa miaka 5 bado wanahangaika hahahahaha N na S sio wapumbavu kiasi hicho
 
Wachina sio watu wema kabisa wao wapo kimaslahi zaidi na kuendelea kulinyonya bara la Afrika..
 
😀 kweli mwizi akikosa cha kuiba anaiba hadi majivu, sasa gizani huku wanadukua nini zaid ya vilio vya njaa, ukame, na vitu ambavyo vyepesi vyepesi
Wewe ndo waona gizani lkn wao wanaona fursa Kibao!!!
 
Waafrika tuache kupenda free lunch. Haya mambo ya kufikiria tuna wajomba yamepitwa na wakati
 
😀 kweli mwizi akikosa cha kuiba anaiba hadi majivu, sasa gizani huku wanadukua nini zaid ya vilio vya njaa, ukame, na vitu ambavyo vyepesi vyepesi
Hahahaha umeifanya siku yangu iwe njema kabisa, yani nusura nicheke kwa sauti kubwa kwenye umati...!!!
 
Kuna hiyo branch ya jeshi la China inaitwa PLA Unit 61398 USA mwenyewe anakoma kwa Mchina ije kuwa Africa!.
- The Cox Report
- Operation Honey Bear
- Operation Aurora
- Operation Shady RAT
- Operation Night Dragon
- Operation Titan Rain
 
Meanwhile, African heads of state and governments are gathered in Addis Ababa for the 30th AU Summit under the theme: “Winning the Fight against Corruption: A Sustainable Path to Africa’s Transformation”.
wanafique wakubwa shenzi type!
 
Back
Top Bottom