Secret service wanaweza kuwa washirika kwenye jaribio la mauaji ya Donald Trump

Secret service wanaweza kuwa washirika kwenye jaribio la mauaji ya Donald Trump

Mbona Bashite bado yupo uraiani na amepewa mamlaka ya kuongoza mkoa
Hii ni michezo tu sawa na ule wa Area C.
Ipo hivi ukitumwa ukatoe uhai wa kiongozi nyuma yako pana watu wamepangwa kutoa uhai wako baada ya mission ili kuficha ushahidi kwani ukiacha hai utatema siri so unalaghaiwa kwa kulipwa pesa za kazi zote nyingi ili ujae baada ya kuuliwa pesa inarudishwa.
Thus hizi mission ni wapumbavu pekee ndio huwa wanatumwa.
Sawa na ile ya Area C wengi walimalizwa baada ya mission wakakosa vyote.
Maki
 
Back
Top Bottom