young arrogant
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 267
- 439
Shikamoo mchina...[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakua hauijui Afrika ni mzungu wewe au kama ni Mwafrika una mume mzungu unabembeleza ndoa!Afrika haina viongozi tu ila ina maliasili za kusaza😀 kweli mwizi akikosa cha kuiba anaiba hadi majivu, sasa gizani huku wanadukua nini zaid ya vilio vya njaa, ukame, na vitu ambavyo vyepesi vyepesi
5 yrs walikuwa hata hawajashtuka imebidi mfaransa aje kuwaambia
Yapo yapo tu ma shithole yanawaza kujiongezea miaka ya kutawala[emoji28] akyanan 5 years mnasikilizwa tu
wewe wasemaWaafrika hata wakidukuliwa hamna kitu!
Wewe ndo waona gizani lkn wao wanaona fursa Kibao!!!😀 kweli mwizi akikosa cha kuiba anaiba hadi majivu, sasa gizani huku wanadukua nini zaid ya vilio vya njaa, ukame, na vitu ambavyo vyepesi vyepesi
Hahahaha umeifanya siku yangu iwe njema kabisa, yani nusura nicheke kwa sauti kubwa kwenye umati...!!!😀 kweli mwizi akikosa cha kuiba anaiba hadi majivu, sasa gizani huku wanadukua nini zaid ya vilio vya njaa, ukame, na vitu ambavyo vyepesi vyepesi
wanafique wakubwa shenzi type!Meanwhile, African heads of state and governments are gathered in Addis Ababa for the 30th AU Summit under the theme: “Winning the Fight against Corruption: A Sustainable Path to Africa’s Transformation”.
Hahaha,Mkuu hii signature yako huwa naitafakari sana.Hahahahaha!