Tetesi: Secret cameras and microphones were discovered inside the African Union Headquarters. The Chinese is not a good man!

Hapa Trump atahoji, sasa mimi ninayewatukana na Wanaowadukua bora nani?
 
Kuna hiyo branch ya jeshi la China inaitwa PLA Unit 61398 USA mwenyewe anakoma kwa Mchina ije kuwa Africa!.
- The Cox Report
- Operation Honey Bear
- Operation Aurora
- Operation Shady RAT
- Operation Night Dragon
- Operation Titan Rain
Operation Aurora,vijamaa vilipiga mpaka Northrop Grumman Corp.
 
Operation Aurora,vijamaa vilipiga mpaka Northrop Grumman Corp.
Fatilia The Cox Report ilowasilishwa kwenye congress uone!..jamaa walipiga siri za makombora yote ya marekani hadi yale bado yapo concept lakini mchina akapata!!, zile ndege za hatari zote mchina akapata siri zake..Usimchezee next world emporer!!..
Kuna hiyo nyingine inaitwa OPERATION GHOSTNET huyu mchina ni balaa, labda mbabe wake Russia tu!!..
 
Hacking hakuna mbabe mkuu,ni timing tu na muda.Sema Warusi na wachina wakiwa hacked hawasemi,wanaona kama ni kujidhalilisha hadharani.Ila kama ni hacking wanapigwa kimya kimya nyingi tu.Mchina hana haja ya ku hack Russia,akitaka silaha ananunua na kufanya reverse engineering tu.Sasa marekani hataki kuwauzia wackomunist silaha yoyote,alishampiga hadi Israel mkwara asiuze defense technology kwa mchina.Sasa wachina cha kufanya wakaanza kufanya hacking ili kuiba blue prints za ndege n.k,Ukicheki J-20 Steath fighter ni copy cat ya F-22.Pia mwaka juzi kuna spy alikamatwa marekani akitaka kuiba siri za f-35 na B-2 spirit bombers.Mchina kwenye tech ya ndege bado yupo nyuma ya US na Russia.To keep up the speed inabidi atumie wizi tu.
 
Yeah na kingine Mchina akiwajua yeye hana kulalamika anaishia kuwaua kimya kimya
 
Pale bara zima linapokosa wataalam wa mambo kama hayo unategemea Chinese wafanyeje?
 
Hv ule ukumbi wa mikutano wa kimataifa pale Dar si walitujengea wao?
 
Yeah na kingine Mchina akiwajua yeye hana kulalamika anaishia kuwaua kimya kimya
Na hii ndio hukumu halali ya spy,ni chuma tu.Nashangaa US wanawadaka na kuwweka jela.Ingekuwa nchi kama Russia anu China watu kama kina Snowden washakula chuma kitambo sana.Ila kwa US wanaitwa whistle blowers.Ila ndo hivyo tamaduni tofauti,Democratic na Comunism.
 
Hata Dodoma bungeni, kisha mnajidai hamtaki bunge live kumbe kule china liko live!
Hahaa China wanafuatilia bunge LIVE bila chenga. Hawa watu ni wa kuwa makini nao.
Na hivi serikali inahamia Dodoma wasijichanganye wakawapa wachina tenda za kujenga majengo ya serikali itakula kwao!
 
Hahaa China wanafuatilia bunge LIVE bila chenga. Hawa watu ni wa kuwa makini nao.
Na hivi serikali inahamia Dodoma wasijichanganye wakawapa wachina tenda za kujenga majengo ya serikali itakula kwao!
Hamna haja ya kuficha tupo uchi kabisa na hakuna madhara kwa serekali yetu, wenye madhara ni wale wanao tofautiana na serekali na serekali imewekeza kwenye kuwa kamata.
 
China wana kikundi spesho cha mtandaoni kupongeza serikali jina limenitoka tu!πŸ˜€
 
Hapo Ukitaka kupotezwa nawasiojulikana

Waambie CCM wachina sio rafiki mwema kwetu

Mchina amejichimbia kona zote Tz anavuna pasipokupanda wala kupalilia
kama unaona hafai jaribu USA uone balaa lake boya wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…