Secret service wanaweza kuwa washirika kwenye jaribio la mauaji ya Donald Trump

Secret service wanaweza kuwa washirika kwenye jaribio la mauaji ya Donald Trump

Mimi Kama mtu mwingine tu mwenye interest na mambo ya usalama nawaza mengi kwenye shambulio la Trump..

Secret service kazi yao ya kwanza wakiwa na 'target' ni kuassess threat...
Hapo secret service walifeli.

Secret service wakiwa na 'target' kwenye location, kazi yao ni kusecure mazingira... Kuhakikisha hakuna nafasi ya direct hit kutoka kwenye hizi silaha ndogo kwenda kwa target..
Hapa pia wameshindwa

Siamini Kama wameshindwa hivyo.. nataka kuamini Kama na wao walikua washirika kwenye hili tukio..

Kwanini?
Hawa jamaa wana metal detectors zenye nguvu vibaya mno..
Ni rahisi Sana kwa analyst wao kujua Kuna silaha gani karibu ambayo sio rafiki..

Mpigaji, Mathew Crooks alipiga Kama risasi nne kabla hajapigwa, kwenye hizi kazi, Kama umezisoma Kama nilivyozisoma alifanya makosa na alistahili kuuawa..
He had to take only one shot..
Yeye akageuza a scene of shooting rampage..
He had to be killed..

And if it is so kama navyofikiri..
This won't be the only attempt..
There will be others in other forms

Kwa upande wa mpigaji...

Mpigaji alikuwa futi almost hamsini kutoka kwenye target, hizi ni karibu mita 20...
Kiukweli..sijajua silaha aliyotumia ila amejitahidi Sana..
Kwa kijana wa miaka ishirini kwakweli amejitahidi.

Ukifuatilia ma pro wa headshots...kwanza umri unakuwa mkubwa na experience kubwa hasa kwenye uwanja wa vita.

Nadhani alitafuta jicho la kulia la Trump... that is a sure kill maana sio kila headshot ni fatal shot..
Kuna watu wanapigwa risasi kichwani na wanaishi...mfano Sativa.

Kichwani, piga jicho, au Temple..hizo ndio sure kill shots..
Dogo alikiwa sawa, labda uzoefu ulimzengua, au upepo, au calibrations au aina ya silaha..
For now we don't know, but we will know
na ndio maana walimuua yule mdunguaji asijeishi akatoa siri. secret service,jeshi, FBI na ulinzi wote wa marekani wamejaa mashoga na wasagaji. TRUMP yupo against hiyo kitu na wamarekani wengi wa mrengo huo hawataki kabisa awe Rais. hata akishinda itabidi timu yake ya ulinzi na wale anaofanya nao kazi awachague kwa umakini sana. la sivyo, attempt inayofuata hawatafanya tena makosa.
 
Sasa hapo ndio angekuwa muislamu kama naona hiyo coverage maana wangeunganishwa mpaka babu yake alizikwa wapi ma shangazi ana chat na nani, lakini kwa kuwa ni kijana wao hata kuongelewa kimyaa kama risasi ilitoka kwa bahati mbaya. Naongea tu chukulia tu mpigaji katoka kwa wahamiaji tena rangi nyingine wiki mwezi mzima wangeimba.
 
uwenda ikawa ni scene iiyo planiwa kwa kila hatua, ili T apate kura nyingi hasa zile za huruma.

Kuna wapiga kura watakao ingia kwenye mtego wa kujiuliza "kwa nini T ameshambuliwa"?,uwenda ana kitu cha kutufikisha kwenye asali tumpe yeye"
Huenda ni huruma inatafutwa. Kama ambavyo huku bongo wanavyomhurumia mama lakini watu hawaoni anachokifanya
 
Mimi Kama mtu mwingine tu mwenye interest na mambo ya usalama nawaza mengi kwenye shambulio la Trump..

Secret service kazi yao ya kwanza wakiwa na 'target' ni kuassess threat...
Hapo secret service walifeli.

Secret service wakiwa na 'target' kwenye location, kazi yao ni kusecure mazingira... Kuhakikisha hakuna nafasi ya direct hit kutoka kwenye hizi silaha ndogo kwenda kwa target..
Hapa pia wameshindwa

Siamini Kama wameshindwa hivyo.. nataka kuamini Kama na wao walikua washirika kwenye hili tukio..

Kwanini?
Hawa jamaa wana metal detectors zenye nguvu vibaya mno..
Ni rahisi Sana kwa analyst wao kujua Kuna silaha gani karibu ambayo sio rafiki..

Mpigaji, Mathew Crooks alipiga Kama risasi nne kabla hajapigwa, kwenye hizi kazi, Kama umezisoma Kama nilivyozisoma alifanya makosa na alistahili kuuawa..
He had to take only one shot..
Yeye akageuza a scene of shooting rampage..
He had to be killed..

And if it is so kama navyofikiri..
This won't be the only attempt..
There will be others in other forms

Kwa upande wa mpigaji...

Mpigaji alikuwa futi almost hamsini kutoka kwenye target, hizi ni karibu mita 20...
Kiukweli..sijajua silaha aliyotumia ila amejitahidi Sana..
Kwa kijana wa miaka ishirini kwakweli amejitahidi.

Ukifuatilia ma pro wa headshots...kwanza umri unakuwa mkubwa na experience kubwa hasa kwenye uwanja wa vita.

Nadhani alitafuta jicho la kulia la Trump... that is a sure kill maana sio kila headshot ni fatal shot..
Kuna watu wanapigwa risasi kichwani na wanaishi...mfano Sativa.

Kichwani, piga jicho, au Temple..hizo ndio sure kill shots..
Dogo alikiwa sawa, labda uzoefu ulimzengua, au upepo, au calibrations au aina ya silaha..
For now we don't know, but we will know
Waache wamuue tu
 
Mimi Kama mtu mwingine tu mwenye interest na mambo ya usalama nawaza mengi kwenye shambulio la Trump..

Secret service kazi yao ya kwanza wakiwa na 'target' ni kuassess threat...
Hapo secret service walifeli.

Secret service wakiwa na 'target' kwenye location, kazi yao ni kusecure mazingira... Kuhakikisha hakuna nafasi ya direct hit kutoka kwenye hizi silaha ndogo kwenda kwa target..
Hapa pia wameshindwa

Siamini Kama wameshindwa hivyo.. nataka kuamini Kama na wao walikua washirika kwenye hili tukio..

Kwanini?
Hawa jamaa wana metal detectors zenye nguvu vibaya mno..
Ni rahisi Sana kwa analyst wao kujua Kuna silaha gani karibu ambayo sio rafiki..

Mpigaji, Mathew Crooks alipiga Kama risasi nne kabla hajapigwa, kwenye hizi kazi, Kama umezisoma Kama nilivyozisoma alifanya makosa na alistahili kuuawa..
He had to take only one shot..
Yeye akageuza a scene of shooting rampage..
He had to be killed..

And if it is so kama navyofikiri..
This won't be the only attempt..
There will be others in other forms

Kwa upande wa mpigaji...

Mpigaji alikuwa futi almost hamsini kutoka kwenye target, hizi ni karibu mita 20...
Kiukweli..sijajua silaha aliyotumia ila amejitahidi Sana..
Kwa kijana wa miaka ishirini kwakweli amejitahidi.

Ukifuatilia ma pro wa headshots...kwanza umri unakuwa mkubwa na experience kubwa hasa kwenye uwanja wa vita.

Nadhani alitafuta jicho la kulia la Trump... that is a sure kill maana sio kila headshot ni fatal shot..
Kuna watu wanapigwa risasi kichwani na wanaishi...mfano Sativa.

Kichwani, piga jicho, au Temple..hizo ndio sure kill shots..
Dogo alikiwa sawa, labda uzoefu ulimzengua, au upepo, au calibrations au aina ya silaha..
For now we don't know, but we will know
Only God, Trump analindwa na Mungu
 
Futi 50 ni sawa na Mita 16 tu...! siamini kama Shooter alikua Mita 16 toka Kwa target, Mita hizo zipo hatua chache toka Kwa Trump, labda hata Mtu wa Mwisho kwenye Mkutano Kwa mbele alikua mbali zaidi ya Mita hizo.

Tunaambiwa Shooter alikua Juu ya Ghorofa refu... Nadhani distance ilikua wastani wa Mita 100...!
 
Uwezi amini hawa watu wawili Watanzania wanaweza kukwambia nchi uchumi na usalama umekuwA
downloadfile.jpg
download.jpeg
 
uwenda ikawa ni scene iiyo planiwa kwa kila hatua, ili T apate kura nyingi hasa zile za huruma.

Kuna wapiga kura watakao ingia kwenye mtego wa kujiuliza "kwa nini T ameshambuliwa"?,uwenda ana kitu cha kutufikisha kwenye asali tumpe yeye"

Hamna acting pale Dogo Thomas alitaka kula kichwa ya Trump sema mission imefeli.
 
Kwanini wamu waishe kaburini ikiwa ali hitajika aje atoe maelezo ya walio mpa kazi ni akina nani?.

Huoni kama kuna kitu kipo nyuma ya pqzia mkuu?
Sheria yao ya kazi inaruhusu... yoyote atakaye jaribu kufanya shambulio lolote dhidi ya Rais hakuna cha msalia mtume
 
Back
Top Bottom